Mhandisi: Uwanja wa ndege Mwanza umekosewa, vigezo havikuzingatiwa

Mhandisi: Uwanja wa ndege Mwanza umekosewa, vigezo havikuzingatiwa

Huu uwanja una gundu gani? Mbona kama ngonjera zimekuwa nyingi sana?
Pascal Mayalla hebu tusaidie kuelewa nini kinausibu huu uwanja. Hata Magufuli na macomfidence yake aliushindwa?

Kuna nini kwenye ujenzi wa Mwanza Airport?
Hela ya kuupa hadhi ya kimataifa uwanja wa Mwanza ndiyo ile dhalim akaenda kujenga uwanja kijijini kwake Chato
 
Tutasikia mengi,Ila bi mkubwa hana baya na mtu🤣🤣kitaeleweka tu
Hili la kiwanja cha ndege Mwanza linapunguza point kwa Rais kwa kanda ya ziwa.Hakuna international airport kabisa. Wananchi wanasikitika wakifika uwanjani hapo. kero
 
Interesting
Indeed, this is very interesting!!! Nani aliye design na kuanza ujenzi wa uwanja huo mpaka stage iliyofikia? Hakuwa na qualifications au hakuwa na washauri wanaolewa mahitaji ya viwanja vya kisasa?
Definetely waliosimamia na kujenga kitu kisicho na viwango, wengine au wote au baadhi wako serikalini. Wamechukuliwa hatua gani? Hii project ni ya awamu ya tano?
Je haikufanyika kwa forced account, ambacho ilijaa wajuaji wasio na weledi wowote wa ujenzi zaidi ya kupiga tu?
 
Tunaye Mahenge na wenzake watafutwe washtakiwe akiwemo mshauri na msimamizi wa mradi huo. Huo ni uchafu.
 
Back
Top Bottom