Elections 2010 Mh. Kikwete anaumwa nini na Ulinzi wa Sheikh Yahya


Huyu ndiye anafaa kumlinda JK siyo Mtabiri Yahya.
 
Mficha maradhi mauti humuumbua. Hatumwembei mauti ila kwa hali aliyonayo mauti iko karibu, ukizingatia ameongezewa muda wa kampeni. Tunayoyaona nje ni hadi aanguke. Lakini hatujui ana-undergo taabu kiasi gani hadi anafikia kuanguka. Sina hakika kama yeye mwenyewe anajali afya yake, kwani angeshawaambia kuwa anahitaji kupunzika.

Kwani ni aibu kuongoza miaka mitano tu? Tena kwa umri wake angeomba kupunzika akiwa bado na heshima yake, anaweza tena kugombea baada ya miaka mitano akishaweka sawa afya yake, ikiwa kutakuwa na haja naye.
 
 
Shekh yahaya mpumbavu tu, Raisi wetu haitaji ulinzi wa mashetani yake... kuhusu waganga Wamejaa kibao! utasikia leo katangaza katoa misukule 100! .. TEHETEHE!! Alafu wanaimba mapambio wasivokuwa na akili:becky:

Kama hatumii nguvu za giza na dokta wake ni Shehe Yahya, basi akanushe aliyosema Yahya Husein kumhusu yeye. Kinyume chake tutarajie kuwa na kiongozi anayoongoza nchi kwa nguvu za giza.
 
hii topic imegeuzwa heading ili kuipunguza makali, nilipenda ile heading ya shehe hussein kumlinda Kikwete.

That was news ...... think of it.
The guy anatishia watu wanaomloga Kikwete kuwa atawaloga hadi wakome na kisha nobody from state house says a word
 
shindwa katika Jina la Yesu... Ikulu haiezi kaliwa tena na mtu anaetegemea waganga wa kienyeJi, Mchawi, kwa kifupi.... DR. SLAA ndo Mbadala.
 

Kwenye red, ni kweli hata kiwira, anaben bank na mengine mengi alikuwa nje! shame say.
Nashangaa kwa nini nyinyi wa chadema mnalalamika kuwa slaa anachafuliwa, wakati nyinyi ni namba moja kwa kuchunguza maisha binafsi ya mtu. mara mmuambie ana HIV, sasa mnalalamika nini? Haya ya JK niyakufikirika zaidi kuliko ya slaa ya kuiba mke wa mtu na kesi imefunguliwa mahakama kuu, au ndo mkuki kwa nguruwe.....! Aggghhh...
 
. ,anabadilishwa damu...na wamepewa deatils hadi za hospitali hiyo...na anatakiwa kubadilishwa damu kila baada ya miezi sita......


Mkuu, nilizani wewe umeelimika na sasa nashawishika kuamini vinginevyo! HIV HAITIBIWI kwa kubadilisha damu...this is just a myth prevailing in Africa. Hakuna kitu kinachoitwa kubadili damu kwa mtu mwenye HIV kwasababu HIV sio ugonjwa wa damu pekee bali ni wakila chembe hai (cells) za mwili wa binadamu. Watanzania tuna safari ndefu sana!!
 

Namsikitikia sana JK, ila Slaa ina usimame kwa zaburi 125:1. Dr Slaa na wote tuaminio ulinzi wa mungu alie hai tusimamie Zab 140.
 
Ukiona hivyo ujue bado kuwashika sehemu ndogo sana walipohifadhi pumzi zao ili tuwapore madaraka
 
Wasomi wa nchi hii tumeenda wapi?
Kwanini tunaacha nchi inaendeshwa kigagura?
Au na sisi tumerogwa?
 
halafu hakuna tamko lolote toka ikulu au kwa yule jambazi Kinana. Inaonekana ikulu na ccm wanakubaliana kabisa na shehe yahaya
 

Sasa kama anahitaji mapumziko ya mara kwa mara mbona yeye ndio kwanza anasafiri mara kwa mara tena safari za nje ya nchi!!!
 

Ni vema ukitoa na sources kupunguza utata mkuu...
 
No wonder and nothing new kama tunavyo fahamu utalii huko Bagamoyo nyakati hizi za uchaguzi huwa uko juu sana, na ni utalii wa ndani jiulize kulikoni?
 
Kwani kuanguka jukwaani kulimfanya ashindwe kuongoza taifa? sijawahi msikia raisi wetu anaumwa ameshindwa kufanya shughuli zake toka aingie madarakani, siku zote yupo busy. wabongo bwana!
 


He he heee! Jandulo lingine hilo.

Hata wewe jaribu kwenda hospitali kuwekewa damu nyingine.

Mwaka huu hata mfanye vipi nyie vifisadi vidogo vidogo, sisi tupo imara.
 
Hayahaya anahangaika nini tena? Mbona kuzimu walishamwapisha kuwa rais.
 
Sheikh Yahaya kamfanya JK kukosa kura za waumini kwani wengi hatutaki tuongozwe kwa nguvu za giza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…