OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
“Natoa wito kwa Viongozi wetu wa Dini, Maaskofu, Mapadri na Masheikh wetu, na wao ni Watanzania, yakiharibika yanaharibika na kwao yakitengamaa yanatengamaa na kwao, wasikubali kuambiwa wajibu wao ni kuombea roho za Waumini wao tu, wajiulize je miili ya Waumini wao ipoje, wahangaike na njaa ya haki ya Waumini wao, wasikubali kuambiwa wasijihusishe na siasa kwasababu siasa ndio maisha yenyewe”
—— Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu, akitoa hotuba kwa Taifa leo February 12,2025
My Take
Ni ujinga kuwaambia viongozi wa dini kubwa haki za waumini wao haziwahusu
—— Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu, akitoa hotuba kwa Taifa leo February 12,2025
My Take
Ni ujinga kuwaambia viongozi wa dini kubwa haki za waumini wao haziwahusu