Mh!! Marehemu Sheikh Yahaya Hussein enzi zake

Upo sahihi Yesu alifukuza majini maana yake ni kwamba mtu akiwa na Yesu hawezi kua na majini tunarudi pale pale hakuna mkristo mwenye majini
 
Upo sahihi Yesu alifukuza majini maana yake ni kwamba mtu akiwa na Yesu hawezi kua na majini tunarudi pale pale hakuna mkristo mwenye majini
Unajua mkuu sometime kukataa kweli ni ukichaa,,wale wanao tolewa mapepo Kwa Jina la Yesu ni mayahudi au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…