Mgunda atatuvusha Afcon, Sina Shaka nae

Akina Jose mauriinyoo ,alipwe chake asepe kutengeneza mazingira ya kufukuzwa sio ishu ishu mpunga
 
Hakuna maajabu yatakayo tokea. Mechi zote mbili tukijitahidi, basi ni sare. Maana hao makocha wenyewe walioachiwa timu nao ni vilaza tu kama huyo kilaza mwenzao Amrouche.
 
Hakuna maajabu yatakayo tokea. Mechi zote mbili tukijitahidi, basi ni sare. Maana hao makocha wenyewe walioachiwa timu nao ni vilaza tu kama huyo kilaza mwenzao Amrouche.
Mkuu Juma Mgunda ni bonge la kocha hakuitwa Guardiola Mnene kwa bahati mbaya ujue
 
Huwezi kubadilisha falsafa za mwalimu katikati ya mashindano, hapo kitachofanyka mwalimu ataendelea kutoka mifumo yake. Msaidizi wa kocha mkuu lazima aendelee na mfumo Wa kocha mkuu, kuanza kuwaelekeza wachezaji sasahv katika ya mashindano ni kujidanganya yule mwalimu alipima maji akaabgalia kile kikosi akaona hio aibu haitaki sasa ili nijitoe ngoja nitengeneze nzengwe halafu mzigo wamtupie mtu mwingine🤣🤣
 
Hemedi Morocco ndio head coach na juma mgunda ni msaidizi wake.
 
Nyinyi ndio mlimpigia debe Boniface awe kocha wa Taifa tukaishiwa kupigwa goli Saba, makocha wetu Kama mnataka wapewe timu makocha wazawa waende wakasome na watafute timu nje za kufundisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…