Mh. Mwigulu Nchemba kutikisa Marekani na Uingereza mwezi mzima

Mh. Mwigulu Nchemba kutikisa Marekani na Uingereza mwezi mzima

Jk mwenyewe hatikisi, seuse huyu? Labda atatikisa maba.zazi tu.
 
Labda atatikisa kwa kuvaa bukta kichwani!Ccm nje inadharaulika kuliko
 
mwigulu anafuata siasa za kijamaa? chemba ndo anaandaliwa kuwa rais? chemba ataitksa marekani? hayo maswali nhmekosa majibu!
 
Jembe jembe jembe...
Hilo ndilo Jembe la tanzania bhana.
Naamini huko atatakata sana tu.
Kama Mwigulu ni Role modal wako basi akili yako ni ndogo sana maana hata huyo mwenyewe nampimia kina cha ugoko


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
nchi ina matatizo mengi, nlizani uwepo wa mwigulu na ccm yake ni kusimamia sera za chama chake kutatuwa matatizo ya watanzania kumbe WANAPOTEZA MUDA KUMBANA NA CHADEMA.
 
Nyumba ndogo yake Juliana asiisahau ikatoe tongo tongo
 
Kama Mwigulu ni Role modal wako basi akili yako ni ndogo sana maana hata huyo mwenyewe nampimia kina cha ugoko


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Mkuu,

Tayari umemnunulia mkeo dawa ya kuongeza kalio?!
 
Any connection between mwigulu and taswira........jinsi ulivyo post manaonekana si watu serious...unafanya mwigulu aonekane kama mbumbumbu na mshamba.....ungeipost serious kidogo......na kutaja taja chadema kunakufanya wewe uonekane unawewewseka na CDM zaidi kuliko unavyosema.....na hizo wazo la mwigulu kuwa rais....inawafanya CCM muonekane mmeidharau hiyo nafasi nyeti.....ccm wenzako unaona wanachangia kwa aibu...hawajiamini....swallow it ndo hali halisi ya picha mnayoijenga.....kaa ufikirie
 
Afadhali aende huko, maana kucha na meno ya watu angalau vitapona! Na mikutano ya wapinzani pengine haitapuliwa kwa muda! Mwigulu siasa analazimisha tu!
 
tatizo la ccm wana lali mbaya hata ilani ya chama chao wameitupilia mbali, kubwa lilio mbele yao ni Chadema, na hiyo imekuwa agenda kuu katika fikra zao na kwenye vikao vyao, mfano mdogo ni ngonjera zao na maneno ya khanga hidi ya Chadema bundeni. Ni aibu kwa taifa.
 
Yaani mwigulu ndiyo aitikise marekani na Uk kwa mpigo???? Kweli wewe pimbi! Saddam hussein mwenyewe na jeuri yake hakuweza kuzitikisa nchi hizo,zaidi aliishia kutiwa gogo kunako ------,osama bin laden alijaribu akaishia kumezwa na kambale!! Eti mwigulu ndiyo anaenda kutikisa marekani na uingereza!! Ptuuuuu!juzi tu mulikuwa munalia hapa kuwa chadema imepewa mipesa na wazungu hao hao,leo munaenda kuzitikisa nchi hizo,kweli kichaa hakina hodi,labda anaenda kumtikisia Lukosi mananii yake, alipotoka china mukampigia debe kweli kweli,akaenda Arusha. Kupeleka huo ujuzi wake wa kichina,zaidi ya kuua watoto wa madrassa kingine alichopata ni aibu tupu!!!kwani baada ya kampeni za uchochezi na mauaji ccm waliishia kupata 0 kwenye kura!!! Wewe unapiga tu kelele hapo kama punga,huku wenzie kina kinana na Nape wamemsusa,wewe ndiyo bado unamshikia linanii lake akojoe,nyati sana.
 
Last edited by a moderator:
ukitaka kujua elimu ya mtu we sikiliza hoja zake,ni za kimipasho tu...wewe na mwigulu no empty mind
 
ukitaka kujua elimu ya mtu we sikiliza hoja zake,ni za kimipasho tu...wewe na mwigulu ni empty mind
 
Eti pia atazungumza na vyama rafiki na CCM Huko Marekani na Uingereza! Mbona havitaji? Vyama rafiki vya siri? Ngoja tuwafahamishe Marekani na Uingereza wamchunguze asije kuwa na shehena ya sembe huyo jamaa. Maana hiyo ndio biashara ya chama chao.
 
Mwigulu awe makini na wake za watu huko, hasa watanzania wenzetu wanaoishi huko, eti mwigulu aandaliwe kugombea urais, nadhani hata vichaa watatangaza nia!
 
Mnajitahidi sana na double ID's, unapost mwenyewe unachangia mwenyewe.
Kitu kibaya ni kwamba huwezi uongopea moyo wako, hata ukiandika uzi wa page 100 kujifariji hapa jf moyo wako unabaki na ukweli wa mstari mmoja tu "ccm ina hali mbaya"
 
Mwingulu nani bhana??? Mwenyekiti wake Ameshidwa kujibu maswali ya Wa-Tanzania US na UK itakuwa yeye!!!
F@(K..
 
Back
Top Bottom