Mgonjwa wa sukari imepanda hadi 34

Mgonjwa wa sukari imepanda hadi 34

malembeka18

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2018
Posts
3,266
Reaction score
3,698
Habari wakuu,

Nina mdogo wangu wa kiume Umri miaka 32 juzi gafla alizidiwa akawa hana nguvu kabisa jasho jingi, tukachukua jukumu la mpeleka hospitali ndogo ya mtaani akapewa drip ila wakamshindwa wakamrefferal Amana. Kufika Amana kapatiwa huduma Toka juzi saa tatu kufikia Jana saa tano asubuhi sukari ilishuka hadi 14, Sasa mara sukari imepanda Tena Hadi 18.

Huduma anazopatiwa za kitabibu kiukweli haziridhishi kabisa maana Hana mabadiliko kabisa na madaktari na manesi ni wakali hasa hawataki ujue maendeleo ya mgonjwa. Mfano wanaweza sema watakuja kumtoa damu wakapime hapo wanaweza chukua masaa 2 ndo mtu anakuja.

Nimekuja kwenu wakuu kupata msaada hospitali ipi bora nitapata huduma bora na yenye wataalamu wabobevu ktk sukari haijalishi ni hospitali ya private au serikali
 
Ilikuwa inajulikana toka mwanzo au ndo kagundulika kua diabetic?
Hapana haikua inajulika alikua mdomo unakaua alafu mara kwa mara anaskia kiu akawa anakunywa maji sana nakukojoa sana ,akila tu baada ya mda anaskia njaa Tena,ndo juzi nkapewa taarifa anajuskia vibaya sana hawez Toka kwenda mihangaikoni ndo wakampeleka hospital ya mtaani kupimwa akakutwa na sukar hiyo ya34 na presha ya 140 /90..ndo kureferal amana Nako ndo tumekumbana na huduma duni
 
Iwapo fedha sio tatizo mpeleke Aghakan. Huenda huko akatibiwa na madaktari hao hao wa serikali, lakini kwa huduma ya haraka.
Mkuu fedha sio tatizo kabisa ...maana tunaambiwa ziko nyingi hospital TMJ,aga Khan,Hindu mandali,regency hatujui ipi Bora yenye madaktar wazur wasukari na vifaa bora
 
Pole sana,mbona umri wake ni mdogo sana au anao tokea mdogo!kama huridhishwi na hiyo huduma hapo muhamishie hospitali kubwa zaidi ya hiyo...
Nataka kumhamisha hii hospital ..ndo nimekuja kwenu wadau mnambie hospital Bora zaid kwa sukar yenye wataalamu wazur na vifaa kwa hapa dar iwe private au govt
 
Habari wakuu,

Nina mdogo wangu wa kiume Umri miaka 32 juzi gafla alizidiwa akawa hana nguvu kabisa jasho jingi, tukachukua jukumu la mpeleka hospitali ndogo ya mtaani akapewa drip ila wakamshindwa wakamrefferal Amana. Kufika Amana kapatiwa huduma Toka juzi saa tatu kufikia Jana saa tano asubuhi sukari ilishuka hadi 14, Sasa mara sukari imepanda Tena Hadi 18.

Huduma anazopatiwa za kitabibu kiukweli haziridhishi kabisa maana Hana mabadiliko kabisa na madaktari na manesi ni wakali hasa hawataki ujue maendeleo ya mgonjwa. Mfano wanaweza sema watakuja kumtoa damu wakapime hapo wanaweza chukua masaa 2 ndo mtu anakuja.

Nimekuja kwenu wakuu kupata msaada hospitali ipi bora nitapata huduma bora na yenye wataalamu wabobevu ktk sukari haijalishi ni hospitali ya private au serikali
Jaribu kumpeleka mwananyamala hospital ndugu yangu alipatiwa huduma pale japo ni muda kidogo

Pia ningeomba kuuliza kwa wadau hivi inakuwaje mtu sukari imepanda hadi inasoma 32 na bado yuko fit anatembea mwenyewe na anafanya shughuli zake ila akipima sukari inaonesha iko juu kiasi hicho naomba mwenye ufahamu anisaidie
 
Habari wakuu,

Nina mdogo wangu wa kiume Umri miaka 32 juzi gafla alizidiwa akawa hana nguvu kabisa jasho jingi, tukachukua jukumu la mpeleka hospitali ndogo ya mtaani akapewa drip ila wakamshindwa wakamrefferal Amana. Kufika Amana kapatiwa huduma Toka juzi saa tatu kufikia Jana saa tano asubuhi sukari ilishuka hadi 14, Sasa mara sukari imepanda Tena Hadi 18.

Huduma anazopatiwa za kitabibu kiukweli haziridhishi kabisa maana Hana mabadiliko kabisa na madaktari na manesi ni wakali hasa hawataki ujue maendeleo ya mgonjwa. Mfano wanaweza sema watakuja kumtoa damu wakapime hapo wanaweza chukua masaa 2 ndo mtu anakuja.

Nimekuja kwenu wakuu kupata msaada hospitali ipi bora nitapata huduma bora na yenye wataalamu wabobevu ktk sukari haijalishi ni hospitali ya private au serikali
Muhimbili tena book kwenye private section.
 
Mkuu fedha sio tatizo kabisa ...maana tunaambiwa ziko nyingi hospital TMJ,aga Khan,Hindu mandali,regency hatujui ipi Bora yenye madaktar wazur wasukari na vifaa bora
Kama pesa sio tatizo mpeleke mgonjwa wako AGA KHAN HOSPITAL (ile kubwa ya mjini city center karibu na ocean road). Wako proper sana, hautajuta. Kipengele chao huwa ni kwenye GHARAMA tu, kama hiyo sio issue, fanya hivyo HARAKA.
malembeka18
 
Kwanza, poleni sana kwa hali mnayopitia. Tunamuombea mgonjwa apate nafuu ya haraka.

Pili, hakuna mtaalam wa magonjwa ya sukari. Bali yupo mtaalam wa magonjwa ya homoni. Ambaye ndiye mbobezi pia wa Ugonjwa wa kisukari, kitaalam anaitwa endocrinologist.

Tatu, ukitaka kuwapata kwa uhakika na endapo pesa si changamoto kwenu basi I recommend muende Shree Hindu Mandal. Endapo itakuwa mbali basi nendeni Agha Khan Hospital. Siyo zile Polyclinic.
 
Habari wakuu,

Nina mdogo wangu wa kiume Umri miaka 32 juzi gafla alizidiwa akawa hana nguvu kabisa jasho jingi, tukachukua jukumu la mpeleka hospitali ndogo ya mtaani akapewa drip ila wakamshindwa wakamrefferal Amana. Kufika Amana kapatiwa huduma Toka juzi saa tatu kufikia Jana saa tano asubuhi sukari ilishuka hadi 14, Sasa mara sukari imepanda Tena Hadi 18.

Huduma anazopatiwa za kitabibu kiukweli haziridhishi kabisa maana Hana mabadiliko kabisa na madaktari na manesi ni wakali hasa hawataki ujue maendeleo ya mgonjwa. Mfano wanaweza sema watakuja kumtoa damu wakapime hapo wanaweza chukua masaa 2 ndo mtu anakuja.

Nimekuja kwenu wakuu kupata msaada hospitali ipi bora nitapata huduma bora na yenye wataalamu wabobevu ktk sukari haijalishi ni hospitali ya private au serikali
34???
 
Habari wakuu,

Nina mdogo wangu wa kiume Umri miaka 32 juzi gafla alizidiwa akawa hana nguvu kabisa jasho jingi, tukachukua jukumu la mpeleka hospitali ndogo ya mtaani akapewa drip ila wakamshindwa wakamrefferal Amana. Kufika Amana kapatiwa huduma Toka juzi saa tatu kufikia Jana saa tano asubuhi sukari ilishuka hadi 14, Sasa mara sukari imepanda Tena Hadi 18.

Huduma anazopatiwa za kitabibu kiukweli haziridhishi kabisa maana Hana mabadiliko kabisa na madaktari na manesi ni wakali hasa hawataki ujue maendeleo ya mgonjwa. Mfano wanaweza sema watakuja kumtoa damu wakapime hapo wanaweza chukua masaa 2 ndo mtu anakuja.

Nimekuja kwenu wakuu kupata msaada hospitali ipi bora nitapata huduma bora na yenye wataalamu wabobevu ktk sukari haijalishi ni hospitali ya private au serikali
Uwe mvumilivu ukileta ujuaji utampoteza ndugu yako , Sukari sio Malaria kwamba ukipewa ALU unapona
 
Q az
Uwe mvumilivu ukileta ujuaji utampoteza ndugu yako , Sukari sio Malaria kwamba ukipewa ALU unapona
Mkuu najua ila sio kwahuduma naziziona hapa ...hivi mkuu ww unataka kupata taarifa za maendeleo ya mgonjwa wako unamuuliza NES anakufokea anakufukuza anakujibu njoo bas umuhudumie ww hapo utasema kunahuduma
 
Back
Top Bottom