Elections 2010 Mh. Kikwete anaumwa nini na Ulinzi wa Sheikh Yahya

Umenichekesha hapo bold nyekundu,lolz!guilty bwana,unaweza ukaitika hata hujaitwa!hahahahaa,ila uzuri 2015 (kama sababu ni hizi ulizotoa) hatakuwa anaomba kura tena. labda hatahitaji kuwa na hofu.😛layball:
 

Jamani haya sasa si kweli. JK anaumwa lakini si ukimwi. Anasumbuliwa na uti wa mgongo pamoja na sehemu ya mishipa ya fahamu nyuma ya kichwa. Anatakiwa kupata mapumziko kadri iwezekanavyo, lakini amekuwa hafanyi hivyo na ndiyo maana anapatwa na hayo matatizo ya kuanguka.
 
Loo watammalizia sasa, NGWENGWE NOMA KWELI
:becky:tehe :becky:teheee:becky: tehe, Hili neno linanikumbusha zamani nilipokuwa "primary"!!!! :becky:tehe :becky:teheeee teh.:becky::becky::becky:
 
Ahsante sana kwa michango mingi. Habari zilizozagaa kwa watu hasa wale wanaishi na VVU, ni kuwa Jk amakuwa anatumia ARV kwa miaka mingi. Ila amekuwa anajifichaa asijulikane kuwa ana VVU na kwa wale wenye VVU wanamtaka aende Public "awe wazi kuwa ana maambukizi" ili apunguziwe kazi kwa mujibu wa taratibu za kazi.

Lakini anajua kuwa kwa hali ilivyo hapa nchini, akisema tu kuwa ana VVU, watanzania watampiga chini kwa sababu ya ubaguzi/unyanyapaa uliopo nchini. Tuendelee kumwomba awe wazi maana ndiyo nia pekee ya kumsaidia!! Mpo hapo?!
 
Humu ndani ya JF kumezidi umbeya wa kila aina na kila mtu amekuwa daktari anafanya diagnosis na kutoa dawa za kutibu maradhi ya JK.

Mara picha Marekani, mara anatumia ARV, mara uongo huu mara uongo ule. Jamani mwacheni baba wa watu aendelee na kampeni zake kwa amani.

Mwengine amezuka na mpya kwamba ameanguka Mbeya na Sengerema, lakini hakuna mwandishi aliyekuwa na taarifa hizo, sasa yeye amezipata wapi?
 

Sheikh Yahaya amesema kwamba JK karogwa ndo maana alianguka jukwaani siku ya kuzindua kampeni, hilo nalo ni vipi?
 
Ni umbeya tu.

Hivi wewe humo ndani ya moyo wako unaamini kuna mtu anaweza kutabiri lo lote hapa duniani? Hebu angeanza kwa kujitabiria yeye mwenyewe kwamba ataumwa na nini na atakufa lini.

Sh Yahya ameona anao wateja ambao watamuamini kwa lo lote basi ndivyo anavyofanya. Na vyombo vya habari vinazipa kipaumbele hizo habari zake ambazo siku zote huwa hazina ukweli, au yeye huwa anatumika kama chombo cha kutoa taarifa ambazo ni kweli lakini huzipindua kwa kujifanya mtabiri.

Naomba samahani kwa wapenzi wa utabiri wa Sh. Yahya.
 
BitiMkongwe wenyewe wakikusikia, mie simo. Ngoja nikuwekee link kwanza halafu nikupe post 2 tu maana kwenda kusoma mada nzima macho yatakuwa mekundu na ukipita ile mitaa ya kule kwetu na huo ukongwe wako ... unaweza kuitwa mchawi, halafu unajua kitakachofuata!

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/69279-utabiri-wa-sheikh-yahya-hussein-watimia.html



Sikuwahi kusikia utabiri kuhusu uchaguzi zama za mzee wa uwazi na ukweli wala mzee ruksa ... ila tangu 2005 utabiri ambao uko related na serikali, uchaguzi na mengineyo naona umeongeza kasi. kuna haja ya kujiuliza kwanini? kwanini huyo anayetabiriwa yuko kimya? kwanini serikali inashirikishwa kwenye haya mambo na inakaa kimya? ccm nayo naona imekaa kimyaaaaaaaaaaaaaaaaaa. ina maana wanaunga mkono huu upuuzi? Rais anaposemekana ana mvuto wa mwanamke maana yake ni nini?

Bibi yangu wewe ni mtu mzima, yawezekana unaweza kuwa na hints, hata mimi ninachoshwa na huu ujinga wa Sheikh Yahaya na bado serikali nayo iko kimya!
 
Mimi macho yangu mekundu bibi yako lakini bado akili inafanya kazi.

Kwa vile mgombea wa mwaka 2005 alikuwa ni Kikwete na yeye alikuwa anashabikiwa na watanzania wengi, na hakukuwa na upinzani madhubuti, jee hapo pana shida ya kutabiri nani angeshinda???? Ndio maana nilikwambia huyo big Sheikh alikuwa anatoa hints ambazo labda alipewa na taasisi fulani kwa kuelewa kwamba Watanzania tunaamini sana mambo ya utabiri.

Mimi huwa nachoshwa na huo utabiri wa huyo Mzee na picha za majini za kuongezea vitisho.

Nakubaliana na wewe sijui kwa nini Serikali inashabikia mambo kama haya kwa kutotoa kauli yo yote ile.
 
Na yule kandideti tuliyeambiwa na magazeti alikutwa anacheza ngoma uchi wa mnyama kwenye kibanda cha sangoma mwaka 2005 aliishia wapi?
 
Leo nimesikia kwenye Magazeti kwamba Sheikh Yahya anadai kwamba Kuanguka Mara kwa Mara kwa Mh JK ni kutokana na Nguvu za Giza, sasa ameamua kumuongezea mheshimiwa Rais Nguvu zaidi "Zisizoonekana"

Swali langu Je JK na CCM ndiyo wameomba huo Ulinzi, Je wao wanasemaje kuhusu huo Ulinzi wa Nguvu za Giza, je Hii haina maana kwamba JK haamini Madaktari?
 
Mungu wangu! Kweli tunaruhusu ujinga kama huu kuendelezwa katika media? Huku ni kufilisika kimawazo. Mtu anapozirai kuna physical na psychological reasons.. mambo ya kuhusisha udini/ imani ni hatari sana .. ndo inapelekea watu kufa wakiamini kuwa wataponyeshwa kwa nguvu za Mungu or any other mysterious powers...
Lakini on the other hand - Sheikh Yahya anataka kutuambia kuwa Kikwete amezidiwa na nguvu za giza .. so he is now EVIL? Kama Darth Vader? Kama amezidiwa it means he has been 'turned'? Hahaha :becky: mwaka huu tutasikia mengi ila hii kali sana...
 
Ndiyo hivyo mkuu, Sheikh amesambaza Barua kwenye magazeti Mbalimbali akionya watu waache "Kumchezea" Prezidaa
 


Source: https://www.jamiiforums.com/uchaguz...kikwete-in-black-and-white-5.html#post1066269
 
 
Kwa maana hiyo ni kuwa ulinzi aliopewa hautoshi. Mkuu wa usalama wa Taifa hafanyi kazi yake siyo hivyo amwachie ofisi Sheikh Yahya!!
 
Hivi Shekh Yahaya anapata wapi ujasiri wa kutangaza hayo kama hana 'mkataba' wowote na JK?
yaani rais anatumika kutangaza biashara ya shekh yahya!
kweli raisi tunaye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…