Mgonjwa wa sukari imepanda hadi 34

Mgonjwa wa sukari imepanda hadi 34

Habari wakuu,

Nina mdogo wangu wa kiume Umri miaka 32 juzi gafla alizidiwa akawa hana nguvu kabisa jasho jingi, tukachukua jukumu la mpeleka hospitali ndogo ya mtaani akapewa drip ila wakamshindwa wakamrefferal Amana. Kufika Amana kapatiwa huduma Toka juzi saa tatu kufikia Jana saa tano asubuhi sukari ilishuka hadi 14, Sasa mara sukari imepanda Tena Hadi 18.

Huduma anazopatiwa za kitabibu kiukweli haziridhishi kabisa maana Hana mabadiliko kabisa na madaktari na manesi ni wakali hasa hawataki ujue maendeleo ya mgonjwa. Mfano wanaweza sema watakuja kumtoa damu wakapime hapo wanaweza chukua masaa 2 ndo mtu anakuja.

Nimekuja kwenu wakuu kupata msaada hospitali ipi bora nitapata huduma bora na yenye wataalamu wabobevu ktk sukari haijalishi ni hospitali ya private au serikali
N
 
Hakuna dawa ya kumaliza tatizo la sukari, bali ataishi na hili tatizo kwa miaka yake yote, muhimu baada ya kupata nafuu atumie dawa na vyakula kama mtakavyoelekezwa.​
 
Hakuna dawa ya kumaliza tatizo la sukari, bali ataishi na hili tatizo kwa miaka yake yote, muhimu baada ya kupata nafuu atumie dawa na vyakula kama mtakavyoelekezwa.​
Nafaham mkuu ila tulichokua tunataka apate huduma Bora ili apate nafuu sukari isizid kupanda kumsababishia matatizo mengi...tulitaka nafuu yake ili sukari ikae sawa kidogo aendelee nadawa mazoezi na lishe Bora maisha yake yote
 
Mkuu tumejadiliana nao na tumewaomba sana rufaa wamekataa wanadai ni issue ndogo so tumelazimika kumuondoa mgonjwa bila rufaa tumempeleka private Hindi mandal...kufika Huku moja kwa mja ICU maana wamebaini sukari haishuki anasumu nyingi mwilini
Sawa, tumwombee tiba njema.
 
Kuna hospital siwezi enda au peleka ndugu yangu..
1-Amana
2-Muhimbili
3-Mloganzila (Kwa Mkapa hatoki mtu)

Kwanza wafanyabiashara wa Majeneza wamewekeza sana ktk hayo maeneo hasa hapo Amana.. unakuta Majeneza yapo Standby. (Majeneza Festival)
 
Lwasasa sukari Yako ikoje inasomaje ukiwa umeluna na ukiwa hujala
Sijapima. Nishashahau Kunis. Lkn najicontrol kwa vyakula. Ninesahau kula aina zote za ngano. Na mara chache natumia brown, wali natumia wa basmati pekee. Michele wa mbeya ni sumu.

Kwa ujumla kuna dalili ikitokea najua sukari umepanga.

Lkn kubwa nashukuru serikali ya ccm. Kwa ukame njlionao naishi kwa mlo mmoja kwa siku. Na naamini sukari imekimbia yenyewe.
 
Kuna hospital siwezi enda au peleka ndugu yangu..
1-Amana
2-Muhimbili
3-Mloganzila (Kwa Mkapa hatoki mtu)

Kwanza wafanyabiashara wa Majeneza wamewekeza sana ktk hayo maeneo hasa hapo Amana.. unakuta Majeneza yapo Standby. (Majeneza Festival)
Ninapoona majeneza tu, huwa nakuwa mpole sana ninapokanyaga hii ardhi
 
Walichokuwa wanakosea Amana ni kutowapa mrejesho wa mgonjwa wa Sukari iliyopanda sana mpaka ikaleta compication ya Diabetic Ketoacidosis (DKA). Walitakiwa wawape mrejesho wa namna matibabu yake yanavyokuwa.

Katika complications mbaya na hatari za Kisukari basi hii ndiyo baba lao.

Huwa inatokeaje?

