stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 17,216
- 26,225
Ila manesi sijui kwanini wanakuwa na kauli chafu,hasa akishakuwa senior...Q az
Mkuu najua ila sio kwahuduma naziziona hapa ...hivi mkuu ww unataka kupata taarifa za maendeleo ya mgonjwa wako unamuuliza NES anakufokea anakufukuza anakujibu njoo bas umuhudumie ww hapo utasema kunahuduma