Mgunda hana uwezo, atuachie timu yetu

Mgunda hana uwezo, atuachie timu yetu

Endeleeni kushangaza shangaa mtakuja jikuta mkoa nafasi ya 8 huyu kocha nishasemaga hana mbinu na atakapoendelea kuwepo basi Simba ijiandae kutoa draw nyingi sana.
Jana nimegundua Mgunda anabebwa na uwezo binafsi wa baadhi ya wachezaji wa Simba, wakiwemo Chama na Okrah, lakini bila hao, Mgunda hana jipya.

Simba imeshafukuza kina Aussems pamoja na ubora wake bila kosa lolote, Mgunda hana immunity.
 
Unataka mgunda akale wapi hujui kama anawatoto nawajukuu, halafu pesa nizamoo wew zinakuuma nin
 
Nyie viumbe naamini mmeamka salama japo MIHOGO FC wanatupigia sana kelele.Kwa wale mnaofatilia mpira wa Simba hivi karibuni mtaona kabsa Mgunda ana uwezo mdogo sana,kiufupi anabebwa na uwezo binafsi wa baadhi ya wachezaji.

Kabla hatujapata aibu zaidi naombeni uongozi wangu (Wetu)umtimue mara moja.

Ambao bado mnawaza kuchukua kombe la NBC PREMIER LEAGUE Mnajua ugumu wa kupunguza hilo gap la points tulizonazo sisi na hao Mihogo?Mnajua wanavyokuwa serious wakiwa wanaongoza ligi?

Tunajipa matumaini kimataifa lakini hata huko sioni nuru,Hakuna kitu tutarudi nacho chini ya huyu mvaa JEANS.

BILA KUPEPESA MACHO ATIMULIWE UPESI SANA.

Kwanini unasema mgunda hafai mkuu? Matokea ya mpira yapo ivyo yalivyo we unataka kila siku tushinde sisi tu huko uwanjani tupo peke etu? Ebu tuwe na utulivu ligi bado mbichi sana hii
 
Kwanini unasema mgunda hafai mkuu? Matokea ya mpira yapo ivyo yalivyo we unataka kila siku tushinde sisi tu huko uwanjani tupo peke etu? Ebu tuwe na utulivu ligi bado mbichi sana hii
Mmmmmh we utakuwa Yanga
 
Wachache watakuelewa mkuu
Kuwa na kocha Mgunda naona kama Simba SC tuna bet, kadri anavyozidi kukaa muda mrefu inawezekana ndio akatumaliza kwenye ligi huku sisi tukiendelea kushangilia uwepo wake kwasababu ya kutupeleka makundi CAFCL.

#anatuzubaisha.
 
Nyie viumbe naamini mmeamka salama japo MIHOGO FC wanatupigia sana kelele.Kwa wale mnaofatilia mpira wa Simba hivi karibuni mtaona kabsa Mgunda ana uwezo mdogo sana,kiufupi anabebwa na uwezo binafsi wa baadhi ya wachezaji.

Kabla hatujapata aibu zaidi naombeni uongozi wangu (Wetu)umtimue mara moja.

Ambao bado mnawaza kuchukua kombe la NBC PREMIER LEAGUE Mnajua ugumu wa kupunguza hilo gap la points tulizonazo sisi na hao Mihogo?Mnajua wanavyokuwa serious wakiwa wanaongoza ligi?

Tunajipa matumaini kimataifa lakini hata huko sioni nuru,Hakuna kitu tutarudi nacho chini ya huyu mvaa JEANS.

BILA KUPEPESA MACHO ATIMULIWE UPESI SANA.
Uwezo binafsi wa baadhi ya wachezaji.
Ndio maana alilalamika sana aliposikia Cloutus Chama amefungiwa!
 
We jamaa pri unawaza kwa kutumia kiungo gani cha mwili?Wapi nimesema nataka (Tunataka)kocha mzungu?
 
Kibu Dennis uwezo wake umeishia hapo.
Ataendelea kuighalimu timu kwa kukosa akili ya umaliziaji.

Simba bado tunahitaji mshambuliaji bora hata wa Kigeni.

Hawa wazawa wameshindwa kuonesha uwezo.

Tatizo la Kocha Mgunda anachelewa sana kumbadilisha mchezaji ambaye hayuko mchezoni.
Kibu alitakiwa kutolewa dakika 15 za mwanzo.

Pili Mgunda lazima ajue mpira wa sasa ni wa kasi.
Mchezaji kama Peter Banda ana kasi na umakini ni vizuri akaanza winga ya kushoto na Okra winga ya kulia.

Mgunda anatakiwa kumwonya Beki Innonga kwa kuremba kwingi kuishia kuchomesha.

Kufungwa ni moja ya mchezo
 
Hakuna kitu tutarudi nacho chini ya huyu mvaa JEANS.
😂😂😂

SBS 1-1 Simba
FT

Singida ana point 18
Simba ana point 18

Kudos Yanga kileleni ana point 20 😂
Mechi inayofuata atakua na point 23 maana lazima ashinde
 
Kwanini unasema mgunda hafai mkuu? Matokea ya mpira yapo ivyo yalivyo we unataka kila siku tushinde sisi tu huko uwanjani tupo peke etu? Ebu tuwe na utulivu ligi bado mbichi sana hii
Game ngumu zote mgunda hajapata matokeo sio hana mbinu hana wachezaji
 
Unamuelewa kwa droo hizi?

Siriziki na droo lakini sio kosa lake mkuu angalia wachezaji wetu.... wachezaji wengi viawango hamna angalia usijali huu wa sasa ivi wachezaji wangapi wapo bench hawapati namba kwaiyo kosa ni usajili wakusajili wachezaji wabovu mkuu
 
Back
Top Bottom