Labda!Huyu sheikh alisifika hapa ndani na nje ya mipaka kwa elimu na maarifa mbalimbali kuhusu nyota,unajimu, utabiri, uganga n.k. Mimi binafsi namkumbuka aliposema kuwa pale Uingereza mkuu wa majini ni Tony Blair.!!!!!!!!!!! Kwa duniani mkuu wa majini ni Queen Elizabeth(Huyu aliyefariki hivi karibuni)!!!!!!!!!!!!! Je, ni kweli???????????
Wale wenye elimu za kiroho tunaomba majibu!!!!!
Nb : Sayansi haiwezi kuthibitisha mambo ya kiroho.
Source channel ten: Kipindi cha Nyota Zenu cha Tarehe 5 April 2010.mp4-
View attachment 2358946
Alikua mjasiria Mali aliwahi kutudanganya kuwa atakaye mpinga JK kwenye uchaguzi basi atakufa, Lakini wakina lipumba,Cheyo, mpaka leo Bado tunao. Alikua mjanja mjanja sana yule mzee [emoji137]Huyu sheikh alisifika hapa ndani na nje ya mipaka kwa elimu na maarifa mbalimbali kuhusu nyota,unajimu, utabiri, uganga n.k. Mimi binafsi namkumbuka aliposema kuwa pale Uingereza mkuu wa majini ni Tony Blair.!!!!!!!!!!! Kwa duniani mkuu wa majini ni Queen Elizabeth(Huyu aliyefariki hivi karibuni)!!!!!!!!!!!!! Je, ni kweli???????????
Wale wenye elimu za kiroho tunaomba majibu!!!!!
Nb : Sayansi haiwezi kuthibitisha mambo ya kiroho.
Source channel ten: Kipindi cha Nyota Zenu cha Tarehe 5 April 2010.mp4-
View attachment 2358946
Alikua tapeli kama matapeli wengine.Alikua mjasiria Mali aliwahi kutudanganya kuwa atakaye mpinga JK kwenye uchaguzi basi atakufa, Lakini wakina lipumba,Cheyo, mpaka leo Bado tunao. Alikua mjanja mjanja sana yule mzee [emoji137]
Atakayempinga ndani ya chama kutafuta awamu ya piliAlikua mjasiria Mali aliwahi kutudanganya kuwa atakaye mpinga JK kwenye uchaguzi basi atakufa, Lakini wakina lipumba,Cheyo, mpaka leo Bado tunao. Alikua mjanja mjanja sana yule mzee [emoji137]
kabisa. Alikuwa mpigaji kama wapigaji wengine tu aliefanikiwa kuwa na hadhira ya malimbukeni wanaopenda kudanganywa kwa mazingaombwe. Kama alikuwa fundi sana iweje alishindwa kuepuka kifo?Alikua mjasiria Mali aliwahi kutudanganya kuwa atakaye mpinga JK kwenye uchaguzi basi atakufa, Lakini wakina lipumba,Cheyo, mpaka leo Bado tunao. Alikua mjanja mjanja sana yule mzee [emoji137]
Mataifa yote makubwa na yaliyoendelea hayana utawala wa kiimla/kifalme anzia USA,China,India n.kKuna mtu humu ndani anapinga utawala wa kimalkia au kifalme, akisema umepitwa na wakati. Wenzetu wameendelea na wanajua maana yake. Huenda nguvu zote za kiuchumi ziko pale. Huo utawala huenda unashirikiana na ulimwengu tusioujua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo yanayotolewa Kwa wachungaji kila siku ni ng'ombe?Wakristo wanakuaaga na majini?
Alitabiri 2005 Rais angekuwa mwanamke, ilipofika uchaguzi akapita JK, watu wakamuuliza mbona ulisema tutakuwa na Rais mwanamke na haijawa, akajitetea kuwa hamuoni aliyepatikana ana sura nzuri ya kuvutia na hana ndevu?Huyu sheikh alisifika hapa ndani na nje ya mipaka kwa elimu na maarifa mbalimbali kuhusu nyota,unajimu, utabiri, uganga n.k. Mimi binafsi namkumbuka aliposema kuwa pale Uingereza mkuu wa majini ni Tony Blair.!!!!!!!!!!! Kwa duniani mkuu wa majini ni Queen Elizabeth(Huyu aliyefariki hivi karibuni)!!!!!!!!!!!!! Je, ni kweli???????????
Wale wenye elimu za kiroho tunaomba majibu!!!!!
Nb : Sayansi haiwezi kuthibitisha mambo ya kiroho.
Source channel ten: Kipindi cha Nyota Zenu cha Tarehe 5 April 2010.mp4-
View attachment 2358946
Mara chache sana.... UNATAKA NISEME KWA NINI?Wakristo wanakuaaga na majini?
Wakristo wanatoa majini hawafugi majiniHayo yanayotolewa Kwa wachungaji kila siku ni ng'ombe?
Leta manenoMara chache sana.... UNATAKA NISEME KWA NINI?
Wanao Toa majini ndo huwa wanayafuga ,,,,,angalia wanawake wengi ndio Wanatolewaga majini kwakuwa hawafanyi majosho maalum,,,katika biblia kama ilivyo katika Uislamu wanawake wakiwa ktk hedhi,au baada ya kuzaa au wakiingiliana na wanaume wanatakiwa waoge majosho maalum ya kujitakasa,Kwa kufanya hivyo wanajiepusha na mapepo wachafu,sasa wanawake WA kiislamu wengi wao Kwa mafundisho ya dini huwa wanaoga,,,,,sasa hao wenu huwa Hawaogi hao majosho matokeo yake wanakuwa nyumba za mapepo na ndio maana kila siku wanatolewa mapepo huko chachiWakristo wanatoa majini hawafugi majini