Baba Ndumbwi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 447
- 712
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi! Tangu lini ukawa sisi? Hebu acha kimbelembele Cha kuwasemea watu wa geita kwani hawajakutuma! Usilazimishe kazi hata Kama ni jobless! Huko geita hawajaomba kusemewa na wewe Wala kubadilishiwa mkuu wa mkoa!Sisi wanageita tuna mhitaji kwa udi na uvumba,tunataja viongozi anayekuwa karibu na RAIA kama mh Paul
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuhusu ile hela wameambiwa warekebishe mfumo wa elimu, wanaopata mimba wana haki ya kupata elimu sawa na wengine.Sio rahisi kupewa nchi
Ubunge tu hawezi kupata labda wa kuchaguliwa
Kutakuwa kuna order imetoka mahala
Rejea IMF sijui World Bank eti ile pesa Mheshimiwa Zitto soon itaachiliwa
taarifa kama hizi zitaushushia heshimaHabari za leo waungwana?
Kuna taarifa toka chini ya kapeti kuwa kijana mchapa kazi na mwenye juhudi katika kuhakikisha taifa letu lina songa mbele Mh. Paul Makonda atahamishiwa mkoani Geita kama mkuu wa mkoa .
Hii ni kutokana na juhudi zake katika kutafuta wawekezaji ,ambapo Mh.Rais ameamua kumhamishia mkoani Geita ili asaidie upatikanaji wa wawekezaji katika sekta ya madini ,msukumo huo umekuja kutokana na mh.Paul kuwa na marafiki wengi kutoka mataifa ya ngambo ambao wameonesha nia ya kuwekeza katika sekta ya madini.
My take: namtakia kila kheri mh.Paul ,na anakaribishwa kwa moyo mkunjufu mkoani Geita, lakini pia pongezi kwa mh. Rais kwa kuamua kumleta kijana wetu mchapa kazi ili kuhakikisha kuwa sekta ya madini mkoani Geita inakuwa na kuwaletea tija wakaazi wa Geita na taifa kwa ujumla.
Sent using Jamii Forums mobile app
Namkubali sana Makonda ila natofautiana nae mbali katika ukatili ambao hata America imeuonaHabari za leo waungwana?
Kuna taarifa toka chini ya kapeti kuwa kijana mchapa kazi na mwenye juhudi katika kuhakikisha taifa letu lina songa mbele Mh. Paul Makonda atahamishiwa mkoani Geita kama mkuu wa mkoa .
Hii ni kutokana na juhudi zake katika kutafuta wawekezaji ,ambapo Mh.Rais ameamua kumhamishia mkoani Geita ili asaidie upatikanaji wa wawekezaji katika sekta ya madini ,msukumo huo umekuja kutokana na mh.Paul kuwa na marafiki wengi kutoka mataifa ya ngambo ambao wameonesha nia ya kuwekeza katika sekta ya madini.
My take: namtakia kila kheri mh.Paul ,na anakaribishwa kwa moyo mkunjufu mkoani Geita, lakini pia pongezi kwa mh. Rais kwa kuamua kumleta kijana wetu mchapa kazi ili kuhakikisha kuwa sekta ya madini mkoani Geita inakuwa na kuwaletea tija wakaazi wa Geita na taifa kwa ujumla.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseeh ni ishu ya post yake au kuna lingine... Coz si kwakumvaa huko.Sisi! Tangu lini ukawa sisi? Hebu acha kimbelembele Cha kuwasemea watu wa geita kwani hawajakutuma! Usilazimishe kazi hata Kama ni jobless! Huko geita hawajaomba kusemewa na wewe Wala kubadilishiwa mkuu wa mkoa!
Sisi! Tangu lini ukawa sisi? Hebu acha kimbelembele Cha kuwasemea watu wa geita kwani hawajakutuma! Usilazimishe kazi hata Kama ni jobless! Huko geita hawajaomba kusemewa na wewe Wala kubadilishiwa mkuu wa mkoa!
Aiseeh ni ishu ya post yake au kuna lingine... Coz si kwakumvaa huko.
Sisi! Tangu lini ukawa sisi? Hebu acha kimbelembele Cha kuwasemea watu wa geita kwani hawajakutuma! Usilazimishe kazi hata Kama ni jobless! Huko geita hawajaomba kusemewa na wewe Wala kubadilishiwa mkuu wa mkoa!
Duh...!, tetesi hizi sio nzuri!, kitendo cha kuilikisha hii humu jf, umeharibu, sasa hahamishwi tena, kwasababu mhamishaji hapendi kupangiwa, hivyo hata kama ilikuwa ni kweli, akiendelea itaonekana umempangia.
Kwa vile mimi nilimtabiria Makonda makubwa, alipaswa kuhamishiwa Mwanza ili October ampumzushe yule Mbunge chapombe, aingie Bungeni, atapewa wizara nyeti, then 2025 dogo apokee mikoba
Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...
P
Kwanini asiteuliwe kuwa Waziri wa Uwekezaji ili iwe rahisi kusafiri nje ya nchi mpaka Marekani akawalete?Habari za leo waungwana?
Kuna taarifa toka chini ya kapeti kuwa kijana mchapa kazi na mwenye juhudi katika kuhakikisha taifa letu lina songa mbele Mh. Paul Makonda atahamishiwa mkoani Geita kama mkuu wa mkoa .
Hii ni kutokana na juhudi zake katika kutafuta wawekezaji ,ambapo Mh.Rais ameamua kumhamishia mkoani Geita ili asaidie upatikanaji wa wawekezaji katika sekta ya madini ,msukumo huo umekuja kutokana na mh.Paul kuwa na marafiki wengi kutoka mataifa ya ngambo ambao wameonesha nia ya kuwekeza katika sekta ya madini.
My take: namtakia kila kheri mh.Paul ,na anakaribishwa kwa moyo mkunjufu mkoani Geita, lakini pia pongezi kwa mh. Rais kwa kuamua kumleta kijana wetu mchapa kazi ili kuhakikisha kuwa sekta ya madini mkoani Geita inakuwa na kuwaletea tija wakaazi wa Geita na taifa kwa ujumla.
Sent using Jamii Forums mobile app
Marekani wanatarajia kuweka kila kitu wazi. Usije kushangaa hata huko Geita ikawa ni ndoto. Watamvua nguo hamtaamini macho yenu.Duh...!, tetesi hizi sio nzuri!, kitendo cha kuilikisha hii humu jf, umeharibu, sasa hahamishwi tena, kwasababu mhamishaji hapendi kupangiwa, hivyo hata kama ilikuwa ni kweli, akiendelea itaonekana umempangia.
Kwa vile mimi nilimtabiria Makonda makubwa, alipaswa kuhamishiwa Mwanza ili October ampumzushe yule Mbunge chapombe, aingie Bungeni, atapewa wizara nyeti, then 2025 dogo apokee mikoba
Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...
P
No ni mikoba ya uendeshaji siri kali.Tafadhali sana Pascal Mayalla je, unamaanisha mikoba ya uganga??