Mh. Rais unahujumiwa na Ummy Mwalimu kupitia TAMISEMI. Sio mtenda haki

Mh. Rais unahujumiwa na Ummy Mwalimu kupitia TAMISEMI. Sio mtenda haki

Dah watu wanachapiana wake
Kama ni kweli huu uzi kunahaja ya kuusambaza social media zote na uwatag ummy na chief hangaya
 
Hizi ishu najua siku zikinikuta najua asubuhi yake mtaandaa mazishi ya bosi wenu...Wafanyakazi wa Halmashauri wanatuona walimu kuwa viroboto ...
 
Tanga jiji pameoza sana,kuna mambo ya hovyo sana wala sio uongo! Nilishawahi kufanya nao kazi mwaka huu mwanzoni kwenye mambo fulani.haya anayosema mtoa mada ukiwa kule ndio habari ya mjini wala sio fitina.
 
Kupitia ukurasa wa ofisi ya Rais TAMISEMI,imeripotiwa kwamba waziri wa TAMISEMI amatoa maelekezo kwa katibu tawala mkoa wa Tabora kumshusha cheo mwalimu mkuu wa shule ya Makazi iliyopo wilaya ya Uyui mkoani Tabora.
Ummy amedai kwamba mwalimu huyo ana hana maadili na sio muadilifu.
Ninaviarifu vyombo vinavyotenda haki kwamba Tanga jiji ambapo ni jimboni kwa Ummy pameoza.

Mosi; Yupo mkuu wa shule ambaye alikua anaishi kinyumba na mke wa mwalimu mwenzake. Mkuu huyo wa shule ambaye aliteuliwa na kuwa mkurugenzi alisababisha ndoa ya mwalimu mwenzake kufa. Mwanamke huyo aliyesaliti ndoa yake na mkuu huyo wa shule nae ni mwalimu na alikua akifanya kazi shule moja na mgoni wake. Suala hilo lilikua wazi hata wanafunzi wanajua maana mkuu huyo wa shule ambaye kwasasa ni mkurugenzi alimhamishia mke wa mtumishi mwenzie shuleni hapo. Jambo hili lipo wazi Afisa Elimu Sekondari analijua,katibu wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC)Tanga analijua,aliyekua mkurugenzi analijua lakini hawakumchukulia hatua kwakua wote ni walewale. Je Ummy hili halijui? Kwanini huyo mtumishi mmetoa mapendekezo akapanda cheo tena bila aibu unashusha watu vyeo wakati kwako kumeoza.

Pili;Yupo Afisa Elimu Taaluma amenyanyaswa na Afisa Elimu sekondari mpaka akaamua mwenyewe kuacha kazi na ameikimbia ofisi. Ummy anajua wazi namna mama wa watu alivyonyanyasika akaikimbia ofisi. Mkurugenzi aliyeondolewa ofisini pamoja na Afisa Elimu Sekondari mbona hujawashuhulikia. Wewe husikii harufu ya ngono na malalamiko kwenye halmashauri ya Tanga? Hujasikia malalamiko ya rushwa ya ngono? Hujui watu waliopewa nafasi kwasababu zinazoendana na rushwa? Kipi hukielewi wewe Ummy kuhusu dhuluma wanayofanyiwa watumishi jijini Tanga? Kwanini ukapigiie kelele mbali wakati kwako kumeoza pananuka? Ummy kama umemmudu kumdanganya na kumhadaa Mh. Rais sawa ila Mungu yeye yupo na hadhihakiwi. Acha kuumiza watu wanaofanya mambo madogo wakiwa mbali wakati upo ndani mwako na wahalifu unakula na kunywa nao

Tatu; Wapo makatibu wa TSC wa Tanga na Mkinga. TSC makao makuu walituma watu wao kufanya ufuatiliaji wa ubadhirifu walioufanya makatibu hao. Walikua wanasainiana na kula hela za serikali wenyewe wawili bila kushirikisha watumishi wengine kwenye ofisi zao. Hakuna hatua zilizochukuliwa aidha na wewe Ummy au katibu wa TSC Dodoma. Je kama hawakutaka kuchukua hatua kwanini waliingiza serikali gharama za kutuma watu kufanya ufuatiliaji? Ummy hili nalo hulijui? Au halipo TAMISEMI? Unapiga sana kelele kwenye halmashauri za wenzako ila wenzako Tanga unawachekea ili uonekane mtu poa usiena tabu. Tenda haki au tulia kama mtangulizi wako kwenye wizara hiyo, acha mbwembwe
Usipochukua hatua juu ya hayo machache huna sifa ya kutembea halmashauri nyingine kusimamisha watumishi kazi na kuwashusha vyeo wengine
Kwaleo ninamuachia Ummy kazi ya watu wachache,nitampandia tena jukwaani akifanya uonevu.

