Msc In Performing Arts for CCM
Vick ni mtu wangu wa karibu sana..nitamwambia kesho atoroke bungeni aende internet cafe ajibu hizi tuhuma maana naamini huu ni wivu wa kisiasa na kumchafulia jina lake zuri hasa kupitia kibao chake cha wanawake na maendeleo kinachompa uhakika wa kurudi bungeni 2015...
Atajibu tuu hizi siasa za majitaka mnazomuanzishia.
master's UK ni mwaka mmoja tu mkuuMh ni nouma.............Msc kwa mwaka mmoja.............alafu Master of Science ya kitu gani
Ndugu, hiyo MSc yaweza kuwa katika Uhasibu, mabmo ya fedha nk, si lazima iwe Natural au Applied Sciences zamazoeleweka! Hata pale IFM kuna MSc za aina hiyo.)
I do understand MSC sio lazima iwe ya natural applied science. However; CV yake iko clear MSc yake ni ya UK (South hampton). Kama ukiangalia catalog ya Southampton requirements ziko wazi.
Kwa UK ni sawa, Masters ni miezi 9 jomba....
Kazaliwa September 1978 akaanza primary mwaka 1983. Mnaojua mahesabu atakuwa kaanza la kwanza na miaka mingapi? Tena enzi za mwalimu za kushika sikio la kushoto kwa mkono wa kulia kupitia juu ya kichwa?
mkuuu kwa hizi fani za kisanii inawezekana tu!
mtu mwenye advanced Dip ya Acc/Finance etc anaweza kufanya master!
mashaka ni hiyo miezi 9 kamili! ikumbukwe kuna vile vijilikizo
ambavyo lazima vifidiwe! labda amefaanya kwenye centre ya mitihani..teeeeeeeeeh!
Hata hizo publications ni za kimagumashi,yeye kazi yake ni investigation na impact tu? Kama kafanya hizo publications why she is not technical in her publications? Uroda ndo ulomfikisha pale alipo,utashangaa m2 kama huyu muda si mrefu atakuwa docta.Hii ndo bongo bana.Hata ulaya magumashi tupu,watamkubaliaje m2 mwenye cert kusoma master degre? Halafu ni mwongo kwa umri,itawezekanaje mtoto mwenye umri wa miaka 4 na miezi 3 Aanze kusoma shule ya msingi enzi hzo! Chekechea alisoma lini?
vick kamata amezaa mtoto na askofu mmoja pale tec na mwingine kazaa na aliyemupa vitu maalu bungeni.msc in performing arts for ccm