Jana nimegundua Mgunda anabebwa na uwezo binafsi wa baadhi ya wachezaji wa Simba, wakiwemo Chama na Okrah, lakini bila hao, Mgunda hana jipya.Endeleeni kushangaza shangaa mtakuja jikuta mkoa nafasi ya 8 huyu kocha nishasemaga hana mbinu na atakapoendelea kuwepo basi Simba ijiandae kutoa draw nyingi sana.
Nyie viumbe naamini mmeamka salama japo MIHOGO FC wanatupigia sana kelele.Kwa wale mnaofatilia mpira wa Simba hivi karibuni mtaona kabsa Mgunda ana uwezo mdogo sana,kiufupi anabebwa na uwezo binafsi wa baadhi ya wachezaji.
Kabla hatujapata aibu zaidi naombeni uongozi wangu (Wetu)umtimue mara moja.
Ambao bado mnawaza kuchukua kombe la NBC PREMIER LEAGUE Mnajua ugumu wa kupunguza hilo gap la points tulizonazo sisi na hao Mihogo?Mnajua wanavyokuwa serious wakiwa wanaongoza ligi?
Tunajipa matumaini kimataifa lakini hata huko sioni nuru,Hakuna kitu tutarudi nacho chini ya huyu mvaa JEANS.
BILA KUPEPESA MACHO ATIMULIWE UPESI SANA.
Tulizeni munkari mbona hamnaga uvumilivu? Ebooo
Kuwa na kocha Mgunda naona kama Simba SC tuna bet, kadri anavyozidi kukaa muda mrefu inawezekana ndio akatumaliza kwenye ligi huku sisi tukiendelea kushangilia uwepo wake kwasababu ya kutupeleka makundi CAFCL.
#anatuzubaisha.
Uwezo binafsi wa baadhi ya wachezaji.Nyie viumbe naamini mmeamka salama japo MIHOGO FC wanatupigia sana kelele.Kwa wale mnaofatilia mpira wa Simba hivi karibuni mtaona kabsa Mgunda ana uwezo mdogo sana,kiufupi anabebwa na uwezo binafsi wa baadhi ya wachezaji.
Kabla hatujapata aibu zaidi naombeni uongozi wangu (Wetu)umtimue mara moja.
Ambao bado mnawaza kuchukua kombe la NBC PREMIER LEAGUE Mnajua ugumu wa kupunguza hilo gap la points tulizonazo sisi na hao Mihogo?Mnajua wanavyokuwa serious wakiwa wanaongoza ligi?
Tunajipa matumaini kimataifa lakini hata huko sioni nuru,Hakuna kitu tutarudi nacho chini ya huyu mvaa JEANS.
BILA KUPEPESA MACHO ATIMULIWE UPESI SANA.
πππHakuna kitu tutarudi nacho chini ya huyu mvaa JEANS.
Game ngumu zote mgunda hajapata matokeo sio hana mbinu hana wachezajiKwanini unasema mgunda hafai mkuu? Matokea ya mpira yapo ivyo yalivyo we unataka kila siku tushinde sisi tu huko uwanjani tupo peke etu? Ebu tuwe na utulivu ligi bado mbichi sana hii
Unamuelewa kwa droo hizi?