Anyisile Obheli
JF-Expert Member
- Dec 13, 2009
- 3,400
- 320
hilo halina ubishi nafikiri kikwete tusimlaumu sana tulaumu uislamu wake maana huo ndiyo uko karibu na majini na ndiyo unaompleka kuwajibika kwa mashetani ili yampatie nguvu,Shekh yahaya mpumbavu tu, Raisi wetu haitaji ulinzi wa mashetani yake... kuhusu waganga Wamejaa kibao! utasikia leo katangaza katoa misukule 100! .. TEHETEHE!! Alafu wanaimba mapambio wasivokuwa na akili:becky:
kama asemavyo shekhe yahya kuwa atampatia ulinzi usiyo onekana, wasiyoonekana ni majini na mshetani, hiyo ndiyo misingi ya dini yake. shida ni pale ikulu inapokuwa na ulinzi wa kujini, je kweli kampeni ya kudhibiti mauaji ya maalbino itafanikiwa? ikiwa mh raisi ni mtu kutegemea system hiyo?