Mhariri Mtendaji wa gazeti la Uhuru, Ernest Sungura CCM mlifanya usaili?

Mhariri Mtendaji wa gazeti la Uhuru, Ernest Sungura CCM mlifanya usaili?

CCM kwa kujikosha...hiki kwa kweli ni chama cha wanafiki, kama wewe si mnafiki unafanya nini huko?
 
Hayo ni mawazo yako yasiyo na tija.
Nikuulize tu, kina Slaa, Nasari na Kitila waliolelewa na upinzani wako wapi?
Walirudi nyumbani. Ndege wafananao huruka pamoja. Ninachoweza kukuambia ni kwamba Slaa katu hakushiriki katika mapambano ya kudai demokrasia ya vyama vingi. Kama uko karibu naye muulize kitu gani kilimkimbiza kutoka CCM na kupewa hifadhi ya muda Chadema.
 

Gazeti la Uhuru lina Mkurugenzi Mtendaji wake Ernest Sungura.

Kwa wale wasio mfahamu huyu mheshimiwa, alikuwa akiongoza vile vile TMF, Tanzania Media Fund.
TMF ilikuwa ikitoa fedha za wafadhili katika vyombo vya habari kuendeleza uweledi wa The Free Press
TMF chini ya Sungura ilikuwa kichaka kilichokomaa cha rushwa.
Hali ya rushwa hapo ilikuwa mbaya..mbaya...mbaya.

Programme officers hapo walikuwa wakidai cha mbele kila wakitoa subventions za fedha toka kwa wafadhili.

Hali ikawa mbaya na malalamiko kutoka kwa walengwa yalikuwa makubwa hadi ikafikia wafadhili kusitisha misaada ya miradi.

Hivyo niliposikia Sungura anakuwa Mkurugenzi Mtendaji wa gazetinla Uhuru, nikajua wamelamba gharasha.
Kwa kukusaidia tu ni kwamba Mhusika alikuwa hatakiwi hapo na ana Bifu na Boss wa Chama wa sasa.

Hivyo basi kilichofanyika hapo ni Kumchezeshea mchezo kupitia huyo Mhariri Mtendaji ili sababu ya Kumuondoa ipatikane na Mbinu imefanikiwa tena mno tu.

Haya Madai yako juu yake ya Rushwa na Kifisadi yanajulikana na ndiyo maana unaona hata baada ya Kusimamishwa tu Kazi kuna Tume ya Kumchunguza imeshaundwa na hapo ndiyo anaenda Kumalizwa vizuri.

Huyo Mhariri Mtendaji Rashid Zahoro kwakuwa ameshamaliza Jukumu lake la Kimkakati kimya kimya kuna mahala atawekwa na kuendelea tu Kula Maisha wenyewe mnaita Kula Bata.

Na huyu huyu Ernest Sungura kwa Faida yako na ya wengine ndiye Shareholder mkubwa wa Chuo cha Kiujanja Ujanja cha Uandishi wa Habari cha TSJ akishirikiana na Wajanja Wajanja wenzake kadhaa.
 

Gazeti la Uhuru lina Mkurugenzi Mtendaji wake Ernest Sungura.

Kwa wale wasio mfahamu huyu mheshimiwa, alikuwa akiongoza vile vile TMF, Tanzania Media Fund.
TMF ilikuwa ikitoa fedha za wafadhili katika vyombo vya habari kuendeleza uweledi wa The Free Press
TMF chini ya Sungura ilikuwa kichaka kilichokomaa cha rushwa.
Hali ya rushwa hapo ilikuwa mbaya..mbaya...mbaya.

Programme officers hapo walikuwa wakidai cha mbele kila wakitoa subventions za fedha toka kwa wafadhili.

Hali ikawa mbaya na malalamiko kutoka kwa walengwa yalikuwa makubwa hadi ikafikia wafadhili kusitisha misaada ya miradi.

Hivyo niliposikia Sungura anakuwa Mkurugenzi Mtendaji wa gazetinla Uhuru, nikajua wamelamba gharasha.
Huu ndio uzuri wa jf
 
Hayo ni mawazo yako yasiyo na tija.
Nikuulize tu, kina Slaa, Nasari na Kitila waliolelewa na upinzani wako wapi?
Slaa hakuwahi kulelewa na upinzani , alikimbia ccm kusaka madaraka upinzani , hata Kitila Mkumbo alikuwa upinzani kimkakati , chadema walipomstukia akaamua kujiunga na Zitto Kabwe kabla hajarudi ccm
 
Kwa kukusaidia tu ni kwamba Mhusika alikuwa hatakiwi hapo na ana Bifu na Boss wa Chama wa sasa.

Hivyo basi kilichofanyika hapo ni Kumchezeshea mchezo kupitia huyo Mhariri Mtendaji ili sababu ya Kumuondoa ipatikane na Mbinu imefanikiwa tena mno tu.

Haya Madai yako juu yake ya Rushwa na Kifisadi yanajulikana na ndiyo maana unaona hata baada ya Kusimamishwa tu Kazi kuna Tume ya Kumchunguza imeshaundwa na hapo ndiyo anaenda Kumalizwa vizuri.

Huyo Mhariri Mtendaji Rashid Zahoro kwakuwa ameshamaliza Jukumu lake la Kimkakati kimya kimya kuna mahala atawekwa na kuendelea tu Kula Maisha wenyewe mnaita Kula Bata.

Na huyu huyu Ernest Sungura kwa Faida yako na ya wengine ndiye Shareholder mkubwa wa Chuo cha Kiujanja Ujanja cha Uandishi wa Habari cha TSJ akishirikiana na Wajanja Wajanja wenzake kadhaa.
Alikuwa SKM Gang?
 
CCM wamenukishana eee
JamiiForums2011088224.jpg
 
Kwa hali mpaka ilipofikia leo jibu ni kuwa mama urais anauhitaji kwa nguvu zoote
 
Back
Top Bottom