Hata wasiitwe au waitwe hivyo, kuna hadithi ya yesu, kuwa aliwafukuza majini, wakawaingia nguruwe, na wakristu ndiyo walaji wakubwa wa nguruwe.
Hivi unaelewa nini unapoambiwa na mchungaji wewe fulani ana mapepo,
Kwanini huyo pepo asiingie kwa mchungaji, ikiwa kusali mnasali wote.