Hivi Mpili wetu yuko wapi?🤣Naunga mkono hoja,tatzo pale Msimbaz wazee wana kinyongo hakuna baraka za wazee pale...ukitka uishi vizuri nchi hii heshimu wazee wa Dar mambo yako yatanyooka sasa Barbra yy anawaona hawana elimu tatzo linaanzia hapo
Kwani simba queen imewezaje kuvuka? Huyu ana leseniNao simba wajinga barbara ameonyesha udhaifu mkubwa sana. Kama ceo unatakiwa ufanya background check kuhakikisha huyo mtu anakidhi vigezo. Sasa wanaonekana club ya kienyeji kweli kweli.
Na nitashangaa kama nkoma atakubaliwa ukizingatia hawa wawili walikuwa darasa hilo hilo na vyeti vyao mpaka leo havijatoka
Wazee hawataki kuongozwa na MwanamkeNaunga mkono hoja,tatzo pale Msimbaz wazee wana kinyongo hakuna baraka za wazee pale...ukitka uishi vizuri nchi hii heshimu wazee wa Dar mambo yako yatanyooka sasa Barbra yy anawaona hawana elimu tatzo linaanzia hapo
Nkoma anacho na ndio Maana Juzi alikuwa benchi la simbakwini Kwenye Mashindano ya Caf ya JuziNao simba wajinga barbara ameonyesha udhaifu mkubwa sana. Kama ceo unatakiwa ufanya background check kuhakikisha huyo mtu anakidhi vigezo. Sasa wanaonekana club ya kienyeji kweli kweli.
Na nitashangaa kama nkoma atakubaliwa ukizingatia hawa wawili walikuwa darasa hilo hilo na vyeti vyao mpaka leo havijatoka
Umesahau kuwa unaweza maliza shule halafu ukajifanya umesahau kuchukua cheti.Kusoma hakuna uhusiano wa moja kwa moja na kufaulu.Sasa kama huyo Mgunda hana cheti na huyu seba anakuwaje na cheti wakati hiyo leseni A walikuwa darasa moja[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]