Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,256
- 16,317
mimi ni mwanamke tena rijali hahaha[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Basi isiwe tabu
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Yeleuuwii,yesu na maria[emoji15] [emoji15] [emoji15]mimi ni mwanamke tena rijali hahahaView attachment 596072
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] kwanini tena mkuu?hahaha haya karibu matatizoni mkuu
Kila amtamae mwana
Kila amtazamae mwanamke kwa jicho la kutamani amekwisha kuzini naye! Usimtamani mke wa jirani yako! Ndo maana Miafrika hatuendelei tunawaza wake za watu. Alichonacho huyu mama na mke wako anacho pia!
Acha mama wa watu achape kazi wenzio tumeshaanza viwanda! Nina charahani tatu na baiskeli sita.
😛 😛 😛 😛
Unaweza kukuta huyu Jamaa aliyeandika huu utumbo labda hata ni Waziri Muhongo, Zito kabwe au raisi Kikwete mwenyewe!
Ha ha ha utapimwa mkojo ujue [emoji3]
Unaweza kukuta huyu Jamaa aliyeandika huu utumbo labda hata ni Waziri Muhongo, Zito kabwe au raisi Kikwete mwenyewe!
Hamna anaongoza ummy mwalimu.Mama yetu huyu tuwe wakweli kaumbika kiukweli! Tumpe sifa zake, sura nzuri rangi pia iko angavu! Naamini kwenye Cabinet nzima yeye ni CUTE namba moja.
Na domo lile kama samaki mkunga?Kwa hili naweka siasa pembeni huyu naibu waziri wa katiba na sheria mh! Angela Kairuki ni matumaini yangu atakuwa anandoa yake na familia.
Ila ingelikuwa sio hivyo ningetangaza nia kwa njia na gharama yoyote maana mh. anarangi ya mtume ngozi nyororo kama asali yani ni mtamu hata machoni ki ukweli,nimemwona ITV moyo ukanipasuka Paaa...!
Dah!basi tena acha waliowahi wafaidi
Wasabato wanakwambia ukimtamani tayari ushazini nae. Kwa hiyo mzee kama umetamani ushakula.Hivi tabia gani hii ya kuja kupromote wake zenu hapa!
Mchoyo kuhusu nini fafanua hapo!i see.
Mmh hao watu uliowataja hasa Kikwete hivyo kwake ni sawa maji ya kunywa so sio rahisi kuandika huo upuuzi
Unaweza kukuta huyu Jamaa aliyeandika huu utumbo labda hata ni Waziri Muhongo, Zito kabwe au raisi Kikwete mwenyewe!
Jaza ujazwe..ujaziwe kabisa...hiyo tunaita "kumsitiri"Nasikia kuja jamaa pale magogoni kashamjaza huyu!!