Mh. Mwigulu Nchemba kutikisa Marekani na Uingereza mwezi mzima

Sasa naanza kuuona unafuu wa @Napennauye huyu mchemba ni hayawani asiye na haya,ngoja nitafute connection between Taswira na lichemba,kwani inavyoonekana ni kama kuna kitu in common kati ya vichaa hawa wawili,au mmoja mwenye majina mawili,taka ngumu ni pamoja na binaadamu wasio na akili wala faida kwa jamii!! Taswira ni mojawapo.
 
Last edited by a moderator:
tamu kweli,Lakini nyie mnakipata cha moto.Mwigulu anawakamua mwanzo mwisho

pole sana mnaanda thread kwenye round table mnaanza kupost huku mkiinadi ikubalike humu JF .Huu umbumbumbu wa siasa za book 7 lumumba utawamaliza amini msiamini.
 
pole sana mnaanda thread kwenye round table mnaanza kupost huku mkiinadi ikubalike humu JF .Huu umbumbumbu wa siasa za book 7 lumumba utawamaliza amini msiamini.
Umeuona uandishi wenyewe kwanza??? Ni full viroja,kama mataahira vile.
 
Mwigulu ni Janga. Nashangaa sana watu waliomchagua.
 
atakiona cha osama . marekani hawanaga siasa za mabomu. amejipeleka
 
Ziara zenu huko nje hazina tofauti na vijana wa bongo flava wanaoenda kuburudisha watu sebuleni huku wakijinasibu walifunika mbaya kwenye show.isije kuwa anapeleka mapowder state
 
:becky:ya ngoswe hayo kwa uandishi huu mwandikaji kama sio yeye basi namba ya mwandikaji itazamwe m-pesa,tigo peasa ,au airtel money itakuwa full money....tehehe...
 
Uonngo mwingine mtu mzima haufai anahudhuria UN kama nani na kikao vya UN kinahusu nn.
 
Mbona hujasema kuhusu ratiba ya kuangalia afya yake kwenye hospitali ya ST THOMAS ?unaogopa nini ? Au ni typing error ?
 
Mtela Mwampamba ni bora ungekua unatumia I'd yako
 
Kama hadithi hii haijaandikwa na Shonza, basi wako wengi wenye degree za sociology za kubahatisha.
 
Yaani mwigulo awe rais wa Tz? Acheni upumbavu kabisa.
 
Teh nikikumbuka alivo aibishwa arusha nacheka sana.. huyu mtu hakuna jina analoliogopa kama akisikia CHADEMA..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…