Mh. Kiasi: Viongozi wa Dini wahangaike pia na njaa ya haki ya Waumini wao

Mh. Kiasi: Viongozi wa Dini wahangaike pia na njaa ya haki ya Waumini wao

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
“Natoa wito kwa Viongozi wetu wa Dini, Maaskofu, Mapadri na Masheikh wetu, na wao ni Watanzania, yakiharibika yanaharibika na kwao yakitengamaa yanatengamaa na kwao, wasikubali kuambiwa wajibu wao ni kuombea roho za Waumini wao tu, wajiulize je miili ya Waumini wao ipoje, wahangaike na njaa ya haki ya Waumini wao, wasikubali kuambiwa wasijihusishe na siasa kwasababu siasa ndio maisha yenyewe”

—— Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu, akitoa hotuba kwa Taifa leo February 12,2025

My Take
Ni ujinga kuwaambia viongozi wa dini kubwa haki za waumini wao haziwahusu
 
Back
Top Bottom