Mh. Vicky Kamata CV ...[ Mungu tuokoe]

Mh. Vicky Kamata CV ...[ Mungu tuokoe]

Status
Not open for further replies.
Ni kweli Masters UK nyingi ni 1 year- lakini unatakiwa uwe na first degree na credits zinazohitajika. However, sijawahi kusikia mtu mwenye certificate anakubaliwa kuchukua Masters bila first degree in accredited institutions UK or US. Tena certificate ya customer care kwenda kwenye Masters of Science? Angalau basi angekuwa na back ground ya Science kidogo. Inawezekana aliyeandika hiyo CV amekosea kitu, au hicho chuo sio accredited; or else kuna ulakini kwenye hii CV.


kwakweli masters bila degree haijawai tokea, tena diploma ya arts kutuletea MSc ndo noma zaid labda wameweka tu kumfunika kdgo aheshimike pale sebulen kwa Bi kiroboto
 
Napita tu hizi CV za waheshimiwa wetu vurugu tupu; hivi vyeti vya wabunge havihakikiwi kuhakikisha kama ni vyuo walivyosomea ni vya ni vya kweli? Bila kuleta unazi wa kisiasa wabunge wengi tu wa vyama vyote wana vyeti vya kisanii

Chama
Gongo la mboto DSM
 
naomba mtu anikumbushe, hivi mh lema moja ya vilivyomtoa ubunge si walisema alidanganya elimu yake?
sasa huyu wanasubiri nini na yeye kumtoa kwenye huo ubunge wa kupewa..?
 
Hiyo public relation na customer care course ya ESAMI ni short course ya week tatu na pia kuna advance public relation and customer care course ya week mbili. Short courses si academic qualification ila inasaidia kubuild capacity katika utendaji kazi. Kwa maana nyingine hata CV kuandika ni tatizo kwa huyu mdada.
Kwani hiyo Public relation ya ESAMI sio degree??
 
Kazaliwa September 1978 akaanza primary mwaka 1983. Mnaojua mahesabu atakuwa kaanza la kwanza na miaka mingapi? Tena enzi za mwalimu za kushika sikio la kushoto kwa mkono wa kulia kupitia juu ya kichwa?

Toka kuzaliwa Septemba 1978 hadi kuanza shule January 1983 ni miaka 4 na miezi mitatu, ndio akaanza darasa la kwanza!
Mwaka wa kuzaliwa utakuwa umesogezwa mbele.
Maybe September 1975, awe ameanza shule akiwa na miaka 7 na miezi mitatu...
 
at least ningejua ana advanced diploma ya nn,pengne ningeweza sema anaweza soma masters na yenyew mpk awe atleast na upper second class au amefanya kazi kwa miaka icyopunguwa 2 au awe amesoma postgraduate diploma
 
huyu alienda kuzuga uk ili aingizwe BOT. UK vyeti unaweza ukapewa na wanaigeria mitaani. wakubwa walichezesha wakafadhili akae UK kama jamvi lao la kufikia. then aonekane alikuwa anasoma wamwingize kilaini BOT, kwakuwa BOT lazima uwe na masters kuajiriwa kama graduate.
 
mkuu ni kuwa alizaliwa mwaka 1974 na sio 1978 na kaka yake deo alizaliwa 1972.
Mtu wa aina hii siku zote atabakia ni mateka wa CCM kwasababu akijaribu kuasi tu wanamwaga siri zake nje! Huyu ni kati ya wengi waliojaa bungeni na serikalini!! Ndiyo maana nchi yetu imekwamag
 
huyu alienda kuzuga uk ili aingizwe BOT. UK vyeti unaweza ukapewa na wanaigeria mitaani. wakubwa walichezesha wakafadhili akae UK kama jamvi lao la kufikia. then aonekane alikuwa anasoma wamwingize kilaini BOT, kwakuwa BOT lazima uwe na masters kuajiriwa kama graduate.
kaanza lini BOT?
Kapelekwa lini UK?
 
