Afrocentric view
JF-Expert Member
- Jun 19, 2022
- 1,374
- 2,280
- Thread starter
- #101
Ndiomaana unakuwa na taifa la graduates waliokariri mitihani na maGPA makubwa ila kichwani hamna kitu.Hata haviusiani kbsa kukarii na kukosekana na vyooo na maji kijini ndio sababu hzo za kukarii
Let me tell you kuwa kila kitu wenzetu white wameshafanya na ndio maana tunatumia vitabu vyao kusoma na kutafafuta kuelewaaa
Hapa tuliko elimu inapimwa siyo kwa uelewa Ni kwa ufaulu tu sas wee tafuta kuuelewaa na mwezako ameze afaulu mtiani ndio utaona tafauti
Hawa ndio wanaosimamia vutengo vikubwa na ndiomaana mpaka leo hakuna maji mpaka Dar