Mh.Angela Kairuki ki ukweli Mungu kakujaalia


Na anapiga kazi kweli kweli. Mkulu ameanza kwa kufunga cherehani kwenye tumbo la uyo mama
 
Hata mm Mkuu huyo Mamaaaaaa! huwa ananinyima usingizi sana...,sema ndyo vile ishakuwa chakula ya wakubwa huwezi igusa tena,na ikitokea umeigusa utasikia "ww cyo Mtanzania,uli-forge vyeti,unahatarisha usalama wa Taifa" noma sana kugusa chakula ya wakubwa
 
Reactions: SDG
Beautiful lies on the eyes of the beholder..wenzetu wana akili sana..ushauri wangu kwako..ukienda maeneo ya Dodoma ile wilaya yetu ya Kondoa wapo wakali kupindukia..nenda kajitwalie mkuu hah hahhaha hahhaha
 
Reactions: SDG
Nasikitika kukuambia kuwa Ummy Mwalimu kamfunika aisee...
 
Reactions: SDG
Na domo lile kama samaki mkunga?
 
Reactions: SDG


Unaweza kukuta huyu Jamaa aliyeandika huu utumbo labda hata ni Waziri Muhongo, Zito kabwe au raisi Kikwete mwenyewe!

Mmh hao watu uliowataja hasa Kikwete hivyo kwake ni sawa maji ya kunywa so sio rahisi kuandika huo upuuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…