BRO SANTANA
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 1,845
- 2,248
Kwema ndugu zangu?
Gari yangu ni runx inagonga sana mguu wa kulia wa mbele nikiingia rough road. Nimepeleka kwa fundi akasema nibadilishe shockup lkn bado inapiga kelele yani inagonga sana.
Msaada tafadhali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Gari yangu ni runx inagonga sana mguu wa kulia wa mbele nikiingia rough road. Nimepeleka kwa fundi akasema nibadilishe shockup lkn bado inapiga kelele yani inagonga sana.
Msaada tafadhali.
Sent using Jamii Forums mobile app