Alipata 100% Physics ya Advance 2003...NECTA wakaogopa wangeonekana wajinga wakasema amepata 98Physics mwamba alikuwa Elias kihombo
Anaelewa madude ya physics nje ndani.. na anameza nje ndanii..
Kwenye kuelewa anashinda na kwenye kumeza anashinda
Nina uhakika Elias pepa ya Advance physics ya popote duniani anapata A
AiseeMgote kanifundisha na nimefanikiwa kupiga nae stories mara kadhaa ila ni mtu mweupe sana kwenye mambo ya nje tofauti na ufundishaji. Simsemi vibaya ila ni mtu ambaye hata application ya kile anachofundisha hajui kabisa kabisa. Nilimshangaa tofauti na walimu wenzake wa masomo mengine ambao angalau wanaweza jadili kitu wanachofundisha nje ya masomo.
Hilo la kukaririsha kila aliyesoma kwake mwenye uelewa na dunia inaendaje anajua, utaamua wewe ukariri au uelewe
Sie ambao hatukupita huko kote kwenye ma tuition ila tulisoma vitabu tu alone alo e.. ma chandi.. nelkon... Etc na bado tukapita coet udsm na sasa tuko ughaibun una tuelezaje.. mind u.. tumesoma shule hzo hzo kayumba. Ohooo... Ma genius eehNilikuwa muumini wa muddy physics, pamoja na kuwa jamaa hakuwa na exercise nyingi na kusolve maswali kama mgote ila jamaa alikuwa na uelewa mkubwa sana na physics...Mgote yeye amekariri tu na anaamini katika ule msuli tembo.
Kinachombeba mgote ni aina ya sylabus ya bongo inataka watu waliokariri maswali na sio wenye uelewa.
So utaishia kukariri na kufaulu mambo usiyoyaelewa na huwezi kuyaapply popote, ndio hawa wanaajiriwa mainjinia na GPA kubwa ila vilaza.
Muddy yeye alikuwa anakupa inspiration ya kuelewa madude..kiukweli sylabus ya bongo wanatakiwa waitwist iendane hivi ili kutengeneza wanafunzi wenye uelewa ambao wanaweza kuapply waliyosoma na kuikwamua jamii.
Wajanja tulikuwa tunasoma kwa Mudy.. material tunatumia ya mgote hata kwenye kusolve maswali [emoji23]Nilikuwa muumini wa muddy physics, pamoja na kuwa jamaa hakuwa na exercise nyingi na kusolve maswali kama mgote ila jamaa alikuwa na uelewa mkubwa sana na physics...Mgote yeye amekariri tu na anaamini katika ule msuli tembo.
Kinachombeba mgote ni aina ya sylabus ya bongo inataka watu waliokariri maswali na sio wenye uelewa.
So utaishia kukariri na kufaulu mambo usiyoyaelewa na huwezi kuyaapply popote, ndio hawa wanaajiriwa mainjinia na GPA kubwa ila vilaza.
Muddy yeye alikuwa anakupa inspiration ya kuelewa madude..kiukweli sylabus ya bongo wanatakiwa waitwist iendane hivi ili kutengeneza wanafunzi wenye uelewa ambao wanaweza kuapply waliyosoma na kuikwamua jamii.
Hii product ni ya Mahenge-Ukwama, lazima.Dah wazee wote wa pendulum bob mungu awalipe saaassana .........ndugu yangu mfungahema umeamua kunipa upatron kweli umri umeenda .. . Rip elis kihombo
Kuku hawajawahi kufeli, wanataga mayai, supu yao ni tamu, kinyesi chao mboleaWalimu wangepikwa wakaacha kucopy maswali kwenye Vitabu NECTA ,waweze kupika maswali ambayo hayapo kwenye rejea za Vitabu ndo utaona maajabu ya hapa bongo ,vijana watafeli kama kuku.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Unaona sasaNakumbuka siku moja kwny chumba cha mtihani form five shule flani PCM nilizinguana nae huyu jamaa alikua anatabia ya kutaka kusahihisha mtihani kabla ya muda kuisha ndani ya chumba cha mtihani, yaani ndio mnaanza tu mtihani hata kama ni swali moja anataka asahihishe akanikuta nimeamka na wendawazimu wangu hiyo siku kilichotokea mpaka leo hata hyo physics sihitaji kuisikia, jamaa nimekutana nae shule mbili tofauti olevel form 3 shule nyingine na nikaja kutana nae alevel form5 shule nyingine kuna aliyo yahifadhi rohoni mwake kwa muda ila Mungu c Mjomba wake na hiyo physics yake ya kukariri ilikua inanipotezea muda na kuniletea headech japo nilikua naipenda sana na nilikua muumini wa presentation za physics asubuhi kama akina pendulum bob wazee wa oscillation ila siku hiyo hata hiyo PCM sikutaka tena kuisikia pu*#**vu kabisa
We need changes kwenye edu system. Nyie mnavyokariri haiwasaidii chochote.We umefanya nini remarkable kwenye iyo physics uliyoelewa au unakuja tu kwenye jukwaa kulalama?
