Mh!! Marehemu Sheikh Yahaya Hussein enzi zake

Mh!! Marehemu Sheikh Yahaya Hussein enzi zake

Hata wasiitwe au waitwe hivyo, kuna hadithi ya yesu, kuwa aliwafukuza majini, wakawaingia nguruwe, na wakristu ndiyo walaji wakubwa wa nguruwe.
Hivi unaelewa nini unapoambiwa na mchungaji wewe fulani ana mapepo,

Kwanini huyo pepo asiingie kwa mchungaji, ikiwa kusali mnasali wote.
Upo sahihi Yesu alifukuza majini maana yake ni kwamba mtu akiwa na Yesu hawezi kua na majini tunarudi pale pale hakuna mkristo mwenye majini
 
Upo sahihi Yesu alifukuza majini maana yake ni kwamba mtu akiwa na Yesu hawezi kua na majini tunarudi pale pale hakuna mkristo mwenye majini
Unajua mkuu sometime kukataa kweli ni ukichaa,,wale wanao tolewa mapepo Kwa Jina la Yesu ni mayahudi au?
 
Back
Top Bottom