Dr Msweden
JF-Expert Member
- Nov 3, 2020
- 2,629
- 9,530
Nilisikia huyo jamaa nae karudisha nambaMuddy alifariki...mgote sijui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilisikia huyo jamaa nae karudisha nambaMuddy alifariki...mgote sijui
Wengi wanaokariri hawaelewi.Unaweza kuelewa na kuelewa ujinga, mtu aliye Kali ujue kaelewa,
Dah, basi so sad.Nilisikia huyo jamaa nae karudisha namba
Hemu andika hoja ielewekeUkifanya kazi kwa wazungu hata kampuni zao hapa bongo halafu ufanye serikalini...utaona tofauti za kifikra.
Yani kwa wabongo wanafanya kazi kwa kukariri, kwasababu imekuwa ikifanyika hivyo jana na juzi hamna haja ya kubadilisha, na ukipropose mabadiliko watakupinga kwasababu wengi ni vilaza na wanaishi kwa kukariri.
Ndio sababu miaka 60 ya uhuru kila sekta imedorora hamna breakthrough
Hapa wanaongea waliofanikiwa kusoma Tuition Dar.Mnajadili nini hapa au nimepotea njia ya msalani nimeingia cha kikeni?
Akipewa swali ambalo hajawahi kuona solution yake hatoboi.Hemu andika hoja ieleweke
Swali Nini maana ya kukariri, aliyekariri physcs yupoje??
dah pole kwa kusoma enz za magufuli na mama, mwalimu wangu wa physics bora, japo sikuendelea na maswala ya phyisics ila physics imekuwa hobby kwanguSawa, kwa bahati mbaya sikumjua kiundani so sina comment
Kwahiyo Mgote ulimpa swali ambalo hajawaia kuliona hakutoboa ??Akipewa swali ambalo hajawahi kuona solution yake hatoboi.
Hivi kukariri na kuelewa Ni Nini hasaUnaweza ukaelewa na ukafeli ,na unaweza kukariri na ukafaulu in General Elimu ya Tz haimjengei mwanafunz kua competitive kweny soko la Ajira
Kwani we unabisha nn...em sema basi upo upande upi. Unamtetea mgote kuwa na uelewa?Kwahiyo Mgote ulimpa swali ambalo hajawaia kuliona hakutoboa ??
IrrelevantMkuu uliferi physics? Mbona una hasira sana.nani alikwambia hapa bongo tunataka kuelewa mambo?
badirika ndugu
Aah, ulishawahi hata kunusa kwa hao wawili mudy na mgote?dah pole kwa kusoma enz za magufuli na mama, mwalimu wangu wa physics bora, japo sikuendelea na maswala ya phyisics ila physics imekuwa hobby kwangu
Jibu swali kama Kama uwezi omba uzi ufutweKwani we unabisha nn...em sema basi upo upande upi. Unamtetea mgote kuwa na uelewa?
Yeah..exactlyMgote kanifundisha na nimefanikiwa kupiga nae stories mara kadhaa ila ni mtu mweupe sana kwenye mambo ya nje tofauti na ufundishaji. Simsemi vibaya ila ni mtu ambaye hata application ya kile anachofundisha hajui kabisa kabisa. Nilimshangaa tofauti na walimu wenzake wa masomo mengine ambao angalau wanaweza jadili kitu wanachofundisha nje ya masomo.
Hilo la kukaririsha kila aliyesoma kwake mwenye uelewa na dunia inaendaje anajua, utaamua wewe ukariri au uelewe