kidadari
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 8,647
- 9,604
Imehamia kinyanamboKumbe UDART Kuna watu waliokwenda shule.
Mrani unaendeshwa Kama vile viongozi Ni wapiga debe stendi ya Mafinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imehamia kinyanamboKumbe UDART Kuna watu waliokwenda shule.
Mrani unaendeshwa Kama vile viongozi Ni wapiga debe stendi ya Mafinga
Jana bro wetu mkubwa kakatika hapo hajaumwa sana wala nini, pumzi siku 2 mara bye bye.Too many of Tanzia news aisee,am confused😒😒
R.I.P
Jamani poleni sana mkuu, nazidi kuchanganyikiwa tuchukueni tahadhari binafsi😒😒Jana bro wetu mkubwa kakatika hapo hajaumwa sana wala nini, pumzi siku 2 mara bye bye.
Kwa kweli.Mungu atusaidie tu.Ni mwendo wa TANZIA tu, yaani. Ila kushindwa kupumua ni mateso makubwa
Muhimu sana, kwa sasa vifo kila mahali alafu mtu anasema hakuna Corona.Jamani poleni sana mkuu, nazidi kuchanganyikiwa tuchukueni tahadhari binafsi😒😒
Aisee tungeambizana ukweli tu kama ipo! Ingeleta msisitizo kwenye tahadhari maana na sisi tumeridhika hakuna.🤔Muhimu sana, kwa sasa vifo kila mahali alafu mtu anasema hakuna Corona.
Marehemu alikuwa msomi mzuri tu. Aliwahi kuwa mhandisi wa manispaa ya Ilala kipindi kile jengo la ghorofa 16 lilipoporomoka mtaa wa Indira Gandhi na kuua makumi ya watu mwaka 2013 ambapo yeye na wenzie kadhaa walisimamishwa kazi baada ya kuonekana kwamba walitoa kibali cha ujenzi wa ghorofa zaidi ya idadi iliyotakiwa kujengwa kwenye kiwanja hicho. Baadae akaenda Mamlaka ya Bandari (TPA) kama mkurugenzi wa huduma za kiuhandisi kabla ya hivi karibuni kuhamia huko DART alikofia. Apumzile kwa amani.Kumbe UDART Kuna watu waliokwenda shule.
Mrani unaendeshwa Kama vile viongozi Ni wapiga debe stendi ya Mafinga
Siasa za CCM ndizo zinazofanya kazi.Kumbe UDART Kuna watu waliokwenda shule.
Mrani unaendeshwa Kama vile viongozi Ni wapiga debe stendi ya Mafinga
mama D unamkumbuka huyu marehemu?Rest well Charles Ogare
Pole kwa familia na wote walioguswa na msiba
Wakati Dr. Kikwete ameingia madarakani na Mzee Lowassa akiwa Waziri mkuu, kuna ghorofa iliwahi kuanguka inaitwa Twiga Inn Hotel kula maeneo karibia na gereza la Keko.Nikumbushe Infantry Soldier 🤔
Ooh nimekumbuka ule moto wa LowasaWakati Dr. Kikwete ameingia madarakani na Mzee Lowassa akiwa Waziri mkuu, kuna ghorofa iliwahi kuanguka inaitwa Twiga Inn Hotel kula maeneo karibia na gereza la Keko.
Huyu marehemu ndio alikuwa engineer wa Wilaya ya Temeke na Mh. Lowassa akaamuru asimamishwe kazi na awekwe ndani mara moja.
Mbona ni viongozi tu halafu kwa ugonjwa unaofanana.