Mh. Mwigulu Nchemba kutikisa Marekani na Uingereza mwezi mzima

Mkuu Fitinamwiko hapo umemtisha wala hawezi kuja huko DMV. Huyo ni wa kumfata huko California.....
Cali ndipo pazuri, maana LAPD wapo kama nyuki, jamaa akirusha ngumi tuu, tumsahau. Freedom of speech na wanaTanganyika tupo and CCTV kila kona. Wenye ratiba wekeni hapa tumuonyeshe, sababu inayomfanya JK na Membe kukimbia mikutano ya hadhara DMV
 
Mwigulu amesikia Dr Slaa anaenda Marekani nae anamfata anafikiria Dr anamaind Uliberali?

Poor Mwigulu
Both are wanted, wote wataonja joto la jiwe. Kama wapo smart na wanajua kujibu maswali wasiogope
 
Cali ndipo pazuri, maana LAPD wapo kama nyuki, jamaa akirusha ngumi tuu, tumsahau. Freedom of speech na wanaTanganyika tupo and CCTV kila kona. Wenye ratiba wekeni hapa tumuonyeshe, sababu inayomfanya JK na Membe kukimbia mikutano ya hadhara DMV

Sijui atakuja huko na Yule Tesha aliyekuwa anazunguka naye kutafuta huruma ya wananchi kuwa amemwagiwa tindikali na CHADEMA.... Zile kesi zilikufa kwa aibu....
 
Lazima TUTAREPORT HII KWA LAPD KWAMBA WANAKUJA KUFANYA KAMPENI USA TUTAONA
 

KWANZA; Jaribu kweli kuongelea hiyo ziara kuwa ni ya kikazi na sio ya KICHAMA... KISIASA sababu anajulikana ni yuko upande wa na ni kibaraka wa WACHINA hadi kuvaa kofia zao kuja MAREKANI ni lazima kuwe na sababu Muhimu zaidi ya kuzunguka kutembelea watanzania kama ni hivyo basi hata pata hiyo VISA hata kidogo

Na hao CHADEMA hawana cha kuhofia chochote; Sababu katiba ya AMERICA hairuhusu vyama vya kisiasa kufanya campaign kwenye ARDHI ya MAREKANI labad aje kwa jina lingine na sio kuwatembelea watanzania wana CCM; mtashitukia AMEPIGWA VISA NON-GRANTA.

Kama Mmezoea kuishi kwenye nchi isiyo na sheria kama Tanzania kila kitu ni kufyatuka fyatuka tu USA is a different chapter hapo atajiadhirisha MWENYEWE... Labda kwenda CHINA hata hitaji hizo VISA...'


Sijui kwanini WATANZANIA jinsi miaka inavyoendelea na technologia zinavyoendelea watanzania tunazidi kuwa mambumbumbu na kutojua chochote, tunadhani CCM na kina MWINGULU na NAPE ndo MWISHO DUNIANI hawana pingamizi lolote duniani...

LOOOSER's!!!!!
 
We kweli taahira,
Yaani unamzungimzia Mwigulu na Urais katika context ya Kiushindani zaidi against CDM na sio uwezo wake wa kuongoza Nchi.

Labda kwa kua unadhani anaiweza CDM ndio kiwe kigezo cha kua Rais na sio uelewa wake wa mambo na matatizo yanayowakabili Watanzania na utatuzi wake.
 
"3. Mbunge huyo anategemea kushiriki mkutano wa UN unaotegemea kufanyika mwishoni mwa Mwezi huu ndani ya WASHINGTON D.C (Hapa anategemea kupata uzoefu wa kukaa na kujadili mambo na mataifa makubwa duniani na viongozi wenye beji za heshima mbalimbali katika ulimwengu huu). "
Huu ni ushahidi kuwa hii habari imeandaliwa na Bi Juliana Shonza. Nani alikwambia kuwa mikutano ya UN hufanyikia WASHINGTON DC? Rudi chuoni ukatoe matope yaliyoganda katika ubongo wako.
 
'Ndevu bila kuwa na pesa ni uchafu'.- Dr.Salmin Amour aka Commandoo 1995
 
Kesi za ugaidi na tindikali mmechemsha mmeamia kwenye ngonjera nyingine? Majoka ya kibisa Hamna madhara.
 
Sijui atakuja huko na Yule Tesha aliyekuwa anazunguka naye kutafuta huruma ya wananchi kuwa amemwagiwa tindikali na CHADEMA.... Zile kesi zilikufa kwa aibu....
Hilo ni moja ya maswali atakayoulizwa, uchunguzi ulikuwa bado haujakamilika, alijuaje ni chadema walihusika?
 
acheni kuropoka nyie akina dada, awe rais wa nchi ngani !!!!!!!!!!!!!!! ,,,,ccm bana. j.makamba kashinda rais wa TAHILISO, mwigulu rais wa j.shonza na mtela.
 
Afadhali aondoke na ikiwezekana asirudi, mwanasiasa gani asiyependa watanzania wenzake? Mwigulu ningeomba hata apate ajali mbaya afe, hana la maana kwa taifa letu, zaidi ya kuwatetea mafisadi na kuua watanzania wasio na hatia!
 
Nchembe kutikisa Marekani na Uingereza?Wewe Mwandishi lazima utakuwa hamnazo kidogo au ulibugia kiroba wa jua kali na hujakula!Unadhani kule ni Iramba mleta mada?
 
Wamcheki airport atakuwa amebeba unga, kwao kumemshinda watu wasibebe mabox waende kupoteza muda!si aanzie Arusha?
 
Niape kuwa endapo Mwigulu Nchemba atapitishwa na CCM kuwania Urais na/au kuchukua fomu ya kugombea urais basi na mimi nitatoa kinyesi changu kigombee urais kwa kutumia tiketi hiyohiyo ya CCM kwani nitaamini kuwa CCM kila kitu kinafaa kugombea urais kama hata Mwigulu Nchemba atathubutu kugombea..

Tuache masihara na ushabiki wa kiuwehu uwehu..Hii ni nchi na siyo genge la matahira kwamba kila kitu kinaweza kumilikishwa!!
 
Ukiona mtu yeyote anayeshabikia siasa uchwara za mwigulu ujue kama sio mwizi ni mchawi au ni kichaa na anakaribia kufa. Unaweka thread ya upuuzi kutupotezea muda. Kwanza huna evidences zozote. ungeweka ratiba ya ziara ungeeleweka nahisi huyu jamaa ataenda kujifugia kwake na kutafakari jinsi alivyochangia kukidhoofisha ccm wewe unaharisha tu eti mwigulu anaenda nje ya nchi. kima we
 
atatikisa nini? Kibeliti kwani mwigulu ninani kwenye hii nchi? Na siasa zake za kubambikia watu kesi labda huko atatikisa kibeliti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…