SankaraBoukaka
JF-Expert Member
- Jul 2, 2019
- 1,213
- 1,918
Tusidanganyane na hii misemo, hatuwezi kupambana na NEO-COLONIALISM...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tusidanganyane na hii misemo, hatuwezi kupambana na NEO-COLONIALISM...
Wewe unataka bei ganiLaki 5 au milioni ni ndogo sana kwangu
Kwanza wanalewa mno mpaka wanaanguka au sioNaunga mkono hoja ila chadema wasihusike kwenye mkopo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],
Wenye vitambulisho vya kitaifa NIDAWote million 60 au tuwape wale ambao mko above 18
Huu ushauri unaweza kuuona ni wa kujinga,labda mpaka uwe na upeo wa mbali.
Nimeona serikali imekopa mabilioni kwa ajili ya kuruzuku sekta ya mafuta na bei zipungue. Kama serikali imekopa maana yake sisi-sisi ndio tutarudisha hiyo hela. Kama sisi ndio tutairudisha,sasa hapo tumekwepa nini? Maana yake serikali inamaanisha hii issue ni unkwepable.
Kama hili limewezekana basi serikali itutatulie na hili janga la kukosa hela ya kununua mahitaji muhimu. Itukopee
Ipige hesabu kila mtu apewe laki tano-tano mpaka milioni. Tutalipa mbele ya safari kama tutakavyolipa mkopo wa ruzuku ya mafuta.
Ni hayo! Jadili bila jazba
😂😂😂😂 tutaomba hifadhi kwa majirani zetuUkiuzwa tunaweza ambiwa tuondoke. Sasa tutaenda wapi
Hiyo hesabu umeipata wapiMatope tu haya quandilion 6 utakopa bank gani hapa duniani
weka figure isijekuwa wewe ndo topeMatope tu haya quandilion 6 utakopa bank gani hapa duniani
mimi sikwepi kodi bali naepuka kodi tax avoidanceAkope deni utabeba wewe, wkat huo mkwepaji wa kodi mzuri sana
Dah! tuipunguze makali USD 43BHapo zidisha mil 1 mara mil 100
Yaani , 1,000,000 × 100,000,000 = 100,000,000,000,000
Itabidi akope trilioni 100
Kwahiyo?!Laki 5 au milioni ni ndogo sana kwangu
Hakuna tozo itakayopungua serikali imesema itabana matumizi pesa itayopatikana ndo itatumika kupunguza bei ya mafuta.Hatujakopa pesa hizo bali tumepunguza tozo kwenye mafuta na ndio maana umeambiwa kuwa serikali haitakusanya karibia 102b kutokana na punguzo hilo
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app