Skylar
JF-Expert Member
- Nov 10, 2021
- 2,334
- 5,550
Sikuwahi kumwamini huyu mtu, sijui alikua anatoa wapi habari zake za kusadikikaInawezekana...
Vp tanzania hakusema kuwa mkuu wa majini ni nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikuwahi kumwamini huyu mtu, sijui alikua anatoa wapi habari zake za kusadikikaInawezekana...
Vp tanzania hakusema kuwa mkuu wa majini ni nani?
Ukijua maana ya majini ndo utaelewa hayana dini.....Wakristo wanakuaaga na majini?
Mkuu kuna jini linaitwa Elizabeth, Jonson, Peter, Magdalena?Wanao Toa majini ndo huwa wanayafuga ,,,,,angalia wanawake wengi ndio Wanatolewaga majini kwakuwa hawafanyi majosho maalum,,,katika biblia kama ilivyo katika Uislamu wanawake wakiwa ktk hedhi,au baada ya kuzaa au wakiingiliana na wanaume wanatakiwa waoge majosho maalum ya kujitakasa,Kwa kufanya hivyo wanajiepusha na mapepo wachafu,sasa wanawake WA kiislamu wengi wao Kwa mafundisho ya dini huwa wanaoga,,,,,sasa hao wenu huwa Hawaogi hao majosho matokeo yake wanakuwa nyumba za mapepo na ndio maana kila siku wanatolewa mapepo huko chachi
Mkuu usishangae nishawahi kupiga story na jini ana Jina la kizungu ingawa sikumbuki,,,,ilikuwa hivi kuna mwana alipandisha madude yake bwana si akaja huyo baharia anagonga kiingereza hatari,niliprove hivyo kwasababu mwana lugha ya malikia ilikuwa haipandi so moja Kwa moja jini ndo akawa anaongea,hlf alikuwa mhuni Sana ananiambia habar za casino na Kula Bata,,,ni vigumu kuamini kama haujakutana na hizo habarMkuu kuna jini linaitwa Elizabeth, Jonson, Peter, Magdalena?
Muulize mwamposaWakristo wanakuaaga na majini?
Kwanza NichekeInawezekana...
Vp tanzania hakusema kuwa mkuu wa majini ni nani?
Kwahiyo kwako wewe Uingereza sio taifa kubwa lililoendelea? Unaelewa maana ya common wealth?Mataifa yote makubwa na yaliyoendelea hayana utawala wa kiimla/kifalme anzia USA,China,India n.k
How can you justify your statement.
#MaendeleoHayanaChama
NashangaaWakristo wanakuaaga na majini?
Ndio imani zenu zilivyo. Nasisi si tushirikiane na huo utawala tuendelee?Kuna mtu humu ndani anapinga utawala wa kimalkia au kifalme, akisema umepitwa na wakati. Wenzetu wameendelea na wanajua maana yake. Huenda nguvu zote za kiuchumi ziko pale. Huo utawala huenda unashirikiana na ulimwengu tusioujua.
Sent using Jamii Forums mobile app
[bPandisha hilo dera bibie....!Hayo yanayotolewa Kwa wachungaji kila siku ni ng'ombe?
Hata kama wanayo ni ya kutupiwa tu na hawa jamaaMara chache sana.... UNATAKA NISEME KWA NINI?
Kwahiyo unajifanya huwajui Wafuga Majini? Au ndio kuwatetea?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanao Toa majini ndo huwa wanayafuga ,,,,,angalia wanawake wengi ndio Wanatolewaga majini kwakuwa hawafanyi majosho maalum,,,katika biblia kama ilivyo katika Uislamu wanawake wakiwa ktk hedhi,au baada ya kuzaa au wakiingiliana na wanaume wanatakiwa waoge majosho maalum ya kujitakasa,Kwa kufanya hivyo wanajiepusha na mapepo wachafu,sasa wanawake WA kiislamu wengi wao Kwa mafundisho ya dini huwa wanaoga,,,,,sasa hao wenu huwa Hawaogi hao majosho matokeo yake wanakuwa nyumba za mapepo na ndio maana kila siku wanatolewa mapepo huko chachi
Hebu thibitisha hili Mbongo mwenzanguHuyo ndo mkubwa wa majini na ndo walioanzisha kanisa la Aglican hata mwingine atakayeingia lazima alinde kanisa hilo kwa kula kiapo, ni moja kati ya miradi yao mikubwa ya kuingiza pesa.
Hata wasiitwe au waitwe hivyo, kuna hadithi ya yesu, kuwa aliwafukuza majini, wakawaingia nguruwe, na wakristu ndiyo walaji wakubwa wa nguruwe.Mkuu kuna jini linaitwa Elizabeth, Jonson, Peter, Magdalena?
Kwahiyo wale wanao enda chachi ni wafuasi wa Nani?[bPandisha hilo dera bibie....!
]Wakristo maana yake ni Wafuasi wa Kristo...hawawezi kuwa na Majini. Hao wenye Majini sio Wakristo...au unataka kuwatupia?
We jichekeshe Tu kama zuzu! Ila habar ndo Hio!Kwahiyo unajifanya huwajui Wafuga Majini? Au ndio kuwatetea?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]