Nakubaliana na wewe kwa umuhimu wa elimu, ila pia ndani ya elimu tunayopata ina tatizo la kimsingi. Kwa kweli bila kujuwa huwa inatunyang'anya ule uwezo wetu wa asili wa kupigana na mazigira yetu ili kupata maendeleo ya kweli binafsi na ya Taifa. Mfano kwa kijana aliyemaliza degree ya kwanza ukiwa shs 50,000 kufungua genge la nyanya atakuona wewe wakuja kwelikweli. Yeye anataka apate white colar job pale serikali akae andike vocha ya shilingi 20,000/= hapo acheze kidogo aoneze zero iwe 200,000/= maisha yaende. Lakini hizi enterprize za magenge ndio zimewaletea watu wangi wenye elimu ya darasa la saba pale Kariakoo. Wana magorofa na biashara zinazofanya kazi vizuri tu. Mfano, The Tropical Hotel na Tropica wale wanuza vifaa vaya Electronics pale kariakoo. Hapana ubaya wa "to dream big" ila you dream big and at the same time be ralistic. Elimu ni muhimu lakini muhimu zaidi ni kile kinachozaliwa na ile elimu uliopata

Nimekuelewa na nakubaliana na wewe, usemacho kina ukweli hasa unapojaribu kulinganisha elimu na mafanikio ya kimaisha, hapo ni sawa kabisa, kama huyu V. Kamata angekuwa na maisha yake tu akawa successful na elimu ndogo aliyonayo unachosema ni sawa kabisa, tena angekua object lesson kwa wengine kujifunza kutoka kwake (mbinu za mafanikio ya kimaisha katika changamoto za kielimu).
Lakini tunapoangalia umuhimu wa elimu kwa mtu ambaye ni mwakilishi wa wananchi katika chombo cha kutunga sheria na kuisimamia serikali, hilo ni swala lingine kabisa. Moja. tusingetegemea ubabaishaji na uchakachuaji wa wasifu wake, mbili ni muhimu sana akawa na elimu mkuu na uwezo binafsi wa kupambanua mambo, unajua tumerahisisha sana wajibu wa mmbunge.

Shida ambazo tunazo leo za kiuchumi na vitanzi vya mikataba mibovu ya miaka 99, ni kielelezo tosha cha umaamuma wa viongozi wetu na waakilishi wetu bungeni ambao tunawategemea kuichunguza miswada na mikataba (mawaziri) kabla ya kuipitisha. Aidha pia it's noteworthy kutaja kwamba kuna ulimbukeni wa siasa wa kukubali tu kila jambo na kulipitisha (kwa sababu linatoka upande fulani) hata kwa wale ambao kwa uelewa wao wanaona jambo hili ni giza tupu mbeleni......
 
