Mgonjwa wa sukari imepanda hadi 34

Mgonjwa wa sukari imepanda hadi 34

Q az

Mkuu najua ila sio kwahuduma naziziona hapa ...hivi mkuu ww unataka kupata taarifa za maendeleo ya mgonjwa wako unamuuliza NES anakufokea anakufukuza anakujibu njoo bas umuhudumie ww hapo utasema kunahuduma
Ukute hajawahi kuuguza
Akaliona hilo wenge lake halafu nesi anakujibu vitu visivyoeleweka! Pole sana mkuu Mdogo ako tunamuombea dua njema apone...
Hapa bongo wakihalalisha Pistol wallah watu watakaokufa sana ni wauguzi
 
Habari wakuu,

Nina mdogo wangu wa kiume Umri miaka 32 juzi gafla alizidiwa akawa hana nguvu kabisa jasho jingi, tukachukua jukumu la mpeleka hospitali ndogo ya mtaani akapewa drip ila wakamshindwa wakamrefferal Amana. Kufika Amana kapatiwa huduma Toka juzi saa tatu kufikia Jana saa tano asubuhi sukari ilishuka hadi 14, Sasa mara sukari imepanda Tena Hadi 18.

Huduma anazopatiwa za kitabibu kiukweli haziridhishi kabisa maana Hana mabadiliko kabisa na madaktari na manesi ni wakali hasa hawataki ujue maendeleo ya mgonjwa. Mfano wanaweza sema watakuja kumtoa damu wakapime hapo wanaweza chukua masaa 2 ndo mtu anakuja.

Nimekuja kwenu wakuu kupata msaada hospitali ipi bora nitapata huduma bora na yenye wataalamu wabobevu ktk sukari haijalishi ni hospitali ya private au serikali
Pole kwa kuuguza.

Kwa hali ya mdogo wako, inahitajika u-makini kwenye tiba. Kwani hapo unatakiwa kuzingatia:
1: Hali ya maji mwilini
2: Hali ya madini mwilini
3: Hali ya pH mwilini
4: Hali ya figo
5: Hali ya moyo
6: Sukari yenyewe
7: Taka mwili zitokanazo na kuunguza mafuta(ketoni)
8: Chanzo cha sukari kupanda ie. maambukizi, dawa kutokidhi kiasi nk.

Vitu hivi na vingine huparaganyika sukari inapokuwa juu kwa muda.

Usitarajie hali ya mgonjwa kurejea vyema kwa suala la sukari kuwa sawa. Kuna milinganyo inahitajika kufanyika kwa mazingira hapo juu na inahitaji muda na ujuzi.

Kama unaona hupati majibu yanayokuridhisha, pata msimamizi wa matibabu(clinical service coordinator). Ongea nae kwa karibu pata mrejesho wa hali ya mgonjwa na mtizamo wa wahudumiaji.

Kama kuna changamoto au hutaridhika, omba rufaa kwa Muhimbili au Private kulingana na hali ya kiuchumi. Muhimbili vs Aga Khan ni option nzuri.
 
Mrejesho
Nimelazimika mgonjwa kumhamisha hospital,nimempeleka Shree hindu Mandal baada yakumfikisha emegergy madaktar wakamuangalia akafanyiwa vipimo upya kujua kwanin anachomwa insulin sukar inashuka 8 nakupanda sana Hadi 24 ...wamebaini anasumu nyingi sana mwilini imeotokana na sukar..wakasema huyu mgonjwa tulikua tunampoteza,,wakasema hospital ya serikali madaktar walikua wanahangaika kushusha sukar na nakuchoma isulin lakin hawakuwa wanatafakar kwanin sukari inapanda Tena ...Sasa wakabid wamtudikie drip haraka haraka nakumfanyia tiba ya haraka kutoa sumu mwilini ,anasumu mwlili mzima, mgonjwa kapelekwa ICU,
Madaktar wahizi hospital za umma za rufaa nichangamoto hawakubali kushindwa kitu Wala kushaurika maana tumeomba rufaa wakakataa kuwa eti hii case ni ndogo kwanin tutoe rufaa tutakua tumekimbia majukum..ikatubid tumuondoe tu bila rufaa tumeenda private
 
Mrejesho
Nimelazimika mgonjwa kumhamisha hospital,nimempeleka Shree hindu Mandal baada yakumfikisha emegergy madaktar wakamuangalia akafanyiwa vipimo upya kujua kwanin anachomwa insulin sukar inashuka 8 nakupanda sana Hadi 24 ...wamebaini anasumu nyingi sana mwilini imeotokana na sukar..wakasema huyu mgonjwa tulikua tunampoteza,,wakasema hospital ya serikali madaktar walikua wanahangaika kushusha sukar na nakuchoma isulin lakin hawakuwa wanatafakar kwanin sukari inapanda Tena ...Sasa wakabid wamtudikie drip haraka haraka nakumfanyia tiba ya haraka kutoa sumu mwilini ,anasumu mwlili mzima, mgonjwa kapelekwa ICU,
Madaktar wahizi hospital za umma za rufaa nichangamoto hawakubali kushindwa kitu Wala kushaurika maana tumeomba rufaa wakakataa kuwa eti hii case ni ndogo kwanin tutoe rufaa tutakua tumekimbia majukum..ikatubid tumuondoe tu bila rufaa tumeenda private
Umefanya vizuri
 
Pole kwa kuuguza.

