TANZIA Mhandisi Charles Salus Ogare wa DART afariki dunia

TANZIA Mhandisi Charles Salus Ogare wa DART afariki dunia

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Mtendaji Mkuu Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka - DART Mhandisi Ronald Lwakatare anasikitika kutangaza kifo cha aliyekuwa Mkurugenzi wa Idara ya ya Maendeleo ya Usafirishaji Mhandisi Charles Salus Ogare kilichotokea saa 11: 00 asubuhi Januari 25, 2021 katika Hospitali ya Mloganzila jijini Dar es Salaam.

Msiba upo nyumbani kwa marehemu Tabata Kinyerezi jirani na Songas jijini Dar es Salaam. Taarifa zaidi za msiba huu ikiwemo taratibu za mazishi zitatolewa baadaye.

Marehemu Ogare alizaliwa Machi 30, 1965, Mkoani Mara.
Mtendaji Mkuu anawaomba watumishi wote kushirikiana katika kipindi hiki kigumu cha msiba.

DD9A5122-0D2A-4994-9C31-50F0534BD8E2.jpeg
 
Mgwassa nae kafariki. Halafu na huyu wa sasa si ni kampuni moja ?Waliambukizana ?R.I.P
 
Acha wapukutike ambao walipewa neno nao hawakulisema🤫 sisi wanyonge Mungu tuone 💯🙏🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom