Mgote physics anakariri vitu, haelewi

Mgote physics anakariri vitu, haelewi

Hata haviusiani kbsa kukarii na kukosekana na vyooo na maji kijini ndio sababu hzo za kukarii

Let me tell you kuwa kila kitu wenzetu white wameshafanya na ndio maana tunatumia vitabu vyao kusoma na kutafafuta kuelewaaa
Hapa tuliko elimu inapimwa siyo kwa uelewa Ni kwa ufaulu tu sas wee tafuta kuuelewaa na mwezako ameze afaulu mtiani ndio utaona tafauti
Ndiomaana unakuwa na taifa la graduates waliokariri mitihani na maGPA makubwa ila kichwani hamna kitu.
Hawa ndio wanaosimamia vutengo vikubwa na ndiomaana mpaka leo hakuna maji mpaka Dar
 
La maana ujue Wazungu walijitahidi kuweka hizo kanuni ili sisi tukariri.
 
Physics mwamba alikuwa Elias kihombo

Anaelewa madude ya physics nje ndani.. na anameza nje ndanii..

Kwenye kuelewa anashinda na kwenye kumeza anashinda

Nina uhakika Elias pepa ya Advance physics ya popote duniani anapata A
R.I.P Elias Kihombo
 
Nilikuwa muumini wa muddy physics, pamoja na kuwa jamaa hakuwa na exercise nyingi na kusolve maswali kama Mgote ila jamaa alikuwa na uelewa mkubwa sana na physics. Mgote yeye amekariri tu na anaamini katika ule msuli tembo. Kinachombeba Mgote ni aina ya sylabus ya bongo inataka watu waliokariri maswali na sio wenye uelewa.

So utaishia kukariri na kufaulu mambo usiyoyaelewa na huwezi kuyaapply popote, ndio hawa wanaajiriwa mainjinia na GPA kubwa ila vilaza.

Muddy yeye alikuwa anakupa inspiration ya kuelewa madude. Kiukweli sylabus ya bongo wanatakiwa waitwist iendane hivi ili kutengeneza wanafunzi wenye uelewa ambao wanaweza kuapply waliyosoma na kuikwamua jamii.
R.I.P Muddy
 
Ukifanya kazi kwa wazungu hata kampuni zao hapa bongo halafu ufanye serikalini...utaona tofauti za kifikra.
Yani kwa wabongo wanafanya kazi kwa kukariri, kwasababu imekuwa ikifanyika hivyo jana na juzi hamna haja ya kubadilisha, na ukipropose mabadiliko watakupinga kwasababu wengi ni vilaza na wanaishi kwa kukariri.
Ndio sababu miaka 60 ya uhuru kila sekta imedorora hamna breakthrough
Wewe uliyeeleewa hiyo Physics umelisaidia vipi taifa?

Walimu hawawezi kufanana hata siku 1, lazima uwepo utofauti hata kama wote wanafundisha kitu sawa.
 
**** mwamba alikuwa anaitwa ally abdalah[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] yule ndo legend yani vitini vyake simple sanaa ukisoma unaenjoy sema sasa maliza kusoma alafu ukasolve maswali walahi utajua hujuiiii..

Naweza kusema labda ni baadhi ya vitini lakini vingi viko vyema sana mfano tronics & tele, circular na environmental ambayo hana mpinzani.
 
Mimi nilikuwa sio muhumini wa hizi notes hasa kwa physics..

Mimi ni Chand,Nelkon na Roger..
 
Mpk sas nimeamini kuelewa masoma kwa tz Ni pmj na kutema Kama ulivyo pewa na walimu Kama una bisha bas endelea kutafuta kuelewaa

Seema nn nimependa San mfumo wa sas mnk unakuta Kijan Ana gpa kubwa ila akifika utumishi ktk usaili wao Basi akipata San hatafuka 20 Wal 50 nin ushaihid huo Kuna jamaa zangu wanna gpa kubwa ila ajabu mkp leo hawajawi kuwin mitiani ya tume kwa kuwa tume wanatunga nondo nzito sna wanaopanguwa hizo nondo wengi Ni wale walio na gpa ndogo na kuwaburuza vipanga na gpa zao
 
Walimu wangepikwa wakaacha kucopy maswali kwenye Vitabu NECTA ,waweze kupika maswali ambayo hayapo kwenye rejea za Vitabu ndo utaona maajabu ya hapa bongo ,vijana watafeli kama kuku.
Wanakariri vitabu vya Roger, S chand na Paka sio! (Hii level inachekesha sana😀)
 
Physics mwamba alikuwa Elias kihombo

Anaelewa madude ya physics nje ndani.. na anameza nje ndanii..

Kwenye kuelewa anashinda na kwenye kumeza anashinda

Nina uhakika Elias pepa ya Advance physics ya popote duniani anapata A
Labda unazungumzia Classical/Newtonian Mechanics(physics).

Unaijua Quantum physics mkuu?
 
Physics mwamba alikuwa Elias kihombo

Anaelewa madude ya physics nje ndani.. na anameza nje ndanii..

Kwenye kuelewa anashinda na kwenye kumeza anashinda

Nina uhakika Elias pepa ya Advance physics ya popote duniani anapata A
Labda classical(NEWTONIAN) physics ila Sio Quantum physics.
 
Ko unaona mfumo uwaangusha watu wote ila umekubeba wewe tu huko kazini kwako? Unaweza kueleza jambo ambalo umelifanya kazini liwe limemake difference kutokana na kuelewa kwako shuleni?

Licha ya mfumo wa elimu kuwa mbovu kuna watu wengi wamefanya vitu vingi vizuri na remarkable na wamepitia mfumo wetu huu wa elimu lakini jitihada zao zikawabeba.

Kuna watu waliotoka hapa wakapata nafasi vyuo vya nje na wakafanya vizuri vyuoni na kazini kwa msingi wa elimu yetu ya hapahapa.

Kabla ya kuja hapa kulamimika kuwa watu walifaulu kwa kukariri na wewe ulielewa tuelezee wewe ulieelewa umefanya nini cha tofauti sio kuleta blah blah.
Uwong changes za wapi hizo ambazo hatujawai kuziskia.
 
Alipata 100% Physics ya Advance 2003...NECTA wakaogopa wangeonekana wajinga wakasema amepata 98

Kingine utafikiri topic ya Organic Chemistry ametunga yeye na unajua ilivyo ngumu

Advance alimaliza mwaka 2006, kuhusu alama hiyo sijui
 
Advance alimaliza mwaka 2006, kuhusu alama hiyo sijui
Da umenikumbusha browang tumefanyanae sana kazi tulikua tunafundishanae pale tution center Mwenge mi nikiwa napiga chemia na bios yeye physics na adv mathematics ila hatimae mungu alimpenda zaid mnamo mwaka jana miezi ya katikati R.I.E.P Mr Kihombo Elias TO wa kihistoria
 
Dah hao wote wako njema ila me alini train bro wetu mmoja MTAMBO kwa kutumia vitini vya mgote jamaa yupo njema tulitoka nondo tukaenda kujipigia vibanda vyetu vya PHYZ kibosi

Show out to you bro'
 
Back
Top Bottom