Fabolous
JF-Expert Member
- Sep 23, 2010
- 2,993
- 3,747
Mgwassa nae kafariki. Halafu na huyu wa sasa si ni kampuni moja ?Waliambukizana ?R.I.P
Mgwasa apumzike kwa amani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mgwassa nae kafariki. Halafu na huyu wa sasa si ni kampuni moja ?Waliambukizana ?R.I.P
Acha kutafuta kiki basi,eti mkurugenzi wa Dart,kwani ukisema mkurugenzi wa kitengo husika unaona utakosa views kwenye uzi wako?
Acha ushabiki wewe!Kuna umuhimu wa kuanzisha Jukwaa la TANZIA.
So sad,Mgwasa kafariki lini?Mgwassa nae kafariki. Halafu na huyu wa sasa si ni kampuni moja ?Waliambukizana ?R.I.P
Tupo karibia 58m ulitegemea nn mbona Ufipa.mmeakaia kuzusha-zusha tuDah!
Mbona vifo mfurulizo jamani[emoji26]
Mbona ni viongozi tu halafu kwa ugonjwa unaofanana.kabla ya covid 19 watu hawakuwa wakifa?
Kumbe kuhabarisha kifo ni kiki.Acha kutafuta kiki basi,eti mkurugenzi wa Dart,kwani ukisema mkurugenzi wa kitengo husika unaona utakosa views kwenye uzi wako?
kwani viongozi hawaruhusiwi kufa? usipende kuhoji ujinga, kufa aina ya kifo na ugonjwa utakaosababisha kifo bado ni siri ya aliyetuumba.Mbona ni viongozi tu halafu kwa ugonjwa unaofanana.
Kwani weeweusipojua itakusaidia nini ?itakusaidia nini?
hainisaidii chochote ndio maana sitaki kujuaKwani weeweusipojua itakusaidia nini ?
Dah!
Mbona vifo mfurulizo jamani[emoji26]RIP inatisha sana
Useless.kwani viongozi hawaruhusiwi kufa? usipende kuhoji ujinga, kufa aina ya kifo na ugonjwa utakaosababisha kifo bado ni siri ya aliyetuumba.
Ni mwendo wa TANZIA tu, yaani. Ila kushindwa kupumua ni mateso makubwa
Sasa mimi nikjjua inanisaidia kupata database ya ugonjwa wa Corona na status yake kwa sasa hapa nchinii.hainisaidii chochote ndio maana sitaki kujua
tatizo lenu hata kufikiri mnataka lissu afiliri kwa ajili yenuUseless.
ili upate nini na je watu wote wanakufa ni corona?Sasa mimi nikjjua inanisaidia kupata database ya ugonjwa wa Corona na status yake kwa sasa hapa nchinii.