Afrocentric view
JF-Expert Member
- Jun 19, 2022
- 1,374
- 2,280
- Thread starter
-
- #101
Ndiomaana unakuwa na taifa la graduates waliokariri mitihani na maGPA makubwa ila kichwani hamna kitu.Hata haviusiani kbsa kukarii na kukosekana na vyooo na maji kijini ndio sababu hzo za kukarii
Let me tell you kuwa kila kitu wenzetu white wameshafanya na ndio maana tunatumia vitabu vyao kusoma na kutafafuta kuelewaaa
Hapa tuliko elimu inapimwa siyo kwa uelewa Ni kwa ufaulu tu sas wee tafuta kuuelewaa na mwezako ameze afaulu mtiani ndio utaona tafauti
Hahah, kwahyo kasolve nelkon zoteKuna jamaa mmoja (Kiaumbi kama sijakosea)ila alijulikana kwa jina la "NELKON" alikua na centre yake pale St. Joseph Moshi Mjini. Hakuna swali lolote asilolijua kutoka versions zote za Nelkon.
Mwamba alichakaza matoleo yote ya Nelkon mpaka akajiita "NELKON"Hahah, kwahyo kasolve nelkon zote
R.I.P Elias KihomboPhysics mwamba alikuwa Elias kihombo
Anaelewa madude ya physics nje ndani.. na anameza nje ndanii..
Kwenye kuelewa anashinda na kwenye kumeza anashinda
Nina uhakika Elias pepa ya Advance physics ya popote duniani anapata A
R.I.P MuddyNilikuwa muumini wa muddy physics, pamoja na kuwa jamaa hakuwa na exercise nyingi na kusolve maswali kama Mgote ila jamaa alikuwa na uelewa mkubwa sana na physics. Mgote yeye amekariri tu na anaamini katika ule msuli tembo. Kinachombeba Mgote ni aina ya sylabus ya bongo inataka watu waliokariri maswali na sio wenye uelewa.
So utaishia kukariri na kufaulu mambo usiyoyaelewa na huwezi kuyaapply popote, ndio hawa wanaajiriwa mainjinia na GPA kubwa ila vilaza.
Muddy yeye alikuwa anakupa inspiration ya kuelewa madude. Kiukweli sylabus ya bongo wanatakiwa waitwist iendane hivi ili kutengeneza wanafunzi wenye uelewa ambao wanaweza kuapply waliyosoma na kuikwamua jamii.
Wewe uliyeeleewa hiyo Physics umelisaidia vipi taifa?Ukifanya kazi kwa wazungu hata kampuni zao hapa bongo halafu ufanye serikalini...utaona tofauti za kifikra.
Yani kwa wabongo wanafanya kazi kwa kukariri, kwasababu imekuwa ikifanyika hivyo jana na juzi hamna haja ya kubadilisha, na ukipropose mabadiliko watakupinga kwasababu wengi ni vilaza na wanaishi kwa kukariri.
Ndio sababu miaka 60 ya uhuru kila sekta imedorora hamna breakthrough
**** mwamba alikuwa anaitwa ally abdalah[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] yule ndo legend yani vitini vyake simple sanaa ukisoma unaenjoy sema sasa maliza kusoma alafu ukasolve maswali walahi utajua hujuiiii..
Wanakariri vitabu vya Roger, S chand na Paka sio! (Hii level inachekesha sana😀)Walimu wangepikwa wakaacha kucopy maswali kwenye Vitabu NECTA ,waweze kupika maswali ambayo hayapo kwenye rejea za Vitabu ndo utaona maajabu ya hapa bongo ,vijana watafeli kama kuku.
Labda unazungumzia Classical/Newtonian Mechanics(physics).Physics mwamba alikuwa Elias kihombo
Anaelewa madude ya physics nje ndani.. na anameza nje ndanii..
Kwenye kuelewa anashinda na kwenye kumeza anashinda
Nina uhakika Elias pepa ya Advance physics ya popote duniani anapata A
Labda classical(NEWTONIAN) physics ila Sio Quantum physics.Physics mwamba alikuwa Elias kihombo
Anaelewa madude ya physics nje ndani.. na anameza nje ndanii..
Kwenye kuelewa anashinda na kwenye kumeza anashinda
Nina uhakika Elias pepa ya Advance physics ya popote duniani anapata A
Uwong changes za wapi hizo ambazo hatujawai kuziskia.Ko unaona mfumo uwaangusha watu wote ila umekubeba wewe tu huko kazini kwako? Unaweza kueleza jambo ambalo umelifanya kazini liwe limemake difference kutokana na kuelewa kwako shuleni?
Licha ya mfumo wa elimu kuwa mbovu kuna watu wengi wamefanya vitu vingi vizuri na remarkable na wamepitia mfumo wetu huu wa elimu lakini jitihada zao zikawabeba.
Kuna watu waliotoka hapa wakapata nafasi vyuo vya nje na wakafanya vizuri vyuoni na kazini kwa msingi wa elimu yetu ya hapahapa.
Kabla ya kuja hapa kulamimika kuwa watu walifaulu kwa kukariri na wewe ulielewa tuelezee wewe ulieelewa umefanya nini cha tofauti sio kuleta blah blah.
Alipata 100% Physics ya Advance 2003...NECTA wakaogopa wangeonekana wajinga wakasema amepata 98
Kingine utafikiri topic ya Organic Chemistry ametunga yeye na unajua ilivyo ngumu
Ndo Kumanisha nini?Muddy alikua anamuita MTEGO😅
Da umenikumbusha browang tumefanyanae sana kazi tulikua tunafundishanae pale tution center Mwenge mi nikiwa napiga chemia na bios yeye physics na adv mathematics ila hatimae mungu alimpenda zaid mnamo mwaka jana miezi ya katikati R.I.E.P Mr Kihombo Elias TO wa kihistoriaAdvance alimaliza mwaka 2006, kuhusu alama hiyo sijui