DKA hutokea wakati mwili unapokosa insulini ya kutosha kuruhusu sukari ya kwemye damu kuingia kwenye seli kwa ajili ya nishati. Tunafahamu Insulini ndiyo hufanya kazi ya kusaidia sukari kuhama kutoka kwenye damu na kuingia kwenye seli za mwili.

Hii hali ikitokea, kwa sababu seli za mwili zimekosa sukari kwa ajili ya kuupa mwili nguvu, mwili unaamua sasa kuangalia alternative ya pili ambayo ni Ini (Liver) kuvunjavunja mafuta (Fat) ya kwenye mwili kwa ajili ya kuzipa seli nguvu (Energy).

Sasa hii process huzalisha by-product ambayo ni asidi inayoitwa Ketoni, ambayo sasa inaingia kwenye damu, kisha kutolewa kwa mfumo wa figo. Hii Ketoni ndiyo huleta shida zooote kwenye mwili, maana inaenda kutengeneza asidi kwenye damu kwa sababu inakuwa imezidi sana.

Visababishi vya DKA ni nini:
Cha kwanza lazima mjue kwamba DKA ni Life-Threatening Complication ya Kisukari, na huwapata watu walio na ugonjwa wa Kisukari cha Aina ya 1, lakini pia inaweza kutokea kwa watu walio na Kisukari cha Aina ya 2.

Vichochezi vya kawaida vya DKA ni pamoja na:

1. Maambukizi (Hii ndiyo huwa kisababishi kikubwa cha DKA kwa wenye Kisukari).
2. Kisukari Kinachoanza (Kama Ilivyomtokea Mdogo Wako).
3. Kutokufuata Masharti ya Matibabu.

Matibabu ya DKA huwa Yakoje:

Matibabu ya DKA huwa yana goals kadhaa:

1. Kurekebisha Upungufu wa Maji Mwilini (Dehidration/Hypovolemia).
Kwa sababu mgonjwa wa DKA huwa anakojoa sana, hivyo hupoteza maji ya kutosha, na nadhani mlikuwa mnamuona ndugu yenu akiwa amekauka sana midomo na alikuwa anakunywa sana maji.

Hivyo tiba ya kwanza huwa ni kuwapa madripu kwa fomula maalumu.

Na ili kurudisha maji mwilini huwa inachukua mpaka siku 2 (masaa 48)

2. Kurekebisha Upungufu wa Madini Joto Yaliyopungua hasa Potasiamu.
Moja ya madini sensitive kwenye mwili huwa ni Potasium, na kwa wagonjwa DKA huwa yanashuka sana ambayo inaweza pelekea moyo kusimama ghafla.

Hivyo matibabu ya DKA huwa yanahusisha kumpa mgonjwa haya madini kwa njia ya dripu.

3. Kurekebisha Asidi/Sukari Iliyojaa Kwenye Damu.
Hapa huwa wagonjwa wa DKA wanapewa Insulini kwa fomula maalumu kulingana na uzito wao.

Ndiyo maana ulikuwa unaona wanamchoma insulini, kazi ya insulini inasaidia kuondoa sukari iliyo kwenye damu na kuiingiza kwenye seli za mwili.

Lakini kwa sababu kwenye damu kuna asidi nyingi, huwa hatuishishi sukari ghafla, kwa sababu tunahitaji kuendelea kumpa insulini mgonjwa wa DKA kwa muda mrefu ili isaidie kuondoa asidi kwenye damu. Kwa hiyo sukari yake ikifika 14 huwa tunamtundikia mgonjwa dripu ya sukari ili isishuke zaidi.

Hivyo mkuu matibabu ya mgonjwa wako ni magumu na marefu, yanahitaji uvumilivu wenu.

Wagonjwa wa aina hii wala msishangae sukari kupanda na kushuka, ni kawaida mpaka pale asidi inapoisha kwenye damu ndiyo tunaiacha sukari ishuke mpaka kawaida yake.

NB:
Wagonjwa wa Severe DKA huwa wanalazwa ICU. Hiyo ndiyo huwa destination yao maana wanahitaji uangalizi wa karibu sana ikiwemo kupima sukari kila saa.
 
Walichokuwa wanakosea Amana ni kutowapa mrejesho wa mgonjwa wa Sukari iliyopanda sana mpaka ikaleta compication ya Diabetic Ketoacidosis (DKA). Walitakiwa wawape mrejesho wa namna matibabu yake yanavyokuwa.