Mh. Rais tambua kwamba Ummy anafanya maigizo na ukandamizaji hivyo anaonekana kama anakuhujumu wewe pale ambapo hatendi haki tena kwa makusudi
Ummy namuona waziri wa makelele tu kutwa anabwabwaja kama nguchiro
 
Huyo mkurugenzi hajakutana na watoto wa mjini kama mimi....yaani umchukue mke wangu na bado na ajira yangu ninyang'anywe....jela au kifo ndio itakuwa haki yangu.....kumalamsengerema huyo mkurugenzi uchwara...
Anaitwa nani huyu mkurugenzi asiye jiheshimu kiasi hicho
 
Ummy namuona waziri wa makelele tu kutwa anabwabwaja kama nguchiro
8DF3C975-7A7F-466A-B8DE-D44071B8EE00.jpeg
 
Ummy namuona waziri wa makelele tu kutwa anabwabwaja kama nguchiro
Upo sahihi sana mkuu.
Utashangaa kwamba yule Afisa Elimu Taaluma ambaye ameacha kazi kwa madai ya kunyanyaswa na Afisa Elimu sekondari jiji la Tanga,hatendewi haki. Hakuna aliyewajibishwa.
Alichokifanya Ummy nikumuweka rafiki yake ambaye nikada mwenzakeke ajaze nafasi ya huyo mama aliyeacha kazi.
Huyo aliyeenda kua Afisa Elimu Taaluma shule yake ndio ilikua ya mwisho kwenye mitihani ya ndani ya jiji. Sasa huyo atainuaje taaluma. Shule imemshinda kusuka mikakati ataiweza halmashauri?
Ummy anachangia kuiua Tanga

Ummy acha ukasuku utaondoka TAMISEMI kama huyo mgoni alivyoondoka ukurugenzi Tanga jiji
 
Ummy amepewa hicho cheo sio kwa weledi bali kwa urafiki hivyo wananchi wanahujumiwa!! Huyu angefaa kama ni lazima kuongoza Wizara ya wanawake ,watoto na wazee; huko angefaa. It is time now Samia reshuffled her cabinet and made these necessary adjustments.
Kwa wabunge waliopo huyo ummy ndio mwenye afadhali!
 
Upo sahihi sana mkuu.
Utashangaa kwamba yule Afisa Elimu Taaluma ambaye ameacha kazi kwa madai ya kunyanyaswa na Afisa Elimu sekondari jiji la Tanga,hatendewi haki. Hakuna aliyewajibishwa.
Alichokifanya Ummy nikumuweka rafiki yake ambaye nikada mwenzakeke ajaze nafasi ya huyo mama aliyeacha kazi.
Huyo aliyeenda kua Afisa Elimu Taaluma shule yake ndio ilikua ya mwisho kwenye mitihani ya ndani ya jiji. Sasa huyo atainuaje taaluma. Shule imemshinda kusuka mikakati ataiweza halmashauri?
Ummy anachangia kuiua Tanga

Ummy acha ukasuku utaondoka TAMISEMI kama huyo mgoni alivyoondoka ukurugenzi Tanga jiji
Afisa elimu sekondari ni Dr Ngumbi?
 
Upo sahihi sana mkuu.
Utashangaa kwamba yule Afisa Elimu Taaluma ambaye ameacha kazi kwa madai ya kunyanyaswa na Afisa Elimu sekondari jiji la Tanga,hatendewi haki. Hakuna aliyewajibishwa.
Alichokifanya Ummy nikumuweka rafiki yake ambaye nikada mwenzakeke ajaze nafasi ya huyo mama aliyeacha kazi.
Huyo aliyeenda kua Afisa Elimu Taaluma shule yake ndio ilikua ya mwisho kwenye mitihani ya ndani ya jiji. Sasa huyo atainuaje taaluma. Shule imemshinda kusuka mikakati ataiweza halmashauri?
Ummy anachangia kuiua Tanga

Ummy acha ukasuku utaondoka TAMISEMI kama huyo mgoni alivyoondoka ukurugenzi Tanga jiji
Ananikera akiona kamera anachekacheka kinafki utafkiri amekalia kitu chenye ncha kali.
 
Ananikera akiona kamera anachekacheka kinafki utafkiri amekalia kitu chenye ncha kali.
Jimboni kwake kunamiradi ilishaliwa na huyo mgoni aliyeondoka na mahawara zake.
Mwenye akili ajiulize kwanini Ummy hana nguvu ya kuhoji hata kupitia baraza la madiwani?
 
Kupitia ukurasa wa ofisi ya Rais TAMISEMI,imeripotiwa kwamba waziri wa TAMISEMI amatoa maelekezo kwa katibu tawala mkoa wa Tabora kumshusha cheo mwalimu mkuu wa shule ya Makazi iliyopo wilaya ya Uyui mkoani Tabora.
Ummy amedai kwamba mwalimu huyo ana hana maadili na sio muadilifu.
Ninaviarifu vyombo vinavyotenda haki kwamba Tanga jiji ambapo ni jimboni kwa Ummy pameoza.

Mosi; Yupo mkuu wa shule ambaye alikua anaishi kinyumba na mke wa mwalimu mwenzake. Mkuu huyo wa shule ambaye aliteuliwa na kuwa mkurugenzi alisababisha ndoa ya mwalimu mwenzake kufa. Mwanamke huyo aliyesaliti ndoa yake na mkuu huyo wa shule nae ni mwalimu na alikua akifanya kazi shule moja na mgoni wake. Suala hilo lilikua wazi hata wanafunzi wanajua maana mkuu huyo wa shule ambaye kwasasa ni mkurugenzi alimhamishia mke wa mtumishi mwenzie shuleni hapo. Jambo hili lipo wazi Afisa Elimu Sekondari analijua,katibu wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC)Tanga analijua,aliyekua mkurugenzi analijua lakini hawakumchukulia hatua kwakua wote ni walewale. Je Ummy hili halijui? Kwanini huyo mtumishi mmetoa mapendekezo akapanda cheo tena bila aibu unashusha watu vyeo wakati kwako kumeoza.

Pili;Yupo Afisa Elimu Taaluma amenyanyaswa na Afisa Elimu sekondari mpaka akaamua mwenyewe kuacha kazi na ameikimbia ofisi. Ummy anajua wazi namna mama wa watu alivyonyanyasika akaikimbia ofisi. Mkurugenzi aliyeondolewa ofisini pamoja na Afisa Elimu Sekondari mbona hujawashuhulikia. Wewe husikii harufu ya ngono na malalamiko kwenye halmashauri ya Tanga? Hujasikia malalamiko ya rushwa ya ngono? Hujui watu waliopewa nafasi kwasababu zinazoendana na rushwa? Kipi hukielewi wewe Ummy kuhusu dhuluma wanayofanyiwa watumishi jijini Tanga? Kwanini ukapigiie kelele mbali wakati kwako kumeoza pananuka? Ummy kama umemmudu kumdanganya na kumhadaa Mh. Rais sawa ila Mungu yeye yupo na hadhihakiwi. Acha kuumiza watu wanaofanya mambo madogo wakiwa mbali wakati upo ndani mwako na wahalifu unakula na kunywa nao

Tatu; Wapo makatibu wa TSC wa Tanga na Mkinga. TSC makao makuu walituma watu wao kufanya ufuatiliaji wa ubadhirifu walioufanya makatibu hao. Walikua wanasainiana na kula hela za serikali wenyewe wawili bila kushirikisha watumishi wengine kwenye ofisi zao. Hakuna hatua zilizochukuliwa aidha na wewe Ummy au katibu wa TSC Dodoma. Je kama hawakutaka kuchukua hatua kwanini waliingiza serikali gharama za kutuma watu kufanya ufuatiliaji? Ummy hili nalo hulijui? Au halipo TAMISEMI? Unapiga sana kelele kwenye halmashauri za wenzako ila wenzako Tanga unawachekea ili uonekane mtu poa usiena tabu. Tenda haki au tulia kama mtangulizi wako kwenye wizara hiyo, acha mbwembwe
Usipochukua hatua juu ya hayo machache huna sifa ya kutembea halmashauri nyingine kusimamisha watumishi kazi na kuwashusha vyeo wengine
Kwaleo ninamuachia Ummy kazi ya watu wachache,nitampandia tena jukwaani akifanya uonevu.

Mh. Rais tambua kwamba Ummy anafanya maigizo na ukandamizaji hivyo anaonekana kama anakuhujumu wewe pale ambapo hatendi haki tena kwa makusudi
Acha umbea!
 
Huyo ummy mwalimu ni janga hapo tamisemi..alipoingia tu pale tamisemi kuna wahuni wakampa michongo ya upigaji..kuanzia kwenye ajira,haki za watumishi walio chini ya TAMISEMI na mengine meeeeengi.....

Ila yote tisa mkuu, Waziri mwenye michongo ya upigaji na upendeleo kwenye ajira za umma ni Jenister Mhagama

Huyu mama kaingiza watu karibia 500 kinyemela NSSSF. Katika hao kuna jamaa zake kibao na jamaa za marafiki na maswahiba wake

Mwanzo waliingia kama vijana wa field lakini mipango inaendelea kuwapa mikataba ya ajira za kidumu

Hawa hawakuwahi kufanya interview. Wale waliofanya usaili hata hawakujibiwa na inakaribia mwaka sasa
 
Ila yote tisa mkuu, Waziri mwenye michongo ya upigaji na upendeleo kwenye ajira za umma ni Jenister Mhagama

Huyu mama kaingiza watu karibia 500 kinyemela NSSSF. Katika hao kuna jamaa zake kibao na jamaa za marafiki na maswahiba wake

Mwanzo waliingia kama vijana wa field lakini mipango inaendelea kuwapa mikataba ya ajira za kidumu

Hawa hawakuwahi kufanya interview. Wale waliofanya usaili hata hawakujibiwa na inakaribia mwaka sasa
Huyo mama nae anajifanyisha kupigia viongozi magoti kila akisalimiana nao.
Viongozi wanajua niheshima basi kumbe nae ni mbinumbinu za kufunika kombe.
Kama amefanya hivyo kwawatu wote hao hapakosekani RUSHWA
 
Back
Top Bottom