Mgunda hana uwezo, atuachie timu yetu

Mgunda hana uwezo, atuachie timu yetu

KAGAMEE

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2013
Posts
4,457
Reaction score
5,454
Nyie viumbe naamini mmeamka salama japo Mihogo FC wanatupigia sana kelele. Kwa wale mnaofatilia mpira wa Simba hivi karibuni mtaona kabisa Mgunda ana uwezo mdogo sana, kiufupi anabebwa na uwezo binafsi wa baadhi ya wachezaji.

Kabla hatujapata aibu zaidi naombeni uongozi wangu/wetu umtimue mara moja. Ambao bado mnawaza kuchukua Kombe la NBC Premier League, mnajua ugumu wa kupunguza hilo pengo la alama tulizonazo sisi na hao Mihogo? Mnajua wanavyokuwa makini wakiwa wanaongoza ligi?

Tunajipa matumaini kimataifa lakini hata huko sioni nuru, hakuna kitu tutarudi nacho chini ya huyu mvaa jinzi.

Bila kupepesa macho, atimuliwe upesi sana.
 
Mgunda = huyu huyu Pep Guadiora wa Bongo mwenye pensi kubwa au unamzungumzia Mgunda yupi?
Hawa wana simba wana roho mbaya sana yaani wao wanataka hela za mo ziendage kwa makocha wa kigeni tuu na sio mzawa.
Mgunda abaki hapo apige kazi simple kabisa. Ata pep wa man city anabebwa na wachezaji wazuri. Hamna kocha atapata mafanikio bila kiwa na wachezaji wazuri.
 
Kuwa na kocha Mgunda naona kama Simba SC tuna bet, kadri anavyozidi kukaa muda mrefu inawezekana ndio akatumaliza kwenye ligi huku sisi tukiendelea kushangilia uwepo wake kwasababu ya kutupeleka makundi CAFCL.

#anatuzubaisha.
 
Yote haya kisa yanga kafuzu? Au mnataka Mgunda awe mbuzi wenu wa kafara?. Simba n timu dhaifu Sana, timu inayotegemea uwepo wa mchezaji mmoja ndio icheze mpira haiwez kuwa bora na huwez kumlaumu kocha kamwe.
Simba ina wachezaji wengi ambao Hawana muendelezo mzuri ni kama homa za vipindi, quality ya wachezaji wa Simba n kawaida sana mf, Kyombo, kibu,Okwa,Akpan. Simba haina mchezaji mbadala kwa chama??.
 
Kuwa na kocha Mgunda naona kama Simba SC tuna bet, kadri anavyozidi kukaa muda mrefu inawezekana ndio akatumaliza kwenye ligi huku sisi tukiendelea kushangilia uwepo wake kwasababu ya kutupeleka makundi CAFCL.

#anatuzubaisha.
Endeleeni kushangaza shangaa mtakuja jikuta mkoa nafasi ya 8 huyu kocha nishasemaga hana mbinu na atakapoendelea kuwepo basi Simba ijiandae kutoa draw nyingi sana.
 
Yote haya kisa yanga kafuzu? Au mnataka Mgunda awe mbuzi wenu wa kafara?. Simba n timu dhaifu Sana, timu inayotegemea uwepo wa mchezaji mmoja ndio icheze mpira haiwez kuwa bora na huwez kumlaumu kocha kamwe.
Simba ina wachezaji wengi ambao Hawana muendelezo mzuri ni kama homa za vipindi, quality ya wachezaji wa Simba n kawaida sana mf, Kyombo, kibu,Okwa,Akpan. Simba haina mchezaji mbadala kwa chama??.
Umemsahau sakho na kanoute ni zero
 
Yote haya kisa yanga kafuzu? Au mnataka Mgunda awe mbuzi wenu wa kafara?. Simba n timu dhaifu Sana, timu inayotegemea uwepo wa mchezaji mmoja ndio icheze mpira haiwez kuwa bora na huwez kumlaumu kocha kamwe.
Simba ina wachezaji wengi ambao Hawana muendelezo mzuri ni kama homa za vipindi, quality ya wachezaji wa Simba n kawaida sana mf, Kyombo, kibu,Okwa,Akpan. Simba haina mchezaji mbadala kwa chama??.
Walituombea mabaya sana hawa watu lakini Mungu yupo pamoja na Yanga., Mungu wetu siyo kama wanadamu.
 
Waeleze bwana watu wanataka kutimua timua kocha tuu kisa draw.
Mi sipendi aisee makosa lazima yawepo ndo maana kuna kushinda na kushindwa. Kwahyo Simba ikifunga huo ubaya wake hamuuoni? Akifungwa ndo mnataka aondoke. H
 
Shabiki takataka,asiye jitambua,mpenda matokeo bila hata kuangalia wapinzani wamechezaje,hii ni ligi, kwamba angekuwepo mzungu ingeshinda mech zote?acheni wivu wa kichawi
 
Back
Top Bottom