Mh. Edward N. Lowassa anapata wapi nguvu ya pesa?

Gracious you nailed it

BRAVO!
 
Last edited by a moderator:
Nafanya marejeo tuu kufuatia tetesi ya possibility ya defection!, we don't want tragedy!.

Pasco
pole sana pasco , nawahurumieni sana wewe , zitto , ocampo four , hamis mngeja na serukamba , usiniulize kwanini , nimeamua kuwahurumia tu .
 

hahahahah i see
 
Bora EL ambae utajiri wake kidogo anawapa maskin kuliko akina chenge ambao kila deal wamo lakn kuchangia maabara,kanisa,saccos ni shidaaaaa

a thiefa is always a thief



katika wizi wake unajua ni binadamu wangapi wameumia .....
ifike mahali tujitambue tujue haki zetu si ushabiki maandazi wa kypapatika na kanga na tsht wakati mwenzako anamahela tsht zinakusaidieni nn ingepaswa wafilisiwe na bakora za makalio kutumikia kifungo....
 
Hivi mtu anapataje umasikini uliopindukia?????
 
Kumbe
 
Baada ya Edward Lowassa kusifiwa na rais Magufuli kuwa ni Superman, namdurufu kidogo Lowassa kwa kujikumbusha niliwahi kusema nini kuhusu mtu huyu.
P
 
Kuanzia leo mpaka atakapo pumzishwa kwenye makao yake ya milele, as my tribute to this fallen hero, namuaga kwa kujikumbusha niliwahi kusema nini kumhusu.

RIP Shujaa Edward Lowassa

Paskali
 
Aisee wewe ulikua mbele ya muda!
 
Huyu si alikuwa mfugaji na wafugaji wengi wasoni kawaida huwa wanakuwa na pesa kuzidi hata wafanyabiashara wakubwa? Tatizo liko wapi?

Yaani hii nchi ni invaders tu ndiyo wanaotakiwa kuwa na pesa; wazawa hapana.

Mzawa ukionekana una pesa, aidha unatekwa au unazushiwa maskendo yasiyo na maana ili uhamishie miradi yako kwingine, au unazushiwa skendo uachie mamlaka ya kisiasa, kama unayo

Kipindikile cha JK, RA mwishowe alilazimika kuhamishia miradi yake Kenya, na nilimuona alianza kurudi tena wakati wa Hayati JPM, ila kwa sasa simuoni tena

Mo alitekwa na sijui kama naye baadhi ya miradi yake hajahamisha.

Yaani hii nchi ni invaders tu ndiyo wanaotakiwa kuwa na fedha, wazawa hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…