Sifa nyingine mpaka keroKutoka Mitandaoni:
Mh Mkuu wa Mkoa wa Jiji la Dar es Salaam babalao kwa herufi ndogo ametembelea kituo cha Wanasheria Wanawake wanaojihusisha na msaada wa kisheria kwa wanawake na watoto.
Makonda amewapongeza kwa kazi kubwa wanayoifanya.
My Take:
Hili ni jibu Konki sana kwa Pompeo na waliompotosha!
Ana ukonk gani huyo. Acheni kumpotoshaKutoka Mitandaoni:
Mh Mkuu wa Mkoa wa Jiji la Dar es Salaam babalao kwa herufi ndogo ametembelea kituo cha Wanasheria Wanawake wanaojihusisha na msaada wa kisheria kwa wanawake na watoto.
Makonda amewapongeza kwa kazi kubwa wanayoifanya.
My Take:
Hili ni jibu Konki sana kwa Pompeo na waliompotosha!
Leo hii unalilia fedha za MABEBERU?Kutoka Mitandaoni:
Mh Mkuu wa Mkoa wa Jiji la Dar es Salaam babalao kwa herufi ndogo ametembelea kituo cha Wanasheria Wanawake wanaojihusisha na msaada wa kisheria kwa wanawake na watoto.
Makonda amewapongeza kwa kazi kubwa wanayoifanya.
My Take:
Hili ni jibu Konki sana kwa Pompeo na waliompotosha!
Kutoka Mitandaoni:
Mh Mkuu wa Mkoa wa Jiji la Dar es Salaam babalao kwa herufi ndogo ametembelea kituo cha Wanasheria Wanawake wanaojihusisha na msaada wa kisheria kwa wanawake na watoto.
Makonda amewapongeza kwa kazi kubwa wanayoifanya.
My Take:
Hili ni jibu Konki sana kwa Pompeo na waliompotosha!
Duuu
Wewe ni msemaji wake..
Unajuaje kama hilo ndiyo jibu..
Akiomba msamaha na kuwapigia magoti Mabeberu... Utaweka wapi sura yako
Nashangaa wewe na hao wabunge wa ccm mnalilia fedha za MABEBERU zilizozuiwa kwa barua ya Zitto. Nilitegemea mfurahi kwasababu this cantri iz a "dona cantri"Umewahi kusoma posts zangu mkuu??
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!