Mgonjwa wa virusi vya Corona aripotiwa Kenya, mgonjwa wa kwanza apatikana

Mgonjwa wa virusi vya Corona aripotiwa Kenya, mgonjwa wa kwanza apatikana

digba sowey

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
8,926
Reaction score
17,880
Taarifa zinaeleza kuwa mtu mmoja anayeshukiwa kuwa na virusi vya Corona nchini Kenya amepelekwa hospitalini.

Mshukiwa huyo amefikishwa hospitali kuu ya rufaa ya Kenyatta. Vyombo vya habari nchini humo vimeripoti kuwa mtu huyo aliwekwa karantini alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi.

Hapo jana Kenya iliitahadharisha raia wake kwenda mji wa Wuhan China, mpaka pale mlipuko wa virusi hivyo utakapodhibitiwa

Mungu tusaidie sana kwa hili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waafrika sisi ni wazembe sana, hata kuzuia watu kutoka China wasije nchini mpaka ugonjwa utakapodhibitiwa tunashindwa.

Huo ugonjwa ungetoka kwetu sijui kama tungeweza kwenda kwao kirahisi.
 
Kimzaha mzaha utasikia upo Dodoma!!
[emoji1][emoji1][emoji1] Cool down, haijakuwa confirmed. Ila ndivyo dunia ya sasa ilivyo. KQ wanaoperate flight ya moja kwa moja kutoka Guangzhou, China. Jamaa alikuwa cleared na serikali ya China kusafiri ila KQ wakachukua tahadhari, alikuwa 'under quarantine' kwenye safari yote kutoka Uchina na alipofika Nairobi pia.
 
Kenya tukipata hata nyie mnapata. Kwa hivyo endeleeni kuchekacheka tu kama fisi.
 
Mbona unachanganya maneno, "mgonjwa wa kwanza apatikana" mara "anayeshukiwa". Tulia wacha mahaba, hiki kirusi sio kitu cha kutafutiana ligi, na kikitua hapa ujue na Tanzania haitapita siku moja kabla hakijaanza kuwatesa.
Kenya tukipata hata nyie mnapata. Kwa hivyo endeleeni kuchekacheka tu kama fisi.
Nakumbuka mwaka jana wazungu walivyokuwa wanaeneza uwongo kuwa Tanzania Kuna ebola halafu cha kusikitisha zaidi wakenya wengi humu wakawa wanachekelea huku wakifungua nyuzi za kijinga za kuwaunga hao wazungu mkono,
Hamkujua kuwa ile ebola ingekuwepo kweli Tanzania na nyie mngepata? Au kwa vile huo ugonjwa umeripotiwa hapo Kenya ndio leo unaamua kuitilia mkazo hiyo kauli!
Jifunzeni kuwa na akiba ya maneno.
 
Nakumbuka mwaka jana wazungu walivyokuwa wanaeneza uwongo kuwa Tanzania Kuna ebola halafu cha kusikitisha zaidi wakenya wengi humu wakawa wanachekelea huku wakifungua nyuzi za kijinga za kuwaunga hao wazungu mkono,
Hamkujua kuwa ile ebola ingekuwepo kweli Tanzania na nyie mngepata? Au kwa vile huo ugonjwa umeripotiwa hapo Kenya ndio leo unaamua kuitilia mkazo hiyo kauli!
Jifunzeni kuwa na akiba ya maneno.

Hakuna na haitokuja hata siku moja Wakenya tuwe na roho nyeusi kama za Watanzania, hakuna uzi hata mmoja ulifunguliwa na Mkenya yeyote wa kuchekelea Tanzania, tatizo lenu kubwa ni ukosefu wa elimu, huwapa changamoto hadi kusoma na kuelewa kunawapa matatizo.
Sina tatizo la mleta mada kutuhabarisha kuhusu huu ugonjwa kushukiwa kwetu hapa, sisi sio waficha maradhi kama nyie, kile ninachomshauri ni atupatie taarifa kama alivyozikuta, asichanganye, mara anatuambia "ugonjwa umepatikana" mara "inashukiwa".
 
Hakuna na haitokuja hata siku moja Wakenya tuwe na roho nyeusi kama za Watanzania, hakuna uzi hata mmoja ulifunguliwa na Mkenya yeyote wa kuchekelea Tanzania, tatizo lenu kubwa ni ukosefu wa elimu, huwapa changamoto hadi kusoma na kuelewa kunawapa matatizo.
Sina tatizo la mleta mada kutuhabarisha kuhusu huu ugonjwa kushukiwa kwetu hapa, sisi sio waficha maradhi kama nyie, kile ninachomshauri ni atupatie taarifa kama alivyozikuta, asichanganye, mara anatuambia "ugonjwa umepatikana" mara "inashukiwa".
Leo hii unakana? Sio wewe ulikuwa unafungua nyuzi zile za kulazimisha serikali ya Tanzania itangaze kuwa Tz Kuna ebola?
Sio nyie mlifungua nyuzi eti ebola in East Africa?
Tena ukawa unafungua zile nyuzi wazungu wakilazimisha serikali ya Tanzania itangaze kuwa Tz Kuna ebola,
Kweli bumunda ni bumunda tu,
Leo hii huo ugonjwa umeripotiwa kwenu ndio unajifanya kutochekelea.
 
Leo hii unakana? Sio wewe ulikuwa unafungua nyuzi zile za kulazimisha serikali ya Tanzania itangaze kuwa Tz Kuna ebola?
Sio nyie mlifungua nyuzi eti ebola in East Africa?
Tena ukawa unafungua zile nyuzi wazungu wakilazimisha serikali ya Tanzania itangaze kuwa Tz Kuna ebola,
Kweli bumunda ni bumunda tu,
Leo hii huo ugonjwa umeripotiwa kwenu ndio unajifanya kutochekelea.
Usisumbuke na hilo puuzi lisio jua baya la leo ndio zuri lakesho kwake
Lipo kama kibendera
Upepo ukipeleka kushoto nalo huko huko
Leo limekana kuiponda Tanzania juu ya Ebola feki
Kwakuwa tu kuna janga lina nyemelea Kenya!!
 
Usisumbuke na hilo puuzi lisio jua baya la leo ndio zuri lakesho kwake
Lipo kama kibendera
Upepo ukipeleka kushoto nalo huko huko
Leo limekana kuiponda Tanzania juu ya Ebola feki
Kwakuwa tu kuna janga lina nyemelea Kenya!!
Halina tofauti na bumunda lililo umuka,
Kwa sababu leo Kuna tatizo kwao ndio eti anajifanya eti huo ugonjwa ukiwa Kenya hata huku Tz utafika wakati kipindi kile cha propaganda za ebola hakuwa na akili za kutambua hilo.
 
Leo hii unakana? Sio wewe ulikuwa unafungua nyuzi zile za kulazimisha serikali ya Tanzania itangaze kuwa Tz Kuna ebola?
Sio nyie mlifungua nyuzi eti ebola in East Africa?
Tena ukawa unafungua zile nyuzi wazungu wakilazimisha serikali ya Tanzania itangaze kuwa Tz Kuna ebola,
Kweli bumunda ni bumunda tu,
Leo hii huo ugonjwa umeripotiwa kwenu ndio unajifanya kutochekelea.

Ndio nimesema nilishazoea mapungufu ya elimu yenu, huwa mumeganda sio mchezo aisei, angalia na urudie huo uzi wangu mara kumi nahisi utafahamu na kuelewa hamna sehemu Tanzania ililazimishwa kutangaza kama ina Ebola, kile mlikua mnaambiwa ni kwamba mtoe ushirkiano, waje wakagaue na kujiridhisha.
Sisi sio waficha maradhi kama mlivyo, hiki kirusi kama kimetajwa kushukiwa huku, waje wote tu wakague maabara, waingie mpaka jikoni, hatufichi maradhi, hii sio North Korea.
 
Ndio nimesema nilishazoea mapungufu ya elimu yenu, huwa mumeganda sio mchezo aisei, angalia na urudie huo uzi wangu mara kumi nahisi utafahamu na kuelewa hamna sehemu Tanzania ililazimishwa kutangaza kama ina Ebola, kile mlikua mnaambiwa ni kwamba mtoe ushirkiano, waje wakagaue na kujiridhisha.
Sisi sio waficha maradhi kama mlivyo, hiki kirusi kama kimetajwa kushukiwa huku, waje wote tu wakague maabara, waingie mpaka jikoni, hatufichi maradhi, hii sio North Korea.
NI maradhi gani hayo tuliyaficha?
Elimu yako ndio ina mapungufu ya kutosha na ndio maana ulikuwa unashirikiana na hao mabwana zenu kueneza propaganda kuwa Tanzania tunaficha uwepo wa ebola halafu leo hii unakana eti tena bila aibu,
Mlifungua nyuzi za kijinga za kuisema Tanzania inaficha uwepo wa ebola,
Hizi nyuzi ni akili gani ilikuwa inakutuma kuzifungua kwa kudai Tanzania Kuna ebola?
Kwanini hukufungua nyuzi za kuwakemea hao mabwana zenu kwa propaganda walizo kuwa wanazieneza au kwa sababu mnapenda kuwa shobokea wazungu kwa hiyo kila wanachosema huwa ni lazima muamini!
Hii ni baadhi ya comment
typical of nations run by tin-pot dictators.... trying to show as if everything is going on well..
cooking data and twisting facts
 
Pia kipindi cha zika hii ilikuwa moja ya comment ya mkenya mwenzenu.
immigration wetu fungeni mpaka wetu na wa tz, watatuambukiza zika hawa jamaa, hata humu ndani kuna wenye kauli za hovyo, lazma wanaugua haya maradhi!
 
[emoji1][emoji1][emoji1] Cool down, haijakuwa confirmed. Ila ndivyo dunia ya sasa ilivyo. KQ wanaoperate flight ya moja kwa moja kutoka Guangzhou, China. Jamaa alikuwa cleared na serikali ya China kusafiri ila KQ wakachukua tahadhari, alikuwa 'under quarantine' kwenye safari yote kutoka Uchina na alipofika Nairobi pia.
Ok!
 
Back
Top Bottom