Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
No ni mikoba ya uendeshaji siri kali.
P
Aisee mi nikajuaga ni ile mikoba mieusi...
Kama ni hilo unalomaanisha basi uwe unapunguzaga utani, homeboy...!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No ni mikoba ya uendeshaji siri kali.
P
Au Mbadilishane,wewe Mayalla uende Geita na Makonda aende Mwanza.Duh...!, tetesi hizi sio nzuri!, kitendo cha kuilikisha hii humu jf, umeharibu, sasa hahamishwi tena, kwasababu mhamishaji hapendi kupangiwa, hivyo hata kama ilikuwa ni kweli, akiendelea itaonekana umempangia.
Kwa vile mimi nilimtabiria Makonda makubwa, alipaswa kuhamishiwa Mwanza ili October ampumzushe yule Mbunge chapombe, aingie Bungeni, atapewa wizara nyeti, then 2025 dogo apokee mikoba
Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...
P
I bet Keagan na mama yake watabaki Dar na Bashite atakuwa Dar kila weekend
| Anapelekwa sehemu yenye madini akapige madini kama kawaida |
Hii habari inaweza kuwa ya kweli, kwa sababu uchangiaji wako humu nashindwa kuitofasha akili yako na akili ya huyo Makondactor.Habari za leo waungwana?
Kuna taarifa toka chini ya kapeti kuwa kijana mchapa kazi na mwenye juhudi katika kuhakikisha taifa letu lina songa mbele Mh. Paul Makonda atahamishiwa mkoani Geita kama mkuu wa mkoa .
Hii ni kutokana na juhudi zake katika kutafuta wawekezaji ,ambapo Mh.Rais ameamua kumhamishia mkoani Geita ili asaidie upatikanaji wa wawekezaji katika sekta ya madini ,msukumo huo umekuja kutokana na mh.Paul kuwa na marafiki wengi kutoka mataifa ya ngambo ambao wameonesha nia ya kuwekeza katika sekta ya madini.
My take: namtakia kila kheri mh.Paul ,na anakaribishwa kwa moyo mkunjufu mkoani Geita, lakini pia pongezi kwa mh. Rais kwa kuamua kumleta kijana wetu mchapa kazi ili kuhakikisha kuwa sekta ya madini mkoani Geita inakuwa na kuwaletea tija wakaazi wa Geita na taifa kwa ujumla.
Sent using Jamii Forums mobile app
WHY SO SERIOUS? 🤡Sioni tija ya uhamisho huo Kama upo! Hivi huyo boss wake hakumsikia Pompeo na ya juzi ya dar kugeuzwa kituo Cha kupokelea mihadarati? Au anamtuma kwenda kuwapora wachimbaji Kama alivyokuwa akifanya dar?
Magu awe msikivu aache ushindani na marekani kwani hawanaga utani kwenye kuusimamia kauli zao! Kwani akimpumzisha magu atapata hasara gani?
Hainihusu..
Dar es salaam ni hub ya drugAnapelekwa sehemu yenye madini akapige madini kama kawaida
Unatamani Paul awe Rais? 😂😂😂Duh...!, tetesi hizi sio nzuri!, kitendo cha kuilikisha hii humu jf, umeharibu, sasa hahamishwi tena, kwasababu mhamishaji hapendi kupangiwa, hivyo hata kama ilikuwa ni kweli, akiendelea itaonekana umempangia.
Kwa vile mimi nilimtabiria Makonda makubwa, alipaswa kuhamishiwa Mwanza ili October ampumzushe yule Mbunge chapombe, aingie Bungeni, atapewa wizara nyeti, then 2025 dogo apokee mikoba
Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...
P
Siihitaji Yale ya Zimbabwe yake huku!WHY SO SERIOUS? 🤡