Mh.Samia kopa mabilioni tugawie kila mtu laki tano-tano


 
Hatujakopa pesa hizo bali tumepunguza tozo kwenye mafuta na ndio maana umeambiwa kuwa serikali haitakusanya karibia 102b kutokana na punguzo hilo

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Matope tu haya quandilion 6 utakopa bank gani hapa duniani
 
Akope deni utabeba wewe, wkat huo mkwepaji wa kodi mzuri sana
 
Hatujakopa pesa hizo bali tumepunguza tozo kwenye mafuta na ndio maana umeambiwa kuwa serikali haitakusanya karibia 102b kutokana na punguzo hilo

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Hakuna tozo itakayopungua serikali imesema itabana matumizi pesa itayopatikana ndo itatumika kupunguza bei ya mafuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…