Katika complications mbaya na hatari za Kisukari basi hii ndiyo baba lao.

Huwa inatokeaje?

DKA hutokea wakati mwili unapokosa insulini ya kutosha kuruhusu sukari ya kwemye damu kuingia kwenye seli kwa ajili ya nishati. Tunafahamu Insulini ndiyo hufanya kazi ya kusaidia sukari kuhama kutoka kwenye damu na kuingia kwenye seli za mwili.

Hii hali ikitokea, kwa sababu seli za mwili zimekosa sukari kwa ajili ya kuupa mwili nguvu, mwili unaamua sasa kuangalia alternative ya pili ambayo ni Ini (Liver) kuvunjavunja mafuta (Fat) ya kwenye mwili kwa ajili ya kuzipa seli nguvu (Energy).

Sasa hii process huzalisha by-product ambayo ni asidi inayoitwa Ketoni, ambayo sasa inaingia kwenye damu, kisha kutolewa kwa mfumo wa figo. Hii Ketoni ndiyo huleta shida zooote kwenye mwili, maana inaenda kutengeneza asidi kwenye damu kwa sababu inakuwa imezidi sana.

Visababishi vya DKA ni nini:
Cha kwanza lazima mjue kwamba DKA ni Life-Threatening Complication ya Kisukari, na huwapata watu walio na ugonjwa wa Kisukari cha Aina ya 1, lakini pia inaweza kutokea kwa watu walio na Kisukari cha Aina ya 2.

Vichochezi vya kawaida vya DKA ni pamoja na:
1. Maambukizi (Hii ndiyo huwa kisababishi kikubwa cha DKA kwa wenye Kisukari).
2. Kisukari Kinachoanza (Kama Ilivyomtokea Mdogo Wako).
3. Kutokufuata Masharti ya Matibabu.


Matibabu ya DKA huwa Yakoje:

Matibabu ya DKA huwa yana goals kadhaa:

1. Kurekebisha Upungufu wa Maji Mwilini (Dehidration/Hypovolemia).
Kwa sababu mgonjwa wa DKA huwa anakojoa sana, hivyo hupoteza maji ya kutosha, na nadhani mlikuwa mnamuona ndugu yenu akiwa amekauka sana midomo na alikuwa anakunywa sana maji.

Hivyo tiba ya kwanza huwa ni kuwapa madripu kwa fomula maalumu.

Na ili kurudisha maji mwilini huwa inachukua mpaka siku 2 (masaa 48)

2. Kurekebisha Upungufu wa Madini Joto Yaliyopungua hasa Potasiamu.
Moja ya madini sensitive kwenye mwili huwa ni Potasium, na kwa wagonjwa DKA huwa yanashuka sana ambayo inaweza pelekea moyo kusimama ghafla.

Hivyo matibabu ya DKA huwa yanahusisha kumpa mgonjwa haya madini kwa njia ya dripu.

3. Kurekebisha Asidi/Sukari Iliyojaa Kwenye Damu.
Hapa huwa wagonjwa wa DKA wanapewa Insulini kwa fomula maalumu kulingana na uzito wao.

Ndiyo maana ulikuwa unaona wanamchoma insulini, kazi ya insulini inasaidia kuondoa sukari iliyo kwenye damu na kuiingiza kwenye seli za mwili.

Lakini kwa sababu kwenye damu kuna asidi nyingi, huwa hatuishishi sukari ghafla, kwa sababu tunahitaji kuendelea kumpa insulini mgonjwa wa DKA kwa muda mrefu ili isaidie kuondoa asidi kwenye damu. Kwa hiyo sukari yake ikifika 14 huwa tunamtundikia mgonjwa dripu ya sukari ili isishuke zaidi.

Hivyo mkuu matibabu ya mgonjwa wako ni magumu na marefu, yanahitaji uvumilivu wenu.

Wagonjwa wa aina hii wala msishangae sukari kupanda na kushuka, ni kawaida mpaka pale asidi inapoisha kwenye damu ndiyo tunaiacha sukari ishuke mpaka kawaida yake.

NB:
Wagonjwa wa Severe DKA huwa wanalazwa ICU. Hiyo ndiyo huwa destination yao maana wanahitaji uangalizi wa karibu sana ikiwemo kupima sukari kila saa.
Mkuu umeeleza vizur sana namadaktar wametuelezea hivo hivo..Sasa mkuu Nina swali moja nataka kujua,mpaka kufikia Jana mchana wa saa Tisa walituambia sumu kwenye damu imeisha iyo ketoacid imeisha kabisa kwaiyo wanafanya kumage sukar ambayo ilikua inachezea 13 au 14 ,,pia wakatumbia kuwa Amana hospital drip za maji alipigwa nyingi sana kwaiyo Kuna sumu ilitengenezwa inaweza athiri Figo kwaiyo wanafanya kuitoa isiathiri Figo...Sasa mkuu swali langu nisaidie pamoja wanasema sumu imeisha yote kwenye damu iyo ketoacid Sasa kwanin sukari inapanda Tena mpaka 18 Hali sumu imeisha...maaana Jana usiku akiwa Bado ICU sumu wamemtoa yote kwamaelezo yasaa Saba mchana sumu iliishia ila usiku wa jana alijihisi vibaya kupimwa akakutwa sukar 18 kwanin sukar ipande Hali sumu imeisha
 
Walichokuwa wanakosea Amana ni kutowapa mrejesho wa mgonjwa wa Sukari iliyopanda sana mpaka ikaleta compication ya Diabetic Ketoacidosis (DKA). Walitakiwa wawape mrejesho wa namna matibabu yake yanavyokuwa.

Katika complications mbaya na hatari za Kisukari basi hii ndiyo baba lao.

Huwa inatokeaje?

DKA hutokea wakati mwili unapokosa insulini ya kutosha kuruhusu sukari ya kwemye damu kuingia kwenye seli kwa ajili ya nishati. Tunafahamu Insulini ndiyo hufanya kazi ya kusaidia sukari kuhama kutoka kwenye damu na kuingia kwenye seli za mwili.

Hii hali ikitokea, kwa sababu seli za mwili zimekosa sukari kwa ajili ya kuupa mwili nguvu, mwili unaamua sasa kuangalia alternative ya pili ambayo ni Ini (Liver) kuvunjavunja mafuta (Fat) ya kwenye mwili kwa ajili ya kuzipa seli nguvu (Energy).

Sasa hii process huzalisha by-product ambayo ni asidi inayoitwa Ketoni, ambayo sasa inaingia kwenye damu, kisha kutolewa kwa mfumo wa figo. Hii Ketoni ndiyo huleta shida zooote kwenye mwili, maana inaenda kutengeneza asidi kwenye damu kwa sababu inakuwa imezidi sana.

Visababishi vya DKA ni nini:
Cha kwanza lazima mjue kwamba DKA ni Life-Threatening Complication ya Kisukari, na huwapata watu walio na ugonjwa wa Kisukari cha Aina ya 1, lakini pia inaweza kutokea kwa watu walio na Kisukari cha Aina ya 2.

Vichochezi vya kawaida vya DKA ni pamoja na:
1. Maambukizi (Hii ndiyo huwa kisababishi kikubwa cha DKA kwa wenye Kisukari).
2. Kisukari Kinachoanza (Kama Ilivyomtokea Mdogo Wako).
3. Kutokufuata Masharti ya Matibabu.


Matibabu ya DKA huwa Yakoje:

Matibabu ya DKA huwa yana goals kadhaa:

1. Kurekebisha Upungufu wa Maji Mwilini (Dehidration/Hypovolemia).
Kwa sababu mgonjwa wa DKA huwa anakojoa sana, hivyo hupoteza maji ya kutosha, na nadhani mlikuwa mnamuona ndugu yenu akiwa amekauka sana midomo na alikuwa anakunywa sana maji.

Hivyo tiba ya kwanza huwa ni kuwapa madripu kwa fomula maalumu.

Na ili kurudisha maji mwilini huwa inachukua mpaka siku 2 (masaa 48)

2. Kurekebisha Upungufu wa Madini Joto Yaliyopungua hasa Potasiamu.
Moja ya madini sensitive kwenye mwili huwa ni Potasium, na kwa wagonjwa DKA huwa yanashuka sana ambayo inaweza pelekea moyo kusimama ghafla.

Hivyo matibabu ya DKA huwa yanahusisha kumpa mgonjwa haya madini kwa njia ya dripu.

