Hata mwanzoni anaanza mimi nilijua yule mwana mama asingewezana na haji manara, Haji ni mjuaji sana.Ishu sio kiongozi nadhan tuanze na kufumua wizara husika isishikwe na wanasiasa na wanasiasa ndio chanzo cha soka letu kwenda hovyo
Unakumbuka miaka flani 2 hapo nyuma barbra alikosa nafasi ya kwnza ya uwakilishi huko CAF kisa tifuatifua baadae ndo akapata
Mi nadhani uchaguzi ujao agombee apate uraisi wa tff tuone maana ana vision sana yule mwana mama hapendi makando kando
tuachane na hizi ishu za soka letu kivyetu vyetu
Hamasa wanapewa wale mapunguani wakina mwijaku huoni kama ni mzaha juu ya mzahaHata mwanzoni anaanza mimi nilijua yule mwana mama asingewezana na haji manara, Haji ni mjuaji sana.
Hapo kwenye wizara hao wachumia tumbo ndio shuguli kubwa ilipo.
Na umeongea jambo kubwa sana. Bila wizara husika kuwa responsible aisee tutaendelea kufurahia CAF kupost “we miso misondo umepigaje hapo”
Lakini mkuu,Hamasa wanapewa wale mapunguani wakina mwijaku huoni kama ni mzaha juu ya mzaha
Makocha Wazawa hata timu za kufundisha nje ya TANZANIA hawana uwezo wa kufundisha, kutwa wanazunguka ktk vilabu vya ndani na hawafanyi vizuri!!Japo kolo management walimdharau mgunda kumpeleka kolo queens ila kocha mgunda ni bonge la kocha Kwa sababu zifuatazo
1. Boli litembee philosophy, hii slogan ya mgunda inaifanya timu ijiamini Kwa kukokota mpira mbele badala kupiga back pass nyingi
2 ni mzawa hivyo anawajua wachezaji wengi in deep tofauti na kuwa na hawa wageni
Bila shaka mgunda anaweza saidia taifa stars View attachment 2884625
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Ila Rage aliona mbali sana....[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Japo kolo management walimdharau mgunda kumpeleka kolo queens ila kocha mgunda ni bonge la kocha Kwa sababu zifuatazo
1. Boli litembee philosophy, hii slogan ya mgunda inaifanya timu ijiamini Kwa kukokota mpira mbele badala kupiga back pass nyingi
2 ni mzawa hivyo anawajua wachezaji wengi in deep tofauti na kuwa na hawa wageni
Bila shaka mgunda anaweza saidia taifa stars View attachment 2884625
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Japo kolo management walimdharau mgunda kumpeleka kolo queens ila kocha mgunda ni bonge la kocha Kwa sababu zifuatazo
1. Boli litembee philosophy, hii slogan ya mgunda inaifanya timu ijiamini Kwa kukokota mpira mbele badala kupiga back pass nyingi
2 ni mzawa hivyo anawajua wachezaji wengi in deep tofauti na kuwa na hawa wageni
Bila shaka mgunda anaweza saidia taifa stars View attachment 2884625
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Hicho kinachoturudisha nyumaapewe mapema ili aunde kikosi kinzuri mimi naamini sana jamaa anauwezo mkubwa ila sisi tunatabia ya kuzibiana hasa tunapoona mwenzetu atafika mbali na anahitaji support yetu. mfano tu simba ilipokuwa chini ya mgunda ilikuwa na performance nzuri ila sasa tukamtoa kisa ni mzawa kilichofuata kila mtu anajua..
[emoji1][emoji1][emoji125][emoji1787][emoji1787][emoji1787]aseee hiyo picha imenichekesha sana
Wanasema wazee Wana uzoefuTuongeze Academy Kutafuta Wachezaji Si Wazee Wale Tunang'ang'ania Na Kuwalaumu Kocha Bure.
Naunga Mkono Hoja Ya Kuwa Na Kocha Mzawa.
Ila karia kajitahidi kuiongozq TFFMimi nafikiri eng hersi apewe uongozi hapo, tatizo sidhani kama ni kocha, uongozi wa TFF ni uozo mtupu.
Eng; hersi anapaswa kushika uongozi hapo ni mtu sahihi sana, tatizo la timu ya taifa inaanzia kwa viongozi.
Wale Kongo si level yetu kabisa[emoji1]Si kudunda tu walichemka kbs..walikosa ubunifu wakabaki kucheza tunavyotaka
Kumbuka alipewa timu kidharuraKwa uwezo gani hasa ulioonyeshwa? Yaani mchezo mzima hakuna Mpira uliopigwa GOLINI halafu eti apewe timu? Ebu tuwe "serious" kidogo yaani mechi unayotakiwa kushinda usonge mbele unacheza OVYO hivyo halafu watu wanasema kwamba upewe timu moja kwa moja. Mmelogwa AMA?
Ebu angalia hapa
View attachment 2884647
Kwa mamlaka gani[emoji1][emoji1][emoji1]Namuagiza Ndumbaro Ampe Team Mgunda
Boll Itembee
Labda nae etoo kakutana na vighagula wa hiyo sector [emoji1]Lakini mkuu,
Kwa upande mwingine hizi wizara ilipaswa apewe mtu mwenye uzoefu ambaye anafahamu michezo au alishawahi kuwa mchezaji au kocha Hawa ndio wanaelewa kwa undani .
Lakini huwa najiulizaga Etoo amekuwa mchezaji mkubwa sana duniani, Kwanini kama raisi wa mpira nchini kwake hatuoni ile transformation inayoendana na hadhi yake wakati anafahamu kwa kinagaubaga hii sekta?
Unataka kusema wizara na viongozi wa juu watakuwa wana hujumu hivyo hafanyi kazi yake kwa ufanisi?
Kama Bashite Mkuu Anavyofanya
[emoji23][emoji1]Ila Rage aliona mbali sana....[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unahisi shida ipo wapi mkuu [emoji23]Wabongo hata mletewe kocha kutoka Argentina au Spain mtaacha kulalamika?
Huyo mgunda nawapa siku chache tu anasepa
Chukua tano hizooJapo kolo management walimdharau mgunda kumpeleka kolo queens ila kocha mgunda ni bonge la kocha Kwa sababu zifuatazo
1. Boli litembee philosophy, hii slogan ya mgunda inaifanya timu ijiamini Kwa kukokota mpira mbele badala kupiga back pass nyingi
2 ni mzawa hivyo anawajua wachezaji wengi in deep tofauti na kuwa na hawa wageni
Bila shaka mgunda anaweza saidia taifa stars
View attachment 2884625
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app