Ko unaona mfumo uwaangusha watu wote ila umekubeba wewe tu huko kazini kwako? Unaweza kueleza jambo ambalo umelifanya kazini liwe limemake difference kutokana na kuelewa kwako shuleni?We need changes kwenye edu system. Nyie mnavyokariri haiwasaidii chochote.
Mimi sijafanya kitu remarkable kwenye physics, lakin kupitia phylosophy ya kuelewa kuliko kukariri nmefanya vitu remarkable kazini
Physics mwamba alikuwa Elias kihombo
Anaelewa madude ya physics nje ndani.. na anameza nje ndanii..
Kwenye kuelewa anashinda na kwenye kumeza anashinda
Nina uhakika Elias pepa ya Advance physics ya popote duniani anapata A
Hata haviusiani kbsa kukarii na kukosekana na vyooo na maji kijini ndio sababu hzo za kukariiNa hii ni sababu kubwa kwanini tokea 61 mpaka leo kuna vijiji hakuna maji, hospitali, shule, umeme, barabara wala vyoo
Ko unaona mfumo uwaangusha watu wote ila umekubeba wewe tu huko kazini kwako? Unaweza kueleza jambo ambalo umelifanya kazini liwe limemake difference kutokana na kuelewa kwako shuleni?
Licha ya mfumo wa elimu kuwa mbovu kuna watu wengi wamefanya vitu vingi vizuri na remarkable na wamepitia mfumo wetu huu wa elimu lakini jitihada zao zikawabeba.
Kuna watu waliotoka hapa wakapata nafasi vyuo vya nje na wakafanya vizuri vyuoni na kazini kwa msingi wa elimu yetu ya hapahapa.
Kabla ya kuja hapa kulamimika kuwa watu walifaulu kwa kukariri na wewe ulielewa tuelezee wewe ulieelewa umefanya nini cha tofauti sio kuleta blah blah.
Kuna jamaa mmoja (Kiaumbi kama sijakosea)ila alijulikana kwa jina la "NELKON" alikua na centre yake pale St. Joseph Moshi Mjini. Hakuna swali lolote asilolijua kutoka versions zote za Nelkon.Nilikuwa muumini wa muddy physics, pamoja na kuwa jamaa hakuwa na exercise nyingi na kusolve maswali kama mgote ila jamaa alikuwa na uelewa mkubwa sana na physics...Mgote yeye amekariri tu na anaamini katika ule msuli tembo.
Kinachombeba mgote ni aina ya sylabus ya bongo inataka watu waliokariri maswali na sio wenye uelewa.
So utaishia kukariri na kufaulu mambo usiyoyaelewa na huwezi kuyaapply popote, ndio hawa wanaajiriwa mainjinia na GPA kubwa ila vilaza.
Muddy yeye alikuwa anakupa inspiration ya kuelewa madude..kiukweli sylabus ya bongo wanatakiwa waitwist iendane hivi ili kutengeneza wanafunzi wenye uelewa ambao wanaweza kuapply waliyosoma na kuikwamua jamii.
Wapi mkuu? Kwenye kufinyanga vyungu vya udongo nini?Sawa, but ninachojua vitini vya mgote vimenisaidia Mimi kuwepo hapa nilipo
Niko hai mkuuMuddy alifariki...mgote sijui
Sijasema mimi tu ndio nimebebwa...wapo wengi sana wanafanya makubwa tena kuliko mimi mara 1000.Ko unaona mfumo uwaangusha watu wote ila umekubeba wewe tu huko kazini kwako? Unaweza kueleza jambo ambalo umelifanya kazini liwe limemake difference kutokana na kuelewa kwako shuleni?
Licha ya mfumo wa elimu kuwa mbovu kuna watu wengi wamefanya vitu vingi vizuri na remarkable na wamepitia mfumo wetu huu wa elimu lakini jitihada zao zikawabeba.
Kuna watu waliotoka hapa wakapata nafasi vyuo vya nje na wakafanya vizuri vyuoni na kazini kwa msingi wa elimu yetu ya hapahapa.
Kabla ya kuja hapa kulamimika kuwa watu walifaulu kwa kukariri na wewe ulielewa tuelezee wewe ulieelewa umefanya nini cha tofauti sio kuleta blah blah.