Mgunda alikuwa anasaidiwa na utelezi wa Pablo na Zoran, sasa umekwisha

Mgunda alikuwa anasaidiwa na utelezi wa Pablo na Zoran, sasa umekwisha

Watu hawataamini kuhusu uwezo wa Mgunda kuifundisha Simba. Simba haiwezi kufundishwa na mgunda na Matola bhana.

Ushindi mfululizo wa Mgunda tuliokuwa tunauona ulitokana na saikolojia ya wachezaji mbele ya kocha mpya tu. Kila mchezaji alikuwa anacheza kwa kiwango kikubwa kuliko afya, kipato na mafundisho yao ili kutafuta namba kwa kocha mpya (mgunda).

Baada ya wachezaji wa Simba kuanza kupokea mafundisho halisi ya mgunda na matola na kupata namba za kudumu watarudi kuliko mashabiki wasikokutaka (kupoteza mechi).

Unajua kwanini? makocha wa kitanzania/waafrika wanafeli kwenye saikolojia ya wachezaji na mbinu za kufundishia, na hii ni kutokana na aina ya malezi na mafundisho yetu.

Mchezaji akikosana na kocha kama Kibadeni, Mkwasa, Mgunda, Minziro, Mwambusi na wengine wa aina hii kutatokea bifu la kufa mtu kati ya kocha na mchezaji, kocha na benchi la ufundi, nk.

Mgunda hana mafunzo ya ukocha ya hali ya juu bali anatumia kipaji, uzoefu na uchezaji mpira wake tu baasi. Kufungwa na Azam huu utakuwa ndio mwanzo mbaya kwa Simba na Mgunga mwenyewe.



Pumba tupu
 
Yanga ina mechi 44 sasa haijafungwa kwenye ligi, unajuwa ni kwanini?

Sababu ziko nyingi;
1. Ushirikina
2. Matokeo ya mchongo( rejea mechi ya Namungo kule Lindi, mechi ya Geita ligi ya shirikisho kutaja mifano ya wazi kabisa ambapo Yanga ilifungwa, waamuzi wakatoa kusawazisha kiuongo dhahiri na wa wazi kabisa)
3. Jitihada za team na pia ubora wa wachezaji, kwenye hili ni fact.
4. Kichaka cha ligi kuu inasemwa ni unbeaten lakini imefungwa 2-0 na Vipes na 1-0 na Al Hilal, na kufungwa ni kufungwa tu.
 
Karia ndiye kaipa Simba zawadi ya Mgunda, Lakini ni swala la muda TU atawaduwaza. Matokeo aliyokuwa anayapata zilikuwa jitihada binafsi za wachezaji kutafuta namba kwa kocha mpya.

Hata kwa Yanga, ni uwezo binafsi wa wachezaji, Nabi ni kocha wa kawaida sana. Akikutana na team zibazojitanbua hana jipya. Msimu uliopita alifungwa mara 3, waamuzi wakatoa penalty za uongo akasawazisha( hakushinda, rejea mfano wa mechi ya Namungo vs Yanga pale Ilulu Stadium- Lindi)
 
Sababu ziko nyingi;
1. Ushirikina
2. Matokeo ya mchongo( rejea mechi ya Namungo kule Lindi, mechi ya Geita ligi ya shirikisho kutaja mifano ya wazi kabisa ambapo Yanga ilifungwa, waamuzi wakatoa kusawazisha kiuongo dhahiri na wa wazi kabisa)
3. Jitihada za team na pia ubora wa wachezaji, kwenye hili ni fact.
4. Kichaka cha ligi kuu inasemwa ni unbeaten lakini imefungwa 2-0 na Vipes na 1-0 na Al Hilal, na kufungwa ni kufungwa tu.
Ungekaa kimya tusingejua umbumbumbu wako
 
Watu hawataamini kuhusu uwezo wa Mgunda kuifundisha Simba. Simba haiwezi kufundishwa na mgunda na Matola bhana.

Ushindi mfululizo wa Mgunda tuliokuwa tunauona ulitokana na saikolojia ya wachezaji mbele ya kocha mpya tu. Kila mchezaji alikuwa anacheza kwa kiwango kikubwa kuliko afya, kipato na mafundisho yao ili kutafuta namba kwa kocha mpya (mgunda).

Baada ya wachezaji wa Simba kuanza kupokea mafundisho halisi ya mgunda na matola na kupata namba za kudumu watarudi kuliko mashabiki wasikokutaka (kupoteza mechi).

Unajua kwanini? makocha wa kitanzania/waafrika wanafeli kwenye saikolojia ya wachezaji na mbinu za kufundishia, na hii ni kutokana na aina ya malezi na mafundisho yetu.

Mchezaji akikosana na kocha kama Kibadeni, Mkwasa, Mgunda, Minziro, Mwambusi na wengine wa aina hii kutatokea bifu la kufa mtu kati ya kocha na mchezaji, kocha na benchi la ufundi, nk.

