Kingsmann
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 4,805
- 17,850
Relax mkuu, sukari ya ndugu yetu itakaa sawa tu. Kumbuka huyu ni newly diagnosed DM tena imeenda mpaka kwenye complications hivyo lazima sukari ichezecheze sana.Mkuu umesema kama mwili haurespond bas kutakua Kuna kitu hakiko sawa ,,Sasa mkuu naona mgonjwa wangu mwili haurespond maaana japo anachoma isulin lakini Bado sukari Yako inachezea hapo hapo 18
Ila wataalamu watairegulate mpaka itakaa sawa msiwe na shaka..