Mh. Rais Inawezekana Kabisa Unahujumiwa bila kujijua

Mh. Rais Inawezekana Kabisa Unahujumiwa bila kujijua

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bado tu anaangushwa!????...
 
So unataka kutuaminisha kuwa yeye hajui kinachoendelea au????? Chuki yako kwa jiwe isikufanye ushindwe kusema kuwa mama anayumba au unaogopa kuitwa MATAGA
 
Habari Mheshimiwa Rais,

Nikiri wazi Mimi sikua mshabiki wako, sababu pia sikua mshabiki wala mfuasi wa Chama ulichopo. Na hata ulipoanza kua Rais sikua na matumaini yoyote kwako, sababu kubwa hasa ni kua wewe ulikuwepo kwenye madaraka enzi zile za jamaa yule...
Hivi huyo shujaa si alishakufa? Sasa hao wafuasi wake wanatokea wapi tena? Na wamhujumu mama ili wapate nni na shujaa wao hayupo tena. Yaani mlimuogopa mtu mpaka na kivuli chake bado kinawasumbua.

Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
 
Yanayofanyika yana baraka zake! Anahujumiwa kivipi! Maamuzi si yanafanyika kwenye baraza huko!.Na yeye ni mtoa maamuzi wa mwisho!.wengine chawa tu! ..Msitake kumkwepesha lawama ! Lazima alibebe hili!. Mbona Jpm kutwa kucha mlikua mnaporomosha nyuzi humu?! Tulieni!.
Inawezekana na haiwezekani presha ni nyingi hata mke nyumbani aweza kuyumbishwa na mke au watoto. Tumshairi tu asimame imara na kwenye haki atayashinda majaribu. Asiogope
 
Kama unayosema ni kweli basi huyu mama HAFAI KUWA RAISI
kwa sababu anakubali vipi kuhujumiwa na watu wa chini yake? Anakubali vipi kupokea kila kitu? Vipi kuhusu mikataba aliyosain?
 
Inawezekana na haiwezekani presha ni nyingi hata mke nyumbani aweza kuyumbishwa na mke au watoto. Tumshairi tu asimame imara na kwenye haki atayashinda majaribu. Asiogope
Hizi sasa ni propaganda, hakuna waziri anayeweza kwenda kinyume na matakwa ya raisi. Haya yanayoendelea yana baraka zake zote.
Mawaziri ni watu wa kutumwa tu na raisi, hawana uwezo wowote wa kumgomea raisi wala kuanzisha Jambo bila raisi kujua.
Hizi lawama zinaenda moja kwa moja kwake,
 
Tumepata bahati kubwa mno kumpata SSH, rais wa kike, mwenye huruma na imani, raisi wa wanyonge.....ila nasikitika kuona baadhi anaofanyanao kazi sio watu wazuri, nia yao kumharibia.
 
Habari Mheshimiwa Rais,

Nikiri wazi Mimi sikua mshabiki wako, sababu pia sikua mshabiki wala mfuasi wa Chama ulichopo. Na hata ulipoanza kua Rais sikua na matumaini yoyote kwako, sababu kubwa hasa ni kua wewe ulikuwepo kwenye madaraka enzi zile za jamaa yule...
Mwenye akili alishaliona hili mapemaaaa! I wrote the same thing in one of my posts juzi, kuwa huyu wamemtega bila yeye kujijua, anatakiwa kung'oa hiyo Miguu yake
 
Hivi Kwann asiweke mchaga hio wizara mnyaturu na pesa wapi na wapi bwashee
 
Tumepata bahati kubwa mno kumpata SSH, rais wa kike, mwenye huruma na imani, raisi wa wanyonge.....ila nasikitika kuona baadhi anaofanyanao kazi sio watu wazuri, nia yao kumharibia.
Wanamuhujumu.
Hio wizara inafaa mchaga aisee
 
Hakuna anaemhujumu hata mmoja kwa sababu pasi zote zinapigwa kuelekea kwake,yeye pekee ndo mfungaji na captain wa wenzake yeye mwenyewe hata kabla ya kupangua pangua baraza la mawaziri alishasema ni wakati wa kufarijiana,kufukia mashimo yote,kujenga uchumi shirikishi,kuvutia wawekezaji,TRA walibebeshwa mzigo wote eti hawana weledi katika kukusanya kodi n.k
 
Habari Mheshimiwa Rais,

Nikiri wazi Mimi sikua mshabiki wako, sababu pia sikua mshabiki wala mfuasi wa Chama ulichopo. Na hata ulipoanza kua Rais sikua na matumaini yoyote kwako, sababu kubwa hasa ni kua wewe ulikuwepo kwenye madaraka enzi zile za jamaa yule...
Toa ushauri kuhusu wigo wa ongezeko la kodi na ukamilishaji wa miradi iweje? Huoni km hili la ukamilishaji wa miradi ili kuendelea kuwa uchumi wa kati likiachwa nalo siyo zuri kwa Rais na nchi tusiangalie upande mmoja.
 
Habari Mheshimiwa Rais,

Nikiri wazi Mimi sikua mshabiki wako, sababu pia sikua mshabiki wala mfuasi wa Chama ulichopo. Na hata ulipoanza kua Rais sikua na matumaini yoyote kwako, sababu kubwa hasa ni kua wewe ulikuwepo kwenye madaraka enzi zile za jamaa yule...
Nakuomba tena Mama yangu ufikirie tena hivi vimeo unavyochomekewa, na uwe makini navyo. Mafuta ndio "trigger" ya mfumuko wa bei wa bidhaa mbalimbali za muhimu. Na kwenye miamala ya tigopesa/mpesa ndio wengi wa kipato cha kati na chini hufanya miamala yetu, sababu hatuna hela za kuweza kukaa benki.[emoji736][emoji817][emoji1545]

Kwenye tozo za mafuta na miamala ya simu kashauriwa vibaya na impact yake ataiona soon. Kuna wako mijini wanapigika siku nzima ili jioni watume 6000 nyumbani kijijini watoe 5000 wapate kula na kupata mahitaji mengine ya lazima .. Leo haiwezekani tena
 
Kuna mamtu hayana akili eti hatuna hela ya kuweka benki, benki unaweka hata elfu 50,000/= ukienda kutoa makato hayazidi 2,000/=
Je, ukiweka hela hiyo kwenye simu hata kabla ya mabadiliko ya gharama za miamala ulikuwa unakatwa ngapi?
Badilisheni mindset za kizamani kwamba benki ni za matajiri ndo mnaitwa wanyonge kibatamzinga hivo ivo[emoji38][emoji38][emoji38]
 
K
Nakuomba tena Mama yangu ufikirie tena hivi vimeo unavyochomekewa, na uwe makini navyo. Mafuta ndio "trigger" ya mfumuko wa bei wa bidhaa mbalimbali za muhimu. Na kwenye miamala ya tigopesa/mpesa ndio wengi wa kipato cha kati na chini hufanya miamala yetu, sababu hatuna hela za kuweza kukaa benki...
Kwahili mshauri aliye shauri ajitafakari. Wengine hutumiwa Elfu 2 tu jamaa kapigika huko kutwa nzima kapata elfu 3 anatuma ili mtoe Elfu 2 maisha yaende na amani ya familia Iendelee
 
Nahisi tatizo litakuwa ubunifu tu. wa vyanzo.

Ushauri wangu BORA HATA WANGEJENGA PUBLIC TOILETS HUKO WANGEPATA PATA NYIIINGI TU
 
Back
Top Bottom