Kulikuwa Na njama za Kenya Na mabeberu kupandikiza ebora ili kudhorotesha uchumi wa tz ili kumkwamisha magufuli tukawa crash Na hizo njama zenu ndiyo sababu tulificha
Sent using Jamii Forums mobile app
LOL nimechekaUgonjwa ukiingia tz ccm tuikate kabisa. Tuungane tumtoe rais madarakani na ajiuzulu kabisa kw a kushindwa kudhibiti. Hata Wakenya wawakatae viongozi wote walio madarakani. Tukishindwa kuwaondoa hawa viongozi tutakuwa mazwazwa wa kutupwa kwani wao wakiugua wanakwenda nje na ugonjwa ukiwa mkubwa wao na private jet nje wanatuachia ardhi tuangaike nayo. Wajinga sana hawa viongozi.
Sent using Jamii Forums mobile app