3. Kurekebisha Asidi/Sukari Iliyojaa Kwenye Damu.
Hapa huwa wagonjwa wa DKA wanapewa Insulini kwa fomula maalumu kulingana na uzito wao.

Ndiyo maana ulikuwa unaona wanamchoma insulini, kazi ya insulini inasaidia kuondoa sukari iliyo kwenye damu na kuiingiza kwenye seli za mwili.

Lakini kwa sababu kwenye damu kuna asidi nyingi, huwa hatuishishi sukari ghafla, kwa sababu tunahitaji kuendelea kumpa insulini mgonjwa wa DKA kwa muda mrefu ili isaidie kuondoa asidi kwenye damu. Kwa hiyo sukari yake ikifika 14 huwa tunamtundikia mgonjwa dripu ya sukari ili isishuke zaidi.

Hivyo mkuu matibabu ya mgonjwa wako ni magumu na marefu, yanahitaji uvumilivu wenu.

Wagonjwa wa aina hii wala msishangae sukari kupanda na kushuka, ni kawaida mpaka pale asidi inapoisha kwenye damu ndiyo tunaiacha sukari ishuke mpaka kawaida yake.

NB:
Wagonjwa wa Severe DKA huwa wanalazwa ICU. Hiyo ndiyo huwa destination yao maana wanahitaji uangalizi wa karibu sana ikiwemo kupima sukari kila saa.
Pia umesema vichochezi vya DKA nipamoja maambukizi nauliza nimaambukizi yepi yanasanabisha DKA
 
Mkuu umeeleza vizur sana namadaktar wametuelezea hivo hivo..Sasa mkuu Nina swali moja nataka kujua,mpaka kufikia Jana mchana wa saa Tisa walituambia sumu kwenye damu imeisha iyo ketoacid imeisha kabisa kwaiyo wanafanya kumage sukar ambayo ilikua inachezea 13 au 14 ,,pia wakatumbia kuwa Amana hospital drip za maji alipigwa nyingi sana kwaiyo Kuna sumu ilitengenezwa inaweza athiri Figo kwaiyo wanafanya kuitoa isiathiri Figo...Sasa mkuu swali langu nisaidie pamoja wanasema sumu imeisha yote kwenye damu iyo ketoacid Sasa kwanin sukari inapanda Tena mpaka 18 Hali sumu imeisha...maaana Jana usiku akiwa Bado ICU sumu wamemtoa yote kwamaelezo yasaa Saba mchana sumu iliishia ila usiku wa jana alijihisi vibaya kupimwa akakutwa sukar 18 kwanin sukar ipande Hali sumu imeisha
Kama sumu imeisha kinachofuata sasa wanapaswa ku-regulate kiwango cha sukari kwa kumchoma insulini kulingana na sukari aliyonayo mwilini.

Kama mwili utakuwa haurespond, basi kuna kitu bado kitakuwa hakiko sawa wanapaswa kuki-rule-out.

Pia kila kitu kinapaswa kiwe na standard yake, ndiyo maana hapo juu nilisema kila wanachompa kina formula maalumu. Insulini ina formula maalum, drip za maji zina formula maalum. Ukizidisha tu unasababisha tatizo lingine.

All in all ku-manage kisukari kilicholeta hizo complications huwa inachukua muda hivyo muwe wavumilivu. Kama asidi imeisha basi sukari itakaa sawa tuu.
 
Pia umesema vichochezi vya DKA nipamoja maambukizi nauliza nimaambukizi yepi yanasanabisha DKA
Ukiumwa chochote kile kama UTI, Malaria nk hizo ndo infections zenyewe. Yani mwili wa mgonjwa wa kisukari ukipata shake yoyote basi sukari nayo inacheza.
 
Hapana haikua inajulika alikua mdomo unakaua alafu mara kwa mara anaskia kiu akawa anakunywa maji sana nakukojoa sana ,akila tu baada ya mda anaskia njaa Tena,ndo juzi nkapewa taarifa anajuskia vibaya sana hawez Toka kwenda mihangaikoni ndo wakampeleka hospital ya mtaani kupimwa akakutwa na sukar hiyo ya34 na presha ya 140 /90..ndo kureferal amana Nako ndo tumekumbana na huduma duni

Wanachofanya hospital ni kujitahidi tu kushusha Sukari , lakini kiuhalisia sukari ni ndogo maana yake Sukari haifiki kwenye Seli ili kuwa Energy na kuleta nguvu mwilini

Tabibu Joseph ( Tiba asili )

Ukiona mtu antokwa jasho sana bila sababu , hasa wakati amelala usiku, anapata Kiu mara kwa mara , halafu anakosa nguvu

Katika nature hiyo ni “ Hot toxin high “

Hii aina ya sumu ndiyo Husababisha vyote hivyo vinavyoendelea mwilini mwake

Pancreas inapozalisha Insulin ili iende kwenye Seli kupitia Receptor huwa haifiki , kwa sababu Receptor imevamiwa na hii aina ya sumu ( Hot toxin ) hivyo kushindwa kutambua sukari na kuacha kuongezeka kwenye damu . ( Organ function disorder).

Ndio maana inaweza Shuka na kupanda tena , kwa sababu hiyo shida hawaitoi ili mwili uweze kufanya Kazi vizuri na kuondokanq na hiyo shida !

TREATMENT PLAN :
1. Clear hot toxin in the body
2. Balance energy kwenye Mifumo kama Figo , Tumbo , Ini , ili tatizo lisirudi tena
3. Improve Circulation for more recovery

Baada ya matibabu haya , sukari itakaa sawa pamoja na mwili mzima !

Cont : +255757577995 / +255653048888
IMG_2362.jpg
 
Habari wakuu,

Nina mdogo wangu wa kiume Umri miaka 32 juzi gafla alizidiwa akawa hana nguvu kabisa jasho jingi, tukachukua jukumu la mpeleka hospitali ndogo ya mtaani akapewa drip ila wakamshindwa wakamrefferal Amana. Kufika Amana kapatiwa huduma Toka juzi saa tatu kufikia Jana saa tano asubuhi sukari ilishuka hadi 14, Sasa mara sukari imepanda Tena Hadi 18.

Huduma anazopatiwa za kitabibu kiukweli haziridhishi kabisa maana Hana mabadiliko kabisa na madaktari na manesi ni wakali hasa hawataki ujue maendeleo ya mgonjwa. Mfano wanaweza sema watakuja kumtoa damu wakapime hapo wanaweza chukua masaa 2 ndo mtu anakuja.

Nimekuja kwenu wakuu kupata msaada hospitali ipi bora nitapata huduma bora na yenye wataalamu wabobevu ktk sukari haijalishi ni hospitali ya private au serikali
Huo unit 34 ni kg,Km or fahrenheit?
 
Ukiumwa chochote kile kama UTI, Malaria nk hizo ndo infections zenyewe. Yani mwili wa mgonjwa wa kisukari ukipata shake yoyote basi sukari nayo inacheza.
Mkuu pia akichomwa insulin mda huu mfano alafu akala mda huo huo baada ya masaa mawili akipimwa sukar inakua 13 au 14 lakin Sasa akija pimwa baada ya masaa manne sukari yake inarudi 18 nabaada ya dakika kadhaa anajiskia joto Hali inabadilika kabisa anakua mgonjwa mpaka wamchome insulin Tena pamoja na drip ndio anakaa sawa kidgo...ila i
 
Kama sumu imeisha kinachofuata sasa wanapaswa ku-regulate kiwango cha sukari kwa kumchoma insulini kulingana na sukari aliyonayo mwilini.

Kama mwili utakuwa haurespond, basi kuna kitu bado kitakuwa hakiko sawa wanapaswa kuki-rule-out.

Pia kila kitu kinapaswa kiwe na standard yake, ndiyo maana hapo juu nilisema kila wanachompa kina formula maalumu. Insulini ina formula maalum, drip za maji zina formula maalum. Ukizidisha tu unasababisha tatizo lingine.

All in all ku-manage kisukari kilicholeta hizo complications huwa inachukua muda hivyo muwe wavumilivu. Kama asidi imeisha basi sukari itakaa sawa tuu.
Mkuu umesema kama mwili haurespond bas kutakua Kuna kitu hakiko sawa ,,Sasa mkuu naona mgonjwa wangu mwili haurespond maaana japo anachoma isulin lakini Bado sukari Yako inachezea hapo hapo 18
 
Back
Top Bottom