Mgonjwa wa virusi vya Corona aripotiwa Kenya, mgonjwa wa kwanza apatikana

Mgonjwa wa virusi vya Corona aripotiwa Kenya, mgonjwa wa kwanza apatikana

Uganda walituletea ukimwi...Kenya mnataka kutuletea nini?
 
Kenya wako na shida, kuna nzige ambao ni janga la Taifa.

Mamlaka zina haha wapi pa kushika na wapi pa kuacha.

Ikiwa confirmed hiyo coronavirus shida itakuwa kubwa zaidi.

Sote twahitaji maisha mazuri na sehemu salama ya kuishi.

Tuwe na akiba ya maneno hasa wakati wa taabu ya upande mmoja maana hakuna ajuaye nani atapata nn kesho au baadaye.

Mungu atuepushe na majanga haya makubwa[emoji120][emoji120]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna na haitokuja hata siku moja Wakenya tuwe na roho nyeusi kama za Watanzania, hakuna uzi hata mmoja ulifunguliwa na Mkenya yeyote wa kuchekelea Tanzania, tatizo lenu kubwa ni ukosefu wa elimu, huwapa changamoto hadi kusoma na kuelewa kunawapa matatizo.
Sina tatizo la mleta mada kutuhabarisha kuhusu huu ugonjwa kushukiwa kwetu hapa, sisi sio waficha maradhi kama nyie, kile ninachomshauri ni atupatie taarifa kama alivyozikuta, asichanganye, mara anatuambia "ugonjwa umepatikana" mara "inashukiwa".

😀😀😀😂 Watanzania hatuna elimu!
 
Nzige wao, al shabab wao, ukabila wao, ukame wao, coronavirus wao, ufisadi na rushwa wao
Jamani hili taifa limelaaniwa au?
 
Hatujui mlichoficha maana mligomea ukaguzi wa kitaalam kutoka kwa WHO, nakumbuka aliyetangaza uwezekano wa Ebola Tz alikua afisa wa serikalini huko, mkamfutia mbali kazi na kubana taarifa.
Inafahamika Ebola unaweza ukaificha aidha kwa kumnyongea mbali mshukiwa, au kumficha hadi afe au kumtibu kimya kimya maana matibabu yapo.

Sisi hatuna hizo tabia za hovyoo za uwoga uwoga kisa visenti vya utalii, umaskini kitu mbaya, tunaalika kila mmoja aje tushirikiane kama kweli hiki kirusi kiko huku, hata wataalam wenu tunawaalika tukiangamize kwa pamoja.
Eti uoga, yani tusolve case ya ebola wenyewe afu utuite waoga. Sasa just imagine we dealt with it without WHO, external interference. Nyinyi msingeweza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatujui mlichoficha maana mligomea ukaguzi wa kitaalam kutoka kwa WHO, nakumbuka aliyetangaza uwezekano wa Ebola Tz alikua afisa wa serikalini huko, mkamfutia mbali kazi na kubana taarifa.
Inafahamika Ebola unaweza ukaificha aidha kwa kumnyongea mbali mshukiwa, au kumficha hadi afe au kumtibu kimya kimya maana matibabu yapo.

Sisi hatuna hizo tabia za hovyoo za uwoga uwoga kisa visenti vya utalii, umaskini kitu mbaya, tunaalika kila mmoja aje tushirikiane kama kweli hiki kirusi kiko huku, hata wataalam wenu tunawaalika tukiangamize kwa pamoja.
Kulikuwa Na njama za Kenya Na mabeberu kupandikiza ebora ili kudhorotesha uchumi wa tz ili kumkwamisha magufuli tukawa crash Na hizo njama zenu ndiyo sababu tulificha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni vema serikali ingezuia watu wanaotoka China kuja nchini mwetu, Mimi nipo china ila sipo Wu han lkn siwezi kuja bongo, nitahatarisha maisha ya ndugu zangu. Hiki ni kirusi kibaya sana, kinafanya mutation ndani ya muda mfupi, mtu mmoja anaweza kuwaambukiza mpka watu 14 kwa muda mfupi ni hatari sana. Watu kutoka Congo DRC ndo wanajua kadhia wanayoipata wanaposafiri kuja china, wanasumbuliwa, wanawekwa Quarantine mpk siku 21 kabla ya kuachiwa kuendelea na mambo mengine, ni vema serikali zetu ziwe makini zaidi.
 
Sisi tungeweza ila sio kwa kujificha ficha kwa uwoga wa kupoteza visenti vya utalii, sio mara moja tumejaribiwa kihivi na tukatoka bila bila kuficha soma hapa Kenya responded fast to Ebola scare, but cross-border risk remains high
Tumejifichaje fichaje yani, what do u exactly mean tumejificha, mara tunaogopa kupoteza visenti, vipi hivyo, hivi vya utalii tunavyovikusanya kuwazidi? Inakuuma sana eh, maana umeirudia kweli, seems unatamani tuvipoteze mvikusanye, si kwa jinsi ulivyoshupalia Ebola kuingia tz.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe una mtindio wa ubongo. Tumejifichaje fichaje yani, what do u exactly mean tumejificha, mara tunaogopa kupoteza visenti, vipi hivyo, hivi vya utalii tunavyovikusanya kuwazidi? Inakuuma sana eh, maana umeirudia kweli, seems unatamani tuvipoteze mvikusanye, si kwa jinsi ulivyoshupalia Ebola kuingia tz.

Sent using Jamii Forums mobile app

Nini kingine kinaweza kusababisha mjifiche na kuogopa kukaguliwa.
 
Back
Top Bottom