Waziri ni binadamu kwa dhana hiyo kila mtu anauwezo wa kushika hiyo nafasi.
Iła kimajukumu waziri ana deal na national policies au mambo yaliyojitokeza kuhusu wizara yake ambayo jamii inahitaji majibu yake.
Waziri ni mtu mkubwa kwenye nchi sio wa kuitwa kiholela na kuitikia wito wa hovyo hovyo kama vile yeye ni sawa na
Erythrocyte ambae ana shughuli yoyote siku nzima zaidi ya kuleta uzushi JF ukimtag hana maana yeyote ajibu asijibu.
Kuna mambo ya wito wa waziri kujibu na kipuuzia
To make something special, you have got to make people believe it’s special.
Waziri mwenyewe kama ni mtu special na mwenye miakili kama ya Dorothy ana mambo mengi ya kufanya.
Sasa kwasababu kajitolea kufanya kazi aina maana tumuite kama vile yeye ni sawa members ambao awajajitambulisha rasmi.
Waziri ni mtu mkubwa Tanzania, remember that.