Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo ni mawazo yako yasiyo na tija.CCM kwa kujikosha...hiki kwa kweli ni chama cha wanafiki, kama wewe si mnafiki unafanya nini huko?
Walirudi nyumbani. Ndege wafananao huruka pamoja. Ninachoweza kukuambia ni kwamba Slaa katu hakushiriki katika mapambano ya kudai demokrasia ya vyama vingi. Kama uko karibu naye muulize kitu gani kilimkimbiza kutoka CCM na kupewa hifadhi ya muda Chadema.Hayo ni mawazo yako yasiyo na tija.
Nikuulize tu, kina Slaa, Nasari na Kitila waliolelewa na upinzani wako wapi?
Kwa kukusaidia tu ni kwamba Mhusika alikuwa hatakiwi hapo na ana Bifu na Boss wa Chama wa sasa.
Gazeti la Uhuru lina Mkurugenzi Mtendaji wake Ernest Sungura.
Kwa wale wasio mfahamu huyu mheshimiwa, alikuwa akiongoza vile vile TMF, Tanzania Media Fund.
TMF ilikuwa ikitoa fedha za wafadhili katika vyombo vya habari kuendeleza uweledi wa The Free Press
TMF chini ya Sungura ilikuwa kichaka kilichokomaa cha rushwa.
Hali ya rushwa hapo ilikuwa mbaya..mbaya...mbaya.
Programme officers hapo walikuwa wakidai cha mbele kila wakitoa subventions za fedha toka kwa wafadhili.
Hali ikawa mbaya na malalamiko kutoka kwa walengwa yalikuwa makubwa hadi ikafikia wafadhili kusitisha misaada ya miradi.
Hivyo niliposikia Sungura anakuwa Mkurugenzi Mtendaji wa gazetinla Uhuru, nikajua wamelamba gharasha.
Huu ndio uzuri wa jf
Gazeti la Uhuru lina Mkurugenzi Mtendaji wake Ernest Sungura.
Kwa wale wasio mfahamu huyu mheshimiwa, alikuwa akiongoza vile vile TMF, Tanzania Media Fund.
TMF ilikuwa ikitoa fedha za wafadhili katika vyombo vya habari kuendeleza uweledi wa The Free Press
TMF chini ya Sungura ilikuwa kichaka kilichokomaa cha rushwa.
Hali ya rushwa hapo ilikuwa mbaya..mbaya...mbaya.
Programme officers hapo walikuwa wakidai cha mbele kila wakitoa subventions za fedha toka kwa wafadhili.
Hali ikawa mbaya na malalamiko kutoka kwa walengwa yalikuwa makubwa hadi ikafikia wafadhili kusitisha misaada ya miradi.
Hivyo niliposikia Sungura anakuwa Mkurugenzi Mtendaji wa gazetinla Uhuru, nikajua wamelamba gharasha.
Slaa hakuwahi kulelewa na upinzani , alikimbia ccm kusaka madaraka upinzani , hata Kitila Mkumbo alikuwa upinzani kimkakati , chadema walipomstukia akaamua kujiunga na Zitto Kabwe kabla hajarudi ccmHayo ni mawazo yako yasiyo na tija.
Nikuulize tu, kina Slaa, Nasari na Kitila waliolelewa na upinzani wako wapi?
Alikuwa SKM Gang?Kwa kukusaidia tu ni kwamba Mhusika alikuwa hatakiwi hapo na ana Bifu na Boss wa Chama wa sasa.
Hivyo basi kilichofanyika hapo ni Kumchezeshea mchezo kupitia huyo Mhariri Mtendaji ili sababu ya Kumuondoa ipatikane na Mbinu imefanikiwa tena mno tu.
Haya Madai yako juu yake ya Rushwa na Kifisadi yanajulikana na ndiyo maana unaona hata baada ya Kusimamishwa tu Kazi kuna Tume ya Kumchunguza imeshaundwa na hapo ndiyo anaenda Kumalizwa vizuri.
Huyo Mhariri Mtendaji Rashid Zahoro kwakuwa ameshamaliza Jukumu lake la Kimkakati kimya kimya kuna mahala atawekwa na kuendelea tu Kula Maisha wenyewe mnaita Kula Bata.
Na huyu huyu Ernest Sungura kwa Faida yako na ya wengine ndiye Shareholder mkubwa wa Chuo cha Kiujanja Ujanja cha Uandishi wa Habari cha TSJ akishirikiana na Wajanja Wajanja wenzake kadhaa.
CCM wamenukishana eee
That was a naked grave mistakeMama jitokeze tusikie kauli yako.Mitano tena yes au mitano tena no.
CCM jamani haitegemei sanduku la kura! Kwani Wilson Mahera ametoka pale? Kwani Simon Sirro na genge lake hawapo? Maded utopolo je? Mama hatashinda kura lakini atashinda u Rais!CCM wasipojipanga,na upinzani wakaacha utoto,naona anguko la chama changu kama atasimama Samia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Probably.Alikuwa SKM Gang?
Labda wa kupewa na policeKwa hali mpaka ilipofikia leo jibu ni kuwa mama urais anauhitaji kwa nguvu zoote
Dont think it was a mistake.That was a naked grave mistake
Hahaha, ila watamminya korodani kwanza ili asirudie siku nyingineSungura mjanja. Alitaka kujua mama anautaka urais 2025-2030 au lah!
Jibu keshapata. Sasa ataomba msamaha maisha yaendelee!
Ukweli ameutoa wapi?Mhariri Mtendaji wa gazeti la Uhuru,Ernest Sungura,kuandika ukweli na kuwajulisha watanzania mapema LIMEKUWA tena ni kosa au?
Mtajua Uchaguzi ukikaribia. Kwani Rais lazima atoke CCM? Si kuna vyama vingine mbona hakuna anayesema atagombeaMama jitokeze tusikie kauli yako.Mitano tena yes au mitano tena no.
Mwambieni mungu hayo maneno . Mitano Tena iliishia wapi?Ukweli ameutoa wapi?
Sisi Wananchi tulishakubaliana Mama tunaenda nae mpaka aseme basi inatosha[emoji119][emoji119][emoji119]
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Mwambie wewe inatosha.Mwambieni mungu hayo maneno . Mitano Tena iliishia wapi?