Kwa hali ya mdogo wako, inahitajika u-makini kwenye tiba. Kwani hapo unatakiwa kuzingatia:
1: Hali ya maji mwilini
2: Hali ya madini mwilini
3: Hali ya pH mwilini
4: Hali ya figo
5: Hali ya moyo
6: Sukari yenyewe

Vitu hivi na vingine huparaganyika sukari inapokuwa juu kwa muda.

Usitarajie hali ya mgonjwa kurejea vyema kwa suala la sukari kuwa sawa. Kuna milinganyo inahitajika kufanyika kwa mazingira hapo juu na inahitaji muda na ujuzi.

Kama unaona hupati majibu yanayokuridhisha, pata msimamizi wa matibabu(clinical service coordinator). Ongea nae kwa karibu pata mrejesho wa hali ya mgonjwa na mtizamo wa wahudumiaji.

Kama kuna changamoto au hutaridhika, omba rufaa kwa Muhimbili au Private kulingana na hali ya kiuchumi. Muhimbili vs Aga Khan ni option nzuri.
Mkuu tumejadiliana nao na tumewaomba sana rufaa wamekataa wanadai ni issue ndogo so tumelazimika kumuondoa mgonjwa bila rufaa tumempeleka private Hindi mandal...kufika Huku moja kwa mja ICU maana wamebaini sukari haishuki anasumu nyingi mwilini
 
Habari wakuu,

Nina mdogo wangu wa kiume Umri miaka 32 juzi gafla alizidiwa akawa hana nguvu kabisa jasho jingi, tukachukua jukumu la mpeleka hospitali ndogo ya mtaani akapewa drip ila wakamshindwa wakamrefferal Amana. Kufika Amana kapatiwa huduma Toka juzi saa tatu kufikia Jana saa tano asubuhi sukari ilishuka hadi 14, Sasa mara sukari imepanda Tena Hadi 18.

Huduma anazopatiwa za kitabibu kiukweli haziridhishi kabisa maana Hana mabadiliko kabisa na madaktari na manesi ni wakali hasa hawataki ujue maendeleo ya mgonjwa. Mfano wanaweza sema watakuja kumtoa damu wakapime hapo wanaweza chukua masaa 2 ndo mtu anakuja.

Nimekuja kwenu wakuu kupata msaada hospitali ipi bora nitapata huduma bora na yenye wataalamu wabobevu ktk sukari haijalishi ni hospitali ya private au serikali
SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE
Kwa leo tuone faida mbili tuu za mmea uitwao mjaafari/ mlungulungu.
Jina lake la kisayansi ni Erythrina abyssinica

1.Kutibu uvimbe kwenye kizazi.

Mahitaji
👉Mjaafari
👉Tangawizi
👉Manjano
👉 Mbegu za papai

Hakikisha dawa zote zipo katika mfumo wa unga unga, kisha changanya robo robo .
Yaani mjaafari robo, tangawizi robo na manjano robo na mbegu za papai robo.

Matumizi .
Mgonjwa atumie mchanganyiko huo kijiko kimoja (kile cha chakula) akoroge kwenye maji moto ama maziwa ama uji kikombe kimoja kisha anywe.
Atafanya hivyo kutwa mara tatu kwa muda wa siku 21.

2.Kutibu maradhi ya kisukari.

Mahitaji .
👉Mjaafari robo
👉Habat sauda robo
👉Manimani robo
👉Mkerenge robo
👉Malandula robo

Changanya dawa zote zikiwa kwenye mfumo wa unga unga zichanganyike vizuri.

Matumizi
Mgonjwa atumie dawa hiyo kijiko kidogo kimoja akoroge kwenye maji moto kikombe kimoja kisha anywe.
Atafanya hivyo kutwa mara tatu siku 21.

Naam faida zake ni nyingi mnooo, zipo nyingi sanaa sanaa sanaaaa zilizothibitishwa kiasili na kisayansi.

Miongoni mwa faida hizo ni:-
👉Hutibu maradhi ya PID
👉Hutibu kansa ya kwenye kizazi
👉Hutibu maradhi ya matumbo
👉Hutibu maradhi ya kifua, pumu nk.
👉Huongeza kinga ya mwili.
👉 Hutibu bakteria
👉Hutibu uchawi wa jini au wanga.
👉 Huzuia kuongezeka uzito
👉 Hutibu fangasi
👉 Hutibu kuharisha
👉 Hutibu macho, kifua
Nk. Nk. Nk.

Kwa ushauri na tiba wasiliana za maradhi mbalimbali wasiliana nasi.
What's app/call
0656303019
~Chief Sang'ida
 
Habari wakuu,

Nina mdogo wangu wa kiume Umri miaka 32 juzi gafla alizidiwa akawa hana nguvu kabisa jasho jingi, tukachukua jukumu la mpeleka hospitali ndogo ya mtaani akapewa drip ila wakamshindwa wakamrefferal Amana. Kufika Amana kapatiwa huduma Toka juzi saa tatu kufikia Jana saa tano asubuhi sukari ilishuka hadi 14, Sasa mara sukari imepanda Tena Hadi 18.

Huduma anazopatiwa za kitabibu kiukweli haziridhishi kabisa maana Hana mabadiliko kabisa na madaktari na manesi ni wakali hasa hawataki ujue maendeleo ya mgonjwa. Mfano wanaweza sema watakuja kumtoa damu wakapime hapo wanaweza chukua masaa 2 ndo mtu anakuja.

Nimekuja kwenu wakuu kupata msaada hospitali ipi bora nitapata huduma bora na yenye wataalamu wabobevu ktk sukari haijalishi ni hospitali ya private au serikali

Kumshusha kutoka 34 hadi 18 wape hongera madaktari.

Sukari imelata hutegemea chakula mulichompa.

Na dawa za sukari si za kutumia mihemko. Ni lazima wampe then waangalie reaction ya mwili.

Kama unataka hospitali wamuover dose ili ishuke hadi iwe normal utamkosa mgonjwa.


Binafsi kwa mara ya kwanza kugundulika nina sukari ilikuwa ninekwenda kupima uti, but ghafla yule mtu wa maabara akaja kuniuliza kama nina ugonjwa wa sukari. Na baada ya kupima kwa mashine ukisoma 36.


Akashangaa kwa vipi iliweza kutembea mwenyewe.

Wakasema nilipaswa waniflash.

Kwa ufupi niloanza dawa ya kienyeji, mzizi wa mzamvarau dume, nikachanganya na mengi za mronge.

Nikaacha vyakula vyote na kuwa nakuba zaidi bagia za kunde, karaanya na korosho.


Atumie hivi baada ya wiki moja utanitafuta
 
Kuna possibility kubwa kwamba magonjwa wako amedevelop diabetic ketoacidosis acidosis,,,na huwa ni mtiti kupambana nayo kwaio kua humble kama ujaridhirika na huduma zao omba kuondoka naye na piaa skiliza madr wanachosema uswe na mawazo ya eti vile unavowaza kwamba apone Sasa hvii kumbuka matibabu ni process sio sio bubaaamtu kapona
Mkuu nimemuondoa nimempeleka private..Sasa hapo serikali daktar hataki kukupa maendeleo ya mgonjwa ukiuliza vitu anakua mkali..mgonjwa mda wote sukari inapanda nakushuka rufaa hataki kutoa Sasa hapo kama ndo ww mtu ufanyaje
 
Mkuu jipapaseni mifukoni!
 

Attachments

  • images.jpeg
    images.jpeg
    15.7 KB · Views: 4
Kumshusha kutoka 34 hadi 18 wape hongera madaktari.

Sukari imelata hutegemea chakula mulichompa.

Na dawa za sukari si za kutumia mihemko. Ni lazima wampe then waangalie reaction ya mwili.

Kama unataka hospitali wamuover dose ili ishuke hadi iwe normal utamkosa mgonjwa.


Binafsi kwa mara ya kwanza kugundulika nina sukari ilikuwa ninekwenda kupima uti, but ghafla yule mtu wa maabara akaja kuniuliza kama nina ugonjwa wa sukari. Na baada ya kupima kwa mashine ukisoma 36.


Akashangaa kwa vipi iliweza kutembea mwenyewe.

Wakasema nilipaswa waniflash.

Kwa ufupi niloanza dawa ya kienyeji, mzizi wa mzamvarau dume, nikachanganya na mengi za mronge.

Nikaacha vyakula vyote na kuwa nakuba zaidi bagia za kunde, karaanya na korosho.


Atumie hivi baada ya wiki moja utanitafuta
Lwasasa sukari Yako ikoje inasomaje ukiwa umeluna na ukiwa hujala
 
Back
Top Bottom