Mgunda hana mafunzo ya ukocha ya hali ya juu bali anatumia kipaji, uzoefu na uchezaji mpira wake tu baasi. Kufungwa na Azam huu utakuwa ndio mwanzo mbaya kwa Simba na Mgunga mwenyewe.

Wewe ni utopolo unamwogopa sana Mgunda.
Hivi ni janja janja tumeistukia.Zoran aliwapa ushindi kwa kufanya sub za kipumbavu,usajili wa mjinga yule Dejan na tabia yake ya kudharau wachezaji kama Phiri,na Chama.

Najua utopolo mlimwelewa sana Zoran kwa kuwa mlijua kwa kuwepo yeye angeivuruga sana Simba
 
Mm ningependa kujua ni kwanini wachambuzi uchwara na makolo walitaka Nabbi afukuzwe.
Ukanjanja TU na mahaba ya timu Yao yaliyopitiliza, ndio maana wachambuzi wa aina hii hawawezi kupata kazi kwenye media kubwa kama Azam. Wanabakia kwenye viredio TU. Mfano, Ahmed Ally ni Simba lakini alivyokuwa Azam hakuonyesha usimba wake, Ally kamwe hivyohivyo na Ibwe halikadhalika.
 
Wewe ni utopolo unamwogopa sana Mgunda.
Hivi ni janja janja tumeistukia.Zoran aliwapa ushindi kwa kufanya sub za kipumbavu,usajili wa mjinga yule Dejan na tabia yake ya kudharau wachezaji kama Phiri,na Chama.

Najua utopolo mlimwelewa sana Zoran kwa kuwa mlijua kwa kuwepo yeye angeivuruga sana Simba
Mzungu hadanganyi, Dejan ni Bora kuliko Phiri, ni subra TU mlikosa, Narudia tena Simba hakuna mchezaji Bora bali Kuna wachezaji ambao wanatafuta namba kwa Mgunda, namba wameshapata na wengine akina Dejan Quatara, sakhol, Banda na wengine wazuri wamekosa.

Mgunda anaona Kennedy, Nyoni, onyango, Mzamiru ni Bora kuliko akina Quatara.
 
Mgunda kasomea kozi za wakufunzi kutoka Fifa wanaokuja Tff kwaajili ya kutoa mafunzo ya ukocha.
Kwahiyo ni zile semina za wiki mbili halafu mtu tayari anaitwa kocha, no wonder.
 
Evening class online. Madesa kama yote.
Kocha sio kufundisha mpira TU bali hall ujue hata kumvumilia mwenye makosa, kusoma hisia za wengine na kutambua potentials. Hii inahitaji kwenda darasani lakini na malezi yako nyumbani, shuleni na kwenye mpira wakati wako.
 
Simba bila kuondoka matola watafukuza kila kocha yule ndo anaharibia makocha wenzake pale simba.
 
Nyie mkisaidiwa na marefa na vibahasha vya hapa na pale
 
Kwahiyo ni zile semina za wiki mbili halafu mtu tayari anaitwa kocha, no wonder.
Sisi wachezaji wetu wakisha maliza kucheza mpira wakuwa makocha bila kusomea, ndiyo maana ata leo hii Mgunda akifukuzwa Simba hawezi kupata timu nje ya Tanzania kwasababu hawataki kusoma, Tofauti na wenzetu wa Congo, Burundi, Rwanda, Kenya na Uganda wenzetu wanaenda kusoma nje ya nchi, leo hii Bocco au Nyoni akistaafu soka Simba wana mpa ukocha wa timu ya vijana bila ata kumuuliza vyeti.
 
Sisi wachezaji wetu wakisha maliza kucheza mpira wakuwa makocha bila kusomea, ndiyo maana ata leo hii Mgunda akifukuzwa Simba hawezi kupata timu nje ya Tanzania kwasababu hawataki kusoma, Tofauti na wenzetu wa Congo, Burundi, Rwanda, Kenya na Uganda wenzetu wanaenda kusoma nje ya nchi, leo hii Bocco au Nyoni akistaafu soka Simba wana mpa ukocha wa timu ya vijana bila ata kumuuliza vyeti.
Ndio maana nimeuliza nilitalajia nitaambiwa amesoma College Fulani German, Holland au Brazil and likes, kumbe Ni makocha wanaohudhuria semina fupi na kupewa vyeti tena mbaya zaidi semina zenyewe zinafanyiwa uwanja wa Karume, no wonder.
 
Acha kuwa shabiki maandazi mtoa mada, kikosi hakikuwa na wachezaji muhim ambao huwa wako first 11 halafu unasema sijui communication skills.

Nyie ndo wale wanaohisi timu hizi za kariakoo hazitakiwi kufungwa. To me mgunda ni kocha mzuri sana and he is there to stay.
 
Back
Top Bottom