Mh Kubenea Kuuguruma Manzese , Aliwahi kutahadharisha kuhusu ndege yetu kukamamatwa na imekamatwa kweli

Mh Kubenea Kuuguruma Manzese , Aliwahi kutahadharisha kuhusu ndege yetu kukamamatwa na imekamatwa kweli

Praise team mnatafuta wa kumwangushia jumba bovu...
Mtasema ni vibaraka wa mabeberu, kumbe wenzenu wanyatizama mambo kwa jicho la 3 hata kama halijatokea.
The cycle is closing, ma- snitch tunawajua, lkn huyo Kubenea anacheza ngoma asiyeijua, yeye anatumiwa tu.
 
Yan msela kama sio mbunge wetu tu, alituhaidi vijiahadi ambavyo amevipotezea na katupotezea kabisa sisi wananchi wake
Atakua anasubiri baba la baba atimize ahadi ya kila mwalimu kuwa na laptop na kila kijiji kupewa 50mil,ndiyo nayeye atimize hizo ahadi.
 
Labda kama jeshi la polisi liwe limelala, muda si mrefu atapelekewa barua ofisini kwake juu ya huo mkutano wake kwamba unahatarisha amani ya nchi kama sio amani yake mwenyewe.
 
Mkuu uhalisia unakutupa nje!!.
Huyu 2020 hapiti.
Sisi ndio tulimchagua 2015 kwasababu ya kuipenda chadema, lakini tumegundua jamaa hafai .
Mbona jimbo la jirani la segerea tunamuona bonnah anashughulika na changamoto jimboni kwake lakini kubenea hajawahi kuja haswa kata ya kimara.Tatizo lenu mkiambiwa ukweli mnasema Chuki
 
Kwa hiyo Mheshimiwa Kubenea ndio amepata mahali pa kutokea, siasa bwana.

Inadaiwa serikali ya Russia na ile ya USA sembuse shirika la ndege ambalo lipo katika michakato ya kujiimarisha kimataifa!.
Mkuu kudaiwa siyo shida hata kidogo maana hata sasa tuna madeni ya kutosha. Lakini sasa ndiyo ifikie hatua ya kukamatiwa ndege ýetu pendwa? Hiyo ni hatua inayoashoria uzembe ndani yake, hivi kweli kama mtanzania huna chchote cha kuiambia Serikali yako pendwa kuhusu uzembe huu! Jamani tujaribu kuwa wakweli basi hata kidogo!!
 
Mkuu kudaiwa siyo shida hata kidogo maana hata sasa tuna madeni ya kutosha. Lakini sasa ndiyo ifikie hatua ya kukamatiwa ndege ýetu pendwa? Hiyo ni hatua inayoashoria uzembe ndani yake, hivi kweli kama mtanzania huna chchote cha kuiambia Serikali yako pendwa kuhusu uzembe huu! Jamani tujaribu kuwa wakweli basi hata kidogo!!
Sifa yetu kubwa wabongo ni dramatization.

Muingereza aliyetutawala aliturithisha hii tabia duni sana.
 
Hivi kweli unapeleka chombo sehemu unakodaiwa!? Au na huyu atatajwa kuwa anashirikiana na hao walioikamata ndege!?

Intelijensia walikuwa wapi mpaka ndege inakamatwa!?
 
Mtoa mada ni miongoni mwa wale vijana wanaokula 10000 deile....wanaopewa fungu kuandika uharo wa kurudisha juhudi za serikali nyuma na kutetea minyumbu
 
Back
Top Bottom