Elections 2010 Mh. Kikwete anaumwa nini na Ulinzi wa Sheikh Yahya

Elections 2010 Mh. Kikwete anaumwa nini na Ulinzi wa Sheikh Yahya

Kwa nini una wa undermine CHADEMA kiasi hicho? unadhani ni CCM peke yao ndio wana uwezo wa ku play dirty?

Si-undermine CHADEMA, pia sitaki kutumia hisia dhidi ya CHADEMA au CCM!
 
Ushirikina CCM haujaaza leo hicho ni chama kikongwe cha ALL DIRTY TRICKS !!
 
Si-undermine CHADEMA, pia sitaki kutumia hisia dhidi ya CHADEMA au CCM!

Unauhakika hautumii hisia zako dhidi ya mtu au chama? maana kwa mwenye akili za kawaida tu anaweza kukupa mifano zaidi ya laki tano ya sheikh Yahaya akihusisha majina ya watu na ushirikina au hata nguvu za giza, lakini haikuwahi kuwasumbua watu, leo kutajwa JK watu mmekesha kama sio hisia nini?
 
Unauhakika hautumii hisia zako dhidi ya mtu au chama? maana kwa mwenye akili za kawaida tu anaweza kukupa mifano zaidi ya laki tano ya sheikh Yahaya akihusisha majina ya watu na ushirikina au hata nguvu za giza, lakini haikuwahi kuwasumbua watu, leo kutajwa JK watu mmekesha kama sio hisia nini?

JK ni Rais wa nchi, anapolindwa na "nguvu zisizoonekana," kama alivyodai Sheikh Yahya, watu wasiulize maswali? Hakuna hisia yoyote hapo!
 
JK ni Rais wa nchi, anapolindwa na "nguvu zisizoonekana," kama alivyodai Sheikh Yahya, watu wasiulize maswali? Hakuna hisia yoyote hapo!
Alitajwa BMW akiwa rais kujihusisha na dini ya mashetani hoja ikawa sheikh Yahaya ni mropokaji, leo ametajwa JK hilo la uropokaji limegeuka mtaji wa kisiasa, unataka niamini bado hakuna hisia hapo? come on admit si dhambi si ndio michezo ya kisiasa
 
Nchi haifai kuongozwa na wachawi kwa maana Bwana Mungu ataliacha taifa hili na kugeuza uso wake mbali hivyo watoto wa nchi hii watateseka.

Wandugu tuukate uchawi kutuongoza na kumtegemea Mungu ili taifa letu libarikiwe na kupata neema
 
I think you are not a Christians, and if you are a christian you don't know the bible. ...alikamatwa mwanamke mzinzi wakataka kumpiga mawe, Yesu akasema asiyekuwa na dhambi awe wa kwanza kumpiga mwanamke huyu mawe, hakuna aliye diriki kufanya hivyo. Maneno yako tu yanaonyesha wewe ni mchafu kabisa. Mimi nimeokoka nina ndoa nzuri sana lakini kamwe sitaweza kumuhukumu Dr. Silaa, eti kwa sababu ya dhambi!!. Biblia nadhan na koran pia inasema wote tu wadhambi tumetenda dhambi na tunatenda dhambi hivyo tunahitaji msamaha wa Mungu.

Amen!
 
Alitajwa BMW akiwa rais kujihusisha na dini ya mashetani hoja ikawa sheikh Yahaya ni mropokaji, leo ametajwa JK hilo la uropokaji limegeuka mtaji wa kisiasa, unataka niamini bado hakuna hisia hapo? come on admit si dhambi si ndio michezo ya kisiasa

Sijajua kwamba unataka ni-admit nini hasa! Kwamba Sheikh Yahya anatumiwa na CHADEMA/TLP kisiasa na si kujiropokea mwenyewe? Lete proof ili ni-admit, ok?
 
Uchawi wa kikwete ni siri kwa nani? Mimi naishi kunduchi kuna mganga wa kienyeji ametolewa bagamoyo amejengewa ghorofa hapa,na mkulu hufika mara kwa mara hapa night.pia baada ya kuanguka jangwani mara ya kwanza alizika ng'ombe saba wakiwa hai.na je ile ndege iliyodondoka majuzi sumbawanga na kuwa na mtu aliyedaiwa mwanamashimba,huyu ni yule mchawi wa mwanza au mwingine? So uchawi na bagamoyo nani asiyejua?
 
Sijajua kwamba unataka ni-admit nini hasa! Kwamba Sheikh Yahya anatumiwa na CHADEMA/TLP kisiasa na si kujiropokea mwenyewe? Lete proof ili ni-admit, ok?

Unata proof ya lipi kati ya hayo mawili?
 
Uchawi wa kikwete ni siri kwa nani? Mimi naishi kunduchi kuna mganga wa kienyeji ametolewa bagamoyo amejengewa ghorofa hapa.
Nitafutie namba ya huyo mganga aliyejengewa ghorofa mimi akinipa urais nataka kumnunulia sheli na meli.
 
mie nikuuluzeni mungu gani anaekuwa na mzinzi?

unajua biblia imakataza sana uzinzi

na inamini familia na jamii bora ni ile watu waliooana na sio kukamatana wakazaa(kama alivyofanya Dr slaa kwa mwanamke wa kwanza), kuchochea kuvunjika ndoa za wengine kwa kuwaibia wake/waume zao

na tunapotafuta rais moja ya kazi yake ni kujenga jamii yenye maadili, ambayo hii ndio itakuwa na uelewa na uwezo wa kujenga uchumi ulio imara

itawezekanaje taifa linaloongozwa na mzinzi na aliefeli maadili kutufikisha hapo?

JK....JK....JK............hivi,unataka tuanze kuwataja vimada wake humu ndio ujue kwamba kisukari chake kitamshuka siku 1 akiwa kitandani???
 
Ukiwa na imani haba ndo unaweza kumdiscuss huyu mnajim
 
Kipimo cha kweli cha kauli ya Sheikh Yahaya kitaonekana wakati wa kufunga kampeni. Inajulikana kuwa JK atafunga kampeni za CCM viwanja vya Jangwani, na ama Kirumba Mwanza.

Kwa watakaotaka 'kumjaribu' Kikwete na 'ulinzi' wa Sheikh Yahaya kutumia nguvu za giza, hizo ndiyo itakuwa sehemu za kuelekeza 'vipapai': Jangwani au Kirumba.

Kuna hatari ya mtu kuzimika siku ya mwisho.

Swali kwa JK na wapambe wake: How much do you believe in 'ulinzi wa Shehe Yahaya?
 
Sijamtetea ila nimetumia logic ya kawaida tu, kama mume akidai haki zake kwa kuibiwa na kudhalilishwa kwa kuibiwa mkewe ni mbinu ya CCM kumchafua Slaa basi inawezekana pia Mchawi kujihusisha na JK ni mbinu ya CHADEMA kumchafua JK.

Kikwete akitoka hadharani akamkana Shehe wake, huyo aliyejiita mlinzi wake tutaamini kuwa Shehe karopoka, kinyume chake watanzania tutaendelea kuamini kuwa fedha za walipa kodi watanzania zinaishia kwenye nguvu za giza kumlinda rais wao.sasa hawa polisi wetu wanalinda nini kama kikwete hawaamini? je hawa madaktari wanaolipwa kwa pesa za walipa kodi wanafanya kazi gani wakati shehe yupo?
kweli ndiyo maana nchi hii haiwezi kuendelea kwa ushirikina huu.
 
Shehe Yahya Hussein halindi Serikali, na amekua akimlinda JK Kikwete tangu siku nyingi tu, anasema atamuongezea nguvu.
hajasema atailinda serikali, hayo ni makubaliano ya Shehe Yahya na Kikwete, wanakutana wapi na vipi wanajuana.ila lililowazi ni kua JK amepokea huduma hiyo, ni yeye mwenyewe wakukanusha, kukubali na kumkana mtu huyo.
lakini wana urafiki wa karibu hawa, nasikia JK aliwahi hata kumpeleka mganga wake hospitali nje ya nchi kwa ukaribu wao.
sio habari za kusikia, ilitangazwa kwenye vyombo vya habari, ila jamani JK na ushirikina, mbona sura yake haielekei kuwa maimuna kiasi hicho? ndiyo maana anafanya blunders nyingi kwani kajifunika ndani ya ushirikina!
 
Kama katika karne ya 21 (ya Sayansi na Teknolojia), Tanzania tunaongozwa na watu washirikina/au wanaoamini washirikina na voodoo kama huyu Sheikh, basi tusione ajabu nchi hii ikirudi nyuma badala ya kwenda mbele.

It is a shame and scandallous, in this day and age to stoop so low in the search for power. Surely it is for the alleged receiver of this voodoo help to deny and refute the allegation vehemently, otherwise he is patently unqualified to lead us into a modern state.
 
Mbona aliposema atakaye chukua form kumpinga kikwete atakufa mbona hamkumkana...mtakoma mwaka hue na matakataka yenu
 
Kama katika karne ya 21 (ya Sayansi na Teknolojia), Tanzania tunaongozwa na watu washirikina/au wanaoamini washirikina na voodoo kama huyu Sheikh, basi tusione ajabu nchi hii ikirudi nyuma badala ya kwenda mbele.

It is a shame and scandallous, in this day and age to stoop so low in the search for power. Surely it is for the alleged receiver of this voodoo help to deny and refute vehemently, otherwise he is patently unqualified to lead us into a modern

state.

Maneno sawia san a haya
 
USALAMA wa TAIFA umedharauliwa sana kwamba hauwezi kumlinda rais wetu.
Sasa anaaply protocol ya kichawi ikiongozwa na yahaya huseni
 
Back
Top Bottom