Duh kweli ukistaajabu ya Musa utaona ya firauni,Prof mwandosya,Dk Bhana,Prof Mkandala,etc wao cv zao ni toka ''vidudu'' hadi uprof na udk!
From Certificate To Masters........!!!! Member of Parliament CV From Certificate To Masters [TABLE="width: 100%"] [TR] [TH="colspan: 3, align: left"]GENERAL [/TH] [/TR] [TR] [TD]Salutation [/TD] [TD]Honourable [/TD] [TD="width: 42%"]Member picture
1591.jpg
[/TD] [/TR] [TR] [TD]First Name: [/TD] [TD]Vick [/TD] [/TR] [TR] [TD]Middle Name: [/TD] [TD]Paschal [/TD] [/TR] [TR] [TD]Last Name: [/TD] [TD]Kamata [/TD] [/TR] [TR] [TD="width: 20%"]Member Type: [/TD] [TD="width: 38%"]Special Seat [/TD] [/TR] [TR] [TD]Constituent: [/TD] [TD]No Constituency [/TD] [/TR] [TR] [TD]Political Party: [/TD] [TD]CCM [/TD] [/TR] [TR] [TD]Office Location: [/TD] [TD]Box 2939, Dar Es Salaam/ box 30, Geita [/TD] [/TR] [TR] [TD]Office Phone: [/TD] [TD]+255 783 277733 [/TD] [/TR] [TR] [TD]Ext.: [/TD] [TD][/TD] [/TR] [TR] [TD]Office Fax: [/TD] [TD][/TD] [/TR] [TR] [TD]Office E-mail: [/TD] [TD]vkamata@parliament.go.tz [/TD] [/TR] [TR] [TD]Member Status: [/TD] [TD]Current Member [/TD] [/TR] [TR] [TD]Date of Birth [/TD] [TD]18 September 1978 [/TD] [/TR] [/TABLE] [TABLE="width: 100%"] [TR] [TH="colspan: 5, align: left"]EDUCATION [/TH] [/TR] [TR] [TH="width: 35%"]School Name/Location [/TH] [TH="width: 27%"]Course/Degree/Award [/TH] [TH="width: 15%"]Start Date [/TH] [TH="width: 13%"]End Date [/TH] [TH="width: 10%"]Level [/TH] [/TR] [TR] [TD]Kichangani Primary School, Morogoro [/TD] [TD]Primary Education [/TD] [TD]1983 [/TD] [TD]1989 [/TD] [TD]PRIMARY [/TD] [/TR] [TR] [TD]Morogoro Secondary School, Morogoro [/TD] [TD]O-Level Education [/TD] [TD]1990 [/TD] [TD]1993 [/TD] [TD]SECONDARY [/TD] [/TR] [TR] [TD]Mandaka Teachers' Training College [/TD] [TD]Teaching Course [/TD] [TD]1994 [/TD] [TD]1996 [/TD] [TD]CERTIFICATE [/TD] [/TR] [TR] [TD]Nyakohoja Computer Centre, Mwanza [/TD] [TD]Diploma [/TD] [TD]1997 [/TD] [TD]1999 [/TD] [TD]DIPLOMA [/TD] [/TR] [TR] [TD]St. Augustine University [/TD] [TD]Certificate in Journalism [/TD] [TD]2001 [/TD] [TD]2002 [/TD] [TD]CERTIFICATE [/TD] [/TR] [TR] [TD]Eastern & Southern African Management Institute (ESAMI) [/TD] [TD]Public Relation& Customer Care Course [/TD] [TD]2007 [/TD] [TD]2007 [/TD] [TD]CERTIFICATE [/TD] [/TR] [TR] [TD]Southampton Solent University, UK [/TD] [TD]MSc. [/TD] [TD]2008 [/TD] [TD]2008 [/TD] [TD]MASTERS DEGREE [/TD] [/TR] [/TABLE] [TABLE="width: 100%"] [TR] [TH="colspan: 4, align: left"]EMPLOYMENT HISTORY [/TH] [/TR] [TR] [TH]Company Name [/TH] [TH]Position [/TH] [TH]From Date [/TH] [TH]To Date [/TH] [/TR] [TR] [TD]The Parliament of Tanzania [/TD] [TD]Member - Special Seat [/TD] [TD]2010 [/TD] [TD]2015 [/TD] [/TR] [TR] [TD]Bank of Tanzania (BOT) [/TD] [TD]Public Relation Officer I [/TD] [TD]2009 [/TD] [TD]2010 [/TD] [/TR] [TR] [TD]Bank of Tanzania (BOT) [/TD] [TD]Public Relation Officer III [/TD] [TD]2006 [/TD] [TD]2009 [/TD] [/TR] [/TABLE] [TABLE="width: 100%"] [TR] [TH="colspan: 4, align: left"]POLITICAL EXPERIENCE [/TH] [/TR] [TR] [TH="class: text_menu, width: 47%"]Ministry/Political Party/Location [/TH] [TH="class: text_menu, width: 31%"]Position [/TH] [TH="class: text_menu, width: 12%"]From [/TH] [TH="class: text_menu, width: 10%"]To [/TH] [/TR] [TR] [TD]Chama Cha Mapinduzi, CCM [/TD] [TD]Member - Southampton USolet University (UK) Branch [/TD] [TD]2008 [/TD] [TD]2009 [/TD] [/TR] [TR] [TD]Chama Cha Mapinduzi, CCM [/TD] [TD]Secretary - SAUT Branch [/TD] [TD]2002 [/TD] [TD][/TD] [/TR] [TR] [TD]Chama Cha Mapinduzi, CCM [/TD] [TD]Member - Mandaka Branch [/TD] [TD]1996 [/TD] [TD][/TD] [/TR] [TR] [TD]Chama Cha Mapinduzi, CCM [/TD] [TD]Member [/TD] [TD]1995 [/TD] [TD]Todate [/TD] [/TR] [/TABLE] [TABLE="width: 100%"] [TR] [TH="colspan: 2, align: left"]PUBLICATIONS [/TH] [/TR] [TR] [TH="class: text_menu"]Description [/TH] [TH="class: text_menu"]Date [/TH] [/TR] [TR] [TD]V. Kamata: Investigation of Differentiation in University's MBA Programme - A Case Study of Southampton Solet University, UK. [/TD] [TD]2009 [/TD] [/TR] [TR] [TD]V. Kamata: The Impact of Microfinance Scheme in Boasting Women Income - A Case Study of Pride Tanzania, SAUT, Mwanza [/TD] [TD]2005 [/TD] [/TR] [TR] [TD]V. Kamata: Investigation of Differentiation in University's MBA Programme - A Case Study of Southampton Solet University, UK. [/TD] [TD]2009 [/TD] [/TR] [TR] [TD]V. Kamata: The Impact of Microfinance Scheme in Boasting Women Income - A Case Study of Pride Tanzania, SAUT, Mwanza [/TD] [TD]2005 [/TD] [/TR] [TR] [TD]V. Kamata: Investigation of Differentiation in University's MBA Programme - A Case Study of Southampton Solet University, UK. [/TD] [TD]2009 [/TD] [/TR] [TR] [TD]V. Kamata: The Impact of Microfinance Scheme in Boasting Women Income - A Case Study of Pride Tanzania, SAUT, Mwanza [/TD] [TD]2005 [/TD] [/TR] [TR] [TD]V. Kamata: Investigation of Differentiation in University's MBA Programme - A Case Study of Southampton Solet University, UK. [/TD] [TD]2009 [/TD] [/TR] [TR] [TD]V. Kamata: The Impact of Microfinance Scheme in Boasting Women Income - A Case Study of Pride Tanzania, SAUT, Mwanza [/TD] [TD]2005 [/TD] [/TR] [/TABLE]
 
From Certificate To Masters........!!!!


Member of Parliament CV From Certificate To Masters

[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 3, align: left"]GENERAL[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Salutation[/TD]
[TD]Honourable[/TD]
[TD="width: 42%"]Member picture
1591.jpg
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]First Name: [/TD]
[TD]Vick[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Middle Name:[/TD]
[TD]Paschal[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Last Name:[/TD]
[TD]Kamata[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 20%"]Member Type:[/TD]
[TD="width: 38%"]Special Seat[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Constituent:[/TD]
[TD]No Constituency[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Political Party:[/TD]
[TD]CCM[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Location:[/TD]
[TD]Box 2939, Dar Es Salaam/ box 30, Geita[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Phone: [/TD]
[TD]+255 783 277733[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ext.: [/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Fax: [/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office E-mail: [/TD]
[TD]vkamata@parliament.go.tz[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Member Status: [/TD]
[TD]Current Member[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Date of Birth [/TD]
[TD]18 September 1978[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 5, align: left"]EDUCATION[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="width: 35%"]School Name/Location [/TH]
[TH="width: 27%"]Course/Degree/Award [/TH]
[TH="width: 15%"]Start Date[/TH]
[TH="width: 13%"]End Date[/TH]
[TH="width: 10%"]Level[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Kichangani Primary School, Morogoro[/TD]
[TD]Primary Education[/TD]
[TD]1983[/TD]
[TD]1989[/TD]
[TD]PRIMARY[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Morogoro Secondary School, Morogoro[/TD]
[TD]O-Level Education[/TD]
[TD]1990[/TD]
[TD]1993[/TD]
[TD]SECONDARY[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mandaka Teachers' Training College[/TD]
[TD]Teaching Course[/TD]
[TD]1994[/TD]
[TD]1996[/TD]
[TD]CERTIFICATE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Nyakohoja Computer Centre, Mwanza[/TD]
[TD]Diploma[/TD]
[TD]1997[/TD]
[TD]1999[/TD]
[TD]DIPLOMA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]St. Augustine University[/TD]
[TD]Certificate in Journalism[/TD]
[TD]2001[/TD]
[TD]2002[/TD]
[TD]CERTIFICATE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Eastern & Southern African Management Institute (ESAMI)[/TD]
[TD]Public Relation& Customer Care Course[/TD]
[TD]2007[/TD]
[TD]2007[/TD]
[TD]CERTIFICATE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Southampton Solent University, UK[/TD]
[TD]MSc.[/TD]
[TD]2008[/TD]
[TD]2008[/TD]
[TD]MASTERS DEGREE[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 4, align: left"]EMPLOYMENT HISTORY [/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]Company Name [/TH]
[TH]Position [/TH]
[TH]From Date[/TH]
[TH]To Date[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]The Parliament of Tanzania[/TD]
[TD]Member - Special Seat[/TD]
[TD]2010[/TD]
[TD]2015[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Bank of Tanzania (BOT)[/TD]
[TD]Public Relation Officer I[/TD]
[TD]2009[/TD]
[TD]2010[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Bank of Tanzania (BOT)[/TD]
[TD]Public Relation Officer III[/TD]
[TD]2006[/TD]
[TD]2009[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 4, align: left"]POLITICAL EXPERIENCE [/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="class: text_menu, width: 47%"]Ministry/Political Party/Location[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 31%"]Position[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 12%"]From[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 10%"]To[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Chama Cha Mapinduzi, CCM[/TD]
[TD]Member - Southampton USolet University (UK) Branch[/TD]
[TD]2008[/TD]
[TD]2009[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Chama Cha Mapinduzi, CCM[/TD]
[TD]Secretary - SAUT Branch[/TD]
[TD]2002[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Chama Cha Mapinduzi, CCM[/TD]
[TD]Member - Mandaka Branch[/TD]
[TD]1996[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Chama Cha Mapinduzi, CCM[/TD]
[TD]Member[/TD]
[TD]1995[/TD]
[TD]Todate[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 2, align: left"]PUBLICATIONS[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="class: text_menu"]Description[/TH]
[TH="class: text_menu"]Date[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]V. Kamata: Investigation of Differentiation in University's MBA Programme - A Case Study of Southampton Solet University, UK.[/TD]
[TD]2009[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]V. Kamata: The Impact of Microfinance Scheme in Boasting Women Income - A Case Study of Pride Tanzania, SAUT, Mwanza[/TD]
[TD]2005[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]V. Kamata: Investigation of Differentiation in University's MBA Programme - A Case Study of Southampton Solet University, UK.[/TD]
[TD]2009[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]V. Kamata: The Impact of Microfinance Scheme in Boasting Women Income - A Case Study of Pride Tanzania, SAUT, Mwanza[/TD]
[TD]2005[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]V. Kamata: Investigation of Differentiation in University's MBA Programme - A Case Study of Southampton Solet University, UK.[/TD]
[TD]2009[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]V. Kamata: The Impact of Microfinance Scheme in Boasting Women Income - A Case Study of Pride Tanzania, SAUT, Mwanza[/TD]
[TD]2005[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]V. Kamata: Investigation of Differentiation in University's MBA Programme - A Case Study of Southampton Solet University, UK.[/TD]
[TD]2009[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]V. Kamata: The Impact of Microfinance Scheme in Boasting Women Income - A Case Study of Pride Tanzania, SAUT, Mwanza[/TD]
[TD]2005[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Watu wanabandika vyeti tu alimradi aonekane kasoma lakini nyanga hashuki, ila kutoka kwenye Certificate mpaka kuja kwenye Masters hapo sijaelewa ilikuwaje maana nnavyojua ili kufika kwenye masters kama huna degree unahitaji kusoma advanced diploma then postgraduate diploma then masters. lakini poa tu mradi mkono0 unaingia kinywani na ukibebwa shikilia.
 
Ni kweli Masters UK nyingi ni 1 year- lakini unatakiwa uwe na first degree na credits zinazohitajika. However, sijawahi kusikia mtu mwenye certificate anakubaliwa kuchukua Masters bila first degree in accredited institutions UK or US. Tena certificate ya customer care kwenda kwenye Masters of Science? Angalau basi angekuwa na back ground ya Science kidogo. Inawezekana aliyeandika hiyo CV amekosea kitu, au hicho chuo sio accredited; or else kuna ulakini kwenye hii CV.


Baadhi ya vyuo UK wanalokea watu wa ordinary diploma kwa MSc. Binafsi nawafahamu watu watatu zaidiwenye Masters